NFRA yaanza kuwalipa wakulima Songea
Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Tawi la Songea mkoani Ruvuma wamepokea Sh28 bilioni kwa ajili ya kuwalipa wakulima baada ya kuuza mazao yao msimu uliopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV26 Feb
Serikali yatenga Sh. Bil. 30 kuwalipa wakulima.
Na Mkombe Zanda,
Mbeya.
Serikali imetenga shilingi bilioni 30 kwa ajili ya kuwalipa wakulima waliouza mazao yao kwa Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula NFRA kwenye mikoa mbalimbali nchini.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema fedha hizo zitalipwa kwa Wakulima katika awamu mbili za shilingi bilioni 15 ili kumaliza malalamiko yanayotokana na kuchelewa kwa malipo hayo.
Hayo yalibainishwa na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Pinda, katika siku ya kwanza ya ziara ya wiki moja mkoani Mbeya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l5ygRtXQB3Y/Xr_x5kbQv0I/AAAAAAALqe0/Be56ozAYECoSzm_vAZwRZue1n2WVyUmRwCLcBGAsYHQ/s72-c/56e0b4aa-f63b-4e86-a93b-8b99c34ffdb4.jpg)
WAKULIMA WILAYANI KAHAMA WAIOPONGEZA NFRA UNUNUZI WA MAZAO
Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Nyanhembe Agricultural Farm Khamis Mgeja ambayo inayojishughulisha na shughuli za Kilimo na ufugaji alipotembelewa na jopo la waandishi wa habari kwenye...
9 years ago
StarTV12 Nov
Serikali yaanza kuwapatia misaada waathiriwa Athari za upepo songea
Serikali Wilayani Songea katika mkoa wa Ruvuma imetoa pole kwa WANANCHI waliopatwa na Maafa baada ya Nyumba zao kuezuliwa na Upepo ulioambatana na Mvua kali uliotokea katika Wilaya hiyo hivi karibuni.
Mkuu wa Wilaya ya Songea Benson Mpesya amesema Kamati ya Maafa Wilaya ya Songea imeweza kukabiliana na janga hilo kwa kuanza kutoa Msaada kwa Kaya 8 zilizokumbwa na maafa hayo.
Mkuu wa Wilaya ya Songea Benson Mpesiya amesema Kamati ya Maafa Wilaya ya Songea baada ya kuona hali mbaya ya Kaya 8...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7YJi9SYEVEo/XruP-GkuOWI/AAAAAAALp_c/PXrvGCqJk10fgczJYvAnCUGbX73NwxbzwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200511-WA0022-768x576.jpg)
MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KANDA YA SONGEA YAANZA KUSIKILIZA MASHAURI NA KUTOA HUKUMU KWA 'VIDEO CONFERENCE'.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7YJi9SYEVEo/XruP-GkuOWI/AAAAAAALp_c/PXrvGCqJk10fgczJYvAnCUGbX73NwxbzwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200511-WA0022-768x576.jpg)
Na Brian Haule –Mahakama Kuu Songea
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Songea imeanza kusikiliza mashauri na kutoa hukumu kwa Mahakama Mtandao yaani ‘Video Conference’.
Mahakama hiyo imeanza kusikiliza mashauri kwa njia hiyo, baada ya jitihada za Mahakama ya Tanzania kununua vifaa maalumu vya kuendesha mahakama kwa mtandao kwa ajili ya mahakama mbalimbali nchini, ikiwa ni hatua za kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa (COVID 19) sambamba na...
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Kampuni D’salaam yaanza kukopesha matrekta wakulima
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Walalamikia CRDB kuchelewa kuwalipa
10 years ago
Habarileo08 Jun
Serikali yaahidi kuwalipa makandarasi
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema Serikali italipa madeni ya makandarasi na watumishi ambayo yamehakikiwa na pia itapeleka TAMISEMI orodha ya halmashauri ambazo zimetoa madeni hewa ili yalipwe.
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Serikali kuwalipa wafanyakazi wa MPM
10 years ago
Mwananchi14 Nov
NFRA kununua mahindi Gairo