Kampuni D’salaam yaanza kukopesha matrekta wakulima
Kampuni ya Intertechnology Ltd ya Dar es Salaam, imeanza kuuza na kukopesha matrekta yenye gharama nafuu kwa wakulima kwa lengo la kuongeza kasi ya mapinduzi ya kijani katika sekta ya kilimo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Jul
KILIMO: ‘Kampuni za matrekta hazijawakomboa wakulima wadogo’
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Kampuni ya Kariati yakabidhi wakulima matrekta manne leo, Jijini Dar
Kampuni ya Kariati Matracktor Diwani wa Kata ya Kwadelo, Kondoa mkoani Dodoma, Omary Kariati, leo imekabidhi matrekta manne kwa wakulima wa wilaya ya Kondoa (matrekta matatu) na Mbarali (trekta moja), katika hafla iliyofanyika leo asubuhi, kwenye Ofisi za Kariati Matrektor, Kinondoni, Dar es Salaam. Zinazofuatia ni picha za hafla hiyo. (Picha/Maelezo na Bashir Nkoromo).
Mkurugenzi Mtendaji wa Kariati Matractor, Omary Kariati akimkabidhi fungua za trekta Mwakilishi wa wkulima wa Kondoa,...
10 years ago
GPLNAPE AWAKABIDHI MATREKTA WAKULIMA NI YALE YANAYOTOLEWA KWA MKOPO NA KAMPUNI YA KARIATI TRACTOR
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Benki yaanza kukopesha sekta ya afya
BENKI ya Africa Tanzania imeanza kutoa mikopo yenye riba nafuu kwa sekta ya afya ili kuwezesha zahanati, vituo vya afya na hospitali kutoa huduma bora kwa wananchi. Meneja mwandamizi wa...
11 years ago
Habarileo28 Apr
NSSF kukopesha wakulima wa kahawa
WAKULIMA za zao la Kahawa wanatarajia kunufaika na mikopo inayotolewa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mkoani Kilimanjaro, kuboresha zao hilo, ambalo limekumbwa na changamoto mbalimbali.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gGWKdYsS1C0/VNNcw67Nv9I/AAAAAAAAWqc/MzyZJw62-Tg/s72-c/1.jpg)
wakulima 7 wakabidhiwa matrekta leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-gGWKdYsS1C0/VNNcw67Nv9I/AAAAAAAAWqc/MzyZJw62-Tg/s1600/1.jpg)
funguo za trekta kwa Mwalimu wa Shule ya msingi Kwadelo Bw. Hamza Haji,matrekta saba yalikabidhiwa leo kwa wakulima chini ya usimamizi wa
Diwani wa Kwadelo Alhaji Omari Kariati.(Picha na Adam Mzee)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uIGQapfKGVs/VNNcyLhHVKI/AAAAAAAAWqo/yW108E1uqsg/s1600/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-beVSrHHh7zs/XmFW7g0gPkI/AAAAAAALhak/amo0aZJZatQvIMse8bCylaAXcClNKJZewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU AKABIDHI MATREKTA 19 KWA WAKULIMA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekabidhi matreka 19 yenye thamani ya sh. bilioni 1.520 yaliyolewa kwa mkopo na Benki za NMB na CRDB kwa ajili ya wakulima wa mkonge wanaounda Vyama vya Msingi (AMCOS) vinne vya kilimo cha mkonge.
Ameyasema hayo leo(Alhamisi, Machi 5, 2020) baada ya kutembelea eneo eneo la shamba la mkonge la wakulima wadogo Mwelya Sisal Estate na kujionea shughuli za za usindikaji mkonge na kukabidhi matrekta kwa wakulima.
Benki ya NMB imetoa matrekta 11 na matera 22 yenye...
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Karatu sasa kugawa matrekta 50 kwa vikundi vya wakulima
5 years ago
CCM BlogNMB YATOA BILION MOJA KUWEZESHA WAKULIMA WA KATANI KUPATA MATREKTA