Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Karatu sasa kugawa matrekta 50 kwa vikundi vya wakulima

Halmashauri ya Wilaya ya Karatu, Mkoa wa Arusha, imepanga kutoa zaidi ya matrekta 50 kwa vikundi vya wakulima, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kuboresha kilimo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Vikundi vya wakulima vyalipwa bilioni 8.2/-

JUMLA ya Sh bilioni 8.2 zimelipwa kwa vikundi vya wakulima, waliouza nafaka zao kwa Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA).

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AKABIDHI MATREKTA 19 KWA WAKULIMA


WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekabidhi matreka 19 yenye thamani ya sh. bilioni 1.520 yaliyolewa kwa mkopo na Benki za NMB na CRDB kwa ajili ya wakulima wa mkonge wanaounda Vyama vya Msingi (AMCOS) vinne vya kilimo cha mkonge.

Ameyasema hayo leo(Alhamisi, Machi 5, 2020) baada ya kutembelea eneo eneo la shamba la mkonge la wakulima wadogo Mwelya Sisal Estate na kujionea shughuli za za usindikaji mkonge na kukabidhi matrekta kwa wakulima.

Benki ya NMB imetoa matrekta 11 na matera 22 yenye...

 

9 years ago

Mwananchi

Vikundi vya vicoba Moshi sasa taabani

Mfumo wa Benki ya Wananchi wa Vijijini (Vicoba), Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro unakabiliwa na changamoto za ukosefu wa mitaji na kusabaisha wanachama wake kuwa maskini.

 

10 years ago

GPL

NAPE AWAKABIDHI MATREKTA WAKULIMA NI YALE YANAYOTOLEWA KWA MKOPO NA KAMPUNI YA KARIATI TRACTOR‏

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Kariati Tractor ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Kwadelo, Omary Kariati (kulia), akisalimiana na Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye alipofika kuwakabidhi matrekta wakulima kutoka mikoa mbalimbali Dar es Salaam jana mchana.  Katibu wa Itikadi na Uenezi… ...

 

10 years ago

Michuzi

wakulima 7 wakabidhiwa matrekta leo

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akikabidhi
funguo za trekta kwa Mwalimu wa Shule ya msingi Kwadelo Bw. Hamza Haji,matrekta saba yalikabidhiwa leo kwa wakulima chini ya usimamizi wa
Diwani wa Kwadelo Alhaji Omari Kariati.(Picha na Adam Mzee) Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akikabidhi funguo za trekta kwa Dk. Edmund Mndolwa ambaye ni Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM Taifa ikiwa sehemu ya matrekta saba yaliotolewa na Alhaji Omari Kariati Diwani wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kampuni D’salaam yaanza kukopesha matrekta wakulima

Kampuni ya Intertechnology Ltd ya Dar es Salaam, imeanza kuuza na kukopesha matrekta yenye gharama nafuu kwa wakulima kwa lengo la kuongeza kasi ya mapinduzi ya kijani katika sekta ya kilimo.

 

11 years ago

Mwananchi

KILIMO: ‘Kampuni za matrekta hazijawakomboa wakulima wadogo’

>Pamoja na kuwapo kampuni nyingi za kuuza matrekta nchini, bado hali hiyo haijaweza kuwakomboa wakulima wadogo kwa vile hakuna sera ya kuwakopesha wazalishaji hao ambao rasilimali yao kubwa ni ardhi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Kariati yakabidhi wakulima matrekta manne leo, Jijini Dar

1. logo ya kariati

Kampuni ya Kariati Matracktor Diwani wa Kata ya Kwadelo, Kondoa mkoani Dodoma, Omary Kariati, leo imekabidhi matrekta manne kwa wakulima wa wilaya ya Kondoa (matrekta matatu) na Mbarali (trekta moja), katika hafla iliyofanyika leo asubuhi, kwenye Ofisi za Kariati Matrektor, Kinondoni, Dar es Salaam. Zinazofuatia ni picha za hafla hiyo. (Picha/Maelezo na Bashir Nkoromo).

akikabidhi funguo

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kariati Matractor, Omary Kariati akimkabidhi fungua za trekta Mwakilishi wa wkulima wa Kondoa,...

 

5 years ago

CCM Blog

NMB YATOA BILION MOJA KUWEZESHA WAKULIMA WA KATANI KUPATA MATREKTA



Waziri Mkuu, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi ufunguo wa moja ya matrekta hayo  Greyson Nyari, Mwenyekiti wa Vyama vya Mkonge  Mkoa wa Tanga kwenye shamba la mkonge la wakulima wadogo wadogo la  'Mwelya Sisal Estate' la Korogwe. Katikati ni  Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara - Filbert Mponzi.
Waziri Mkuu - Kassim Majaliwa akikabidhi mkopo uliotolewa kwa mkopo na Benki ya NMB wa matrekta  11 na matrela  yake 22 yenye thamani ya sh. Bilioni  moja, kwa Vyama Vinne vya ushirika vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani