WAZIRI MKUU AKABIDHI MATREKTA 19 KWA WAKULIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-beVSrHHh7zs/XmFW7g0gPkI/AAAAAAALhak/amo0aZJZatQvIMse8bCylaAXcClNKJZewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekabidhi matreka 19 yenye thamani ya sh. bilioni 1.520 yaliyolewa kwa mkopo na Benki za NMB na CRDB kwa ajili ya wakulima wa mkonge wanaounda Vyama vya Msingi (AMCOS) vinne vya kilimo cha mkonge.
Ameyasema hayo leo(Alhamisi, Machi 5, 2020) baada ya kutembelea eneo eneo la shamba la mkonge la wakulima wadogo Mwelya Sisal Estate na kujionea shughuli za za usindikaji mkonge na kukabidhi matrekta kwa wakulima.
Benki ya NMB imetoa matrekta 11 na matera 22 yenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IM1EgQqdeL0/XtaVQJXZglI/AAAAAAALsW0/UFsjlDclb7Q-BK954G2i9SkkWbN2vjO_ACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_1982-768x500.jpg)
WAZIRI MKUU AKABIDHI NYUMBA 103 KWA IDARA YA UHAMIAJI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameikabidhi Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi nyumba 103 zenye gharama ya zaidi ya sh. bilioni tano kwa ajili ya makazi ya Maafisa na Askari wa Idara ya Uhamiaji nchini zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika eneo la Iyumbu jijini Dodoma ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi ulitolewa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
Baada ya kukabidhi nyumba hizo, Waziri Mkuu amesema kwamba makazi hayo yawe chachu...
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Karatu sasa kugawa matrekta 50 kwa vikundi vya wakulima
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AKABIDHI MSAADA WA MAGARI YA WAGONJWA KWA HOSPITALI ZA WASSO NA ENDULENI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OeakFjEOlkE/Xql_jawsJJI/AAAAAAALokw/eZKlsUrMR-cTvrzUb4A12A24yJklMrXHACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_0497-1AA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKABIDHI MAGARI 10 YA KUBEBEA WAGONJWA KWA WABUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-OeakFjEOlkE/Xql_jawsJJI/AAAAAAALokw/eZKlsUrMR-cTvrzUb4A12A24yJklMrXHACLcBGAsYHQ/s640/PMO_0497-1AA-768x512.jpg)
10 years ago
GPLNAPE AWAKABIDHI MATREKTA WAKULIMA NI YALE YANAYOTOLEWA KWA MKOPO NA KAMPUNI YA KARIATI TRACTOR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-sriCxrZ0A/UxOTXHtPYLI/AAAAAAAFQkk/1Irt0inKXiI/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM AKABIDHI PIKIPIKI 9 NA BAISKELI 86 KWA KATA NA MATAWI YA CCM WILAYA YA KIBAHA VIJIJINI,PIA AKABIDHI KADI KWA WANACHAMA WAPYA ZAIDI YA 100
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-sriCxrZ0A/UxOTXHtPYLI/AAAAAAAFQkk/1Irt0inKXiI/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LJzf6SHcIf8/UxOUclREtwI/AAAAAAAFQnY/WoJ0v18VwP8/s1600/3.jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKABIDHI FEDHA ZA RUZUKU KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO,MJINI DODOMA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s72-c/2........jpg)
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akutana na Rais na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s640/2........jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7uwsiC536eQ/VXgxN5-Z_lI/AAAAAAADUWA/DToNU_e8yfc/s640/1......jpg)
Na. Issa Sabuni, WKCUWaziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amepongeza hatua iliyofikiwa katika ya Serikali ya Tanzania chini ya Shirika la Uchumi na Maendeleo la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) na Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland akisifu kuwa hatua hiyo ni ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gGWKdYsS1C0/VNNcw67Nv9I/AAAAAAAAWqc/MzyZJw62-Tg/s72-c/1.jpg)
wakulima 7 wakabidhiwa matrekta leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-gGWKdYsS1C0/VNNcw67Nv9I/AAAAAAAAWqc/MzyZJw62-Tg/s1600/1.jpg)
funguo za trekta kwa Mwalimu wa Shule ya msingi Kwadelo Bw. Hamza Haji,matrekta saba yalikabidhiwa leo kwa wakulima chini ya usimamizi wa
Diwani wa Kwadelo Alhaji Omari Kariati.(Picha na Adam Mzee)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uIGQapfKGVs/VNNcyLhHVKI/AAAAAAAAWqo/yW108E1uqsg/s1600/2.jpg)