NAPE AWAKABIDHI MATREKTA WAKULIMA NI YALE YANAYOTOLEWA KWA MKOPO NA KAMPUNI YA KARIATI TRACTOR
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Kariati Tractor ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Kwadelo, Omary Kariati (kulia), akisalimiana na Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye alipofika kuwakabidhi matrekta wakulima kutoka mikoa mbalimbali Dar es Salaam jana mchana.  Katibu wa Itikadi na Uenezi… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Kampuni ya Kariati yakabidhi wakulima matrekta manne leo, Jijini Dar
Kampuni ya Kariati Matracktor Diwani wa Kata ya Kwadelo, Kondoa mkoani Dodoma, Omary Kariati, leo imekabidhi matrekta manne kwa wakulima wa wilaya ya Kondoa (matrekta matatu) na Mbarali (trekta moja), katika hafla iliyofanyika leo asubuhi, kwenye Ofisi za Kariati Matrektor, Kinondoni, Dar es Salaam. Zinazofuatia ni picha za hafla hiyo. (Picha/Maelezo na Bashir Nkoromo).
Mkurugenzi Mtendaji wa Kariati Matractor, Omary Kariati akimkabidhi fungua za trekta Mwakilishi wa wkulima wa Kondoa,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Buk_im5pk7Y/U_RxFZyQjiI/AAAAAAAAJ1Y/Ac51o2S7qfs/s72-c/4.jpg)
MAMA DORCAS MEMBE AFUNGUA KITUO CHA KUSAMBAZIA MATREKTA WAKULIMA CHA KARIATI MATRACTOR KILICHOPO KINONDONI JIJINI DAR
Kauli hiyo ameitoa leo jijini Dar es Salaa wakati akizindua kituo hicho ambapo alisema ingawa bei zao zipo chini wapunguze tena ili hata mkulima wa chini aweze kumudu kununua au kukopa trekta hiyo imuwezeshe kuondokana na umasikini.
Akizungumza katika uzinduzi huo alisema...
11 years ago
Mwananchi09 Jul
KILIMO: ‘Kampuni za matrekta hazijawakomboa wakulima wadogo’
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Kampuni D’salaam yaanza kukopesha matrekta wakulima
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-beVSrHHh7zs/XmFW7g0gPkI/AAAAAAALhak/amo0aZJZatQvIMse8bCylaAXcClNKJZewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU AKABIDHI MATREKTA 19 KWA WAKULIMA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekabidhi matreka 19 yenye thamani ya sh. bilioni 1.520 yaliyolewa kwa mkopo na Benki za NMB na CRDB kwa ajili ya wakulima wa mkonge wanaounda Vyama vya Msingi (AMCOS) vinne vya kilimo cha mkonge.
Ameyasema hayo leo(Alhamisi, Machi 5, 2020) baada ya kutembelea eneo eneo la shamba la mkonge la wakulima wadogo Mwelya Sisal Estate na kujionea shughuli za za usindikaji mkonge na kukabidhi matrekta kwa wakulima.
Benki ya NMB imetoa matrekta 11 na matera 22 yenye...
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Karatu sasa kugawa matrekta 50 kwa vikundi vya wakulima
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Mucoba kunufaisha wakulima kwa mkopo nafuu
WAKULIMA wa Mkoa wa Iringa, wanatarajia kunufaika na ruzuku za pembejeo kupitia Benki ya wananchi Mufindi (Mucoba) kwa kupatiwa mikopo kwa kila kikundi cha wakulima itakayokuwa na riba nafuu. Akizungumza...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MBRTnX6AXik/XuxjvtaWiiI/AAAAAAABMfs/VacXTFivqS8SF3Ta5xBAe4w0BF2h9UoVgCLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
NMB YATOA MKOPO WA SHILINGI BIL. 3 KWA WAKULIMA WA MUHOGO HANDENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-MBRTnX6AXik/XuxjvtaWiiI/AAAAAAABMfs/VacXTFivqS8SF3Ta5xBAe4w0BF2h9UoVgCLcBGAsYHQ/s400/11.jpg)
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi (wa pili kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi Bilioni 3, Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe maalumu kwa ajili ya vikundi vya wakulima na wasindikaji wa zao la muhogo wilayani Handeni, mkoani Tanga. Wengine kwenye picha ni Mkurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), Japhet Justin (wa pili kushoto), Mwenyekiti wa Wakulima wa zao hilo nchini, Mwantum Mahiza, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-foX5mXWBZYE/XuxCE-fP53I/AAAAAAAEH5s/7AIG5M1ZJlQEjxEHa79jnQV4FGrvv9r0gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Benki ya NMB yatoa mkopo wa Shilingi bilioni 3 kwa wakulima wa muhogo Handeni
![](https://1.bp.blogspot.com/-foX5mXWBZYE/XuxCE-fP53I/AAAAAAAEH5s/7AIG5M1ZJlQEjxEHa79jnQV4FGrvv9r0gCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)