KILIMO: ‘Kampuni za matrekta hazijawakomboa wakulima wadogo’
>Pamoja na kuwapo kampuni nyingi za kuuza matrekta nchini, bado hali hiyo haijaweza kuwakomboa wakulima wadogo kwa vile hakuna sera ya kuwakopesha wazalishaji hao ambao rasilimali yao kubwa ni ardhi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo02 Oct
KAMPENI YA HAKI YA UCHUMI KATIKA MASWALA YA KILIMO YAENDESHA MDAHALO WA KUHAMASISHA WAKULIMA WADOGO WADOGO HUSUSANI WANAWAKE.
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Kampuni D’salaam yaanza kukopesha matrekta wakulima
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Kampuni ya Kariati yakabidhi wakulima matrekta manne leo, Jijini Dar
Kampuni ya Kariati Matracktor Diwani wa Kata ya Kwadelo, Kondoa mkoani Dodoma, Omary Kariati, leo imekabidhi matrekta manne kwa wakulima wa wilaya ya Kondoa (matrekta matatu) na Mbarali (trekta moja), katika hafla iliyofanyika leo asubuhi, kwenye Ofisi za Kariati Matrektor, Kinondoni, Dar es Salaam. Zinazofuatia ni picha za hafla hiyo. (Picha/Maelezo na Bashir Nkoromo).
Mkurugenzi Mtendaji wa Kariati Matractor, Omary Kariati akimkabidhi fungua za trekta Mwakilishi wa wkulima wa Kondoa,...
10 years ago
MichuziORIGINO KOMEDI WAKABIDHIWA MATREKTA YA KILIMO NA KAMPUNI YA FARM EQUIP TANZANIA JIJINI DAR LEO.
Hayo yamesemwa na kundi la waigizaji wa Origino Komedi wakati wa kukabidhiwa Matrekta ya Kilimo aina ya Sonalika kutoka kampuni ya Farm Equip Tanzania jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Farm Equip Tanzania,Arif Sheink amesema kuwa vijana wameamua...
10 years ago
GPLNAPE AWAKABIDHI MATREKTA WAKULIMA NI YALE YANAYOTOLEWA KWA MKOPO NA KAMPUNI YA KARIATI TRACTOR
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Wakulima wadogo wamtaka Magufuli kuwekeza katika kilimo
11 years ago
Habarileo29 Jan
Kikwete asisitiza elimu ya kilimo kwa wakulima wadogo
RAIS Jakaya Kikwete amesema ili Tanzania ijitosheleze kwa chakula na iweze kuuza ziada, lazima kuendeleza wakulima wadogo kwa kuwapa elimu ya kilimo bora, mtaji na soko.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnkimqjy*1pX9PrvQhfz729wnbU4sEn6nI3NGwcFlQFaJ792CruZOmVdpeFsFTqHCzGP8ClxqU7fD57oksMt4*5W/001.MTAMA.jpg?width=650)
VODAFONE YAZINDUA MPANGO WA KILIMO KLUB KUWAKOMBOA WAKULIMA WADOGO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s72-c/2........jpg)
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akutana na Rais na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s640/2........jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7uwsiC536eQ/VXgxN5-Z_lI/AAAAAAADUWA/DToNU_e8yfc/s640/1......jpg)
Na. Issa Sabuni, WKCUWaziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amepongeza hatua iliyofikiwa katika ya Serikali ya Tanzania chini ya Shirika la Uchumi na Maendeleo la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) na Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland akisifu kuwa hatua hiyo ni ya...