ORIGINO KOMEDI WAKABIDHIWA MATREKTA YA KILIMO NA KAMPUNI YA FARM EQUIP TANZANIA JIJINI DAR LEO.
Na Avila kakingo,Globu ya Jamii.WAIGIZAJI wa kindi cha Origino Komedi wamewaasa vijana kutumia vipaji vyao ili kutengeneza maisha yao kuwa mazuri na sio kufikiri kuwa vijana wengi hushikwa mkono na mtu ili kufanikiwa.
Hayo yamesemwa na kundi la waigizaji wa Origino Komedi wakati wa kukabidhiwa Matrekta ya Kilimo aina ya Sonalika kutoka kampuni ya Farm Equip Tanzania jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Farm Equip Tanzania,Arif Sheink amesema kuwa vijana wameamua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PPiMMJKGrJU/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Kampuni ya Kariati yakabidhi wakulima matrekta manne leo, Jijini Dar
Kampuni ya Kariati Matracktor Diwani wa Kata ya Kwadelo, Kondoa mkoani Dodoma, Omary Kariati, leo imekabidhi matrekta manne kwa wakulima wa wilaya ya Kondoa (matrekta matatu) na Mbarali (trekta moja), katika hafla iliyofanyika leo asubuhi, kwenye Ofisi za Kariati Matrektor, Kinondoni, Dar es Salaam. Zinazofuatia ni picha za hafla hiyo. (Picha/Maelezo na Bashir Nkoromo).
Mkurugenzi Mtendaji wa Kariati Matractor, Omary Kariati akimkabidhi fungua za trekta Mwakilishi wa wkulima wa Kondoa,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gGWKdYsS1C0/VNNcw67Nv9I/AAAAAAAAWqc/MzyZJw62-Tg/s72-c/1.jpg)
wakulima 7 wakabidhiwa matrekta leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-gGWKdYsS1C0/VNNcw67Nv9I/AAAAAAAAWqc/MzyZJw62-Tg/s1600/1.jpg)
funguo za trekta kwa Mwalimu wa Shule ya msingi Kwadelo Bw. Hamza Haji,matrekta saba yalikabidhiwa leo kwa wakulima chini ya usimamizi wa
Diwani wa Kwadelo Alhaji Omari Kariati.(Picha na Adam Mzee)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uIGQapfKGVs/VNNcyLhHVKI/AAAAAAAAWqo/yW108E1uqsg/s1600/2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzd5idh8ttchP6LKE5oDChvmgO4zqtSNXoojvW1SAuUINbB*M7koZlog7ZQA*6VVGTvBBI-WQfIYw1yFbAPaFsMA/komedi.jpg)
ORIGINO KOMEDI WAMWAGWA!
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA KILIMO ULEGA AFUNGUA SHAMBA LA MAFUNZO NA UFUGAJI WA SAMAKI 'BIG FISH FARM' JIJINI DAR
11 years ago
Mwananchi09 Jul
KILIMO: ‘Kampuni za matrekta hazijawakomboa wakulima wadogo’
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gyc7SbaWf1E/Vopr9OPCzgI/AAAAAAAIQMo/z9LCDI08644/s72-c/IMG_9876.jpg)
WASHINDI WA MASOMO YA SAYANSI WAKABIDHIWA SCHOLARSHIP JIJINI DAR LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gyc7SbaWf1E/Vopr9OPCzgI/AAAAAAAIQMo/z9LCDI08644/s640/IMG_9876.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R08UHBSXHyk/Vopr84gQXBI/AAAAAAAIQMk/2SX9waVD0eg/s640/IMG_9899.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s72-c/2........jpg)
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akutana na Rais na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0JSvyAwlhRg/VXgxSTEOyMI/AAAAAAADUWI/k8yeR89ZlyE/s640/2........jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7uwsiC536eQ/VXgxN5-Z_lI/AAAAAAADUWA/DToNU_e8yfc/s640/1......jpg)
Na. Issa Sabuni, WKCUWaziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira amepongeza hatua iliyofikiwa katika ya Serikali ya Tanzania chini ya Shirika la Uchumi na Maendeleo la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) na Kampuni ya kutengeneza Matrekta ya Ursus kutoka nchini Poland akisifu kuwa hatua hiyo ni ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Au2H2NiRfwM/VFDqskks3lI/AAAAAAACt9o/dGm8G9oLcEo/s72-c/1.jpg)
KAMPUNI YA TIGO YATANGAZA USHIIRIKIANO NA MTANDAO WA KIJAMII WA FACEBOOK JIJINI DAR LEO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Au2H2NiRfwM/VFDqskks3lI/AAAAAAACt9o/dGm8G9oLcEo/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UhEOWpO2f_U/VFDqsgb6QDI/AAAAAAACt9s/9xZNQKgctE8/s1600/2.jpg)
Mkuu wa ukuaji na ushirikiano wa mitandao ya kijamii kutoka Tigo, Naheed Hirji, akielezea upatikanaji wa huduma hiyo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-YdSsWPirvZ0/VFDr06YPgFI/AAAAAAACt98/Bm0l2CQV5j8/s1600/3.jpg)
KAMPUNI ya mtandao wa Tigo, imetangaza rasmi ushirikiano kati yao na mtandao wa kijamii wa Facebook ambapo itatoa ofa ya Intaneti itakayotumiwa...