Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMPUNI YA TIGO YATANGAZA USHIIRIKIANO NA MTANDAO WA KIJAMII WA FACEBOOK JIJINI DAR LEO.

 Mkuu wa idara ya data na vifaa vinavyotumia intarnet kutoka Tigo, David Zacharia akielezea wateja watakavyotumia huduma hiyo kwa urahisi,mbele ya Wanahabari jijini Dar leo.
 Mkuu wa ukuaji na ushirikiano wa mitandao ya kijamii kutoka Tigo, Naheed Hirji, akielezea upatikanaji wa huduma hiyo.Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria hafla hiyo.

KAMPUNI ya mtandao wa Tigo, imetangaza rasmi ushirikiano kati yao na mtandao wa kijamii wa Facebook ambapo itatoa ofa ya Intaneti itakayotumiwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TIGO YATANGAZA USHIRIKIANO NA KAMPUNI YA FACEBOOK

Mkuu wa idara ya data na vifaa vinavyotumia intarnet kutoka Tigo, David Zacharia akielezea wateja watakavyotumia huduma hiyo kwa urahisi. Mkuu wa ukuaji na ushirikiano wa mitandao ya kijamii kutoka Tigo, Naheed Hirji, akielezea upatikanaji wa huduma hiyo.…

 

9 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA REACH FOR CHANGE WAZINDUA SHINDANO LA WAJASIRIAMALI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa shindano la Wajasiriamali ambapo ametoa wito kwa watu kushiriki ili wajiweke katika nafasi ya kushinda fedha taslimu dola za kimarekani 20,000 ambazo kila mshindi atapewa azitumie katika utekelezaji wa mawazo yao ya kibunifu.
  Meneja wa nchi wa Reach for Change, Peter Nyanda, akizungumza katika mkutano huo. Muhasisi wa Mfuko wa APPS and Girls, Carolyne...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Interswitch yazindua huduma ya malipo kwa njia ya mtandao jijini Dar leo

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Interswitch kwa Afrika Mashariki Bernard Matthewman, akizungumza na wadau mbalimbali Dar es Salaam leo , wakati wa uzinduzi wa kampuni hiyo hapa nchini uliofanyika Hoteli ya Hyatt Regency- Kilimanjaro pamoja na huduma ya malipo kwa njia ya mtandao.

Wadau wakiwa kwenye uzinduzi huo.

Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

Maofisa wa kampuni hiyo wakiwa kwenye uzinduzi huo.

Mmoja wa maofisa wa kampuni hiyo akiwa katika uzinduzi huo.

Mkutano na...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO, HUAWEI WAZINDUA SIMU YA WATU WA HALI YA CHINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Meneja wa Vifaa vya Huawei,  Peter Zhang Nchini (kulia), akionesha aina ya simu ya Huawei Y 360 na Y 625 ambazo zina uwezo wa hali ya juu katika matumizi ya nyanja mbalimbali wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi katika uzinduzi wa simu hizo. Kushoto ni Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga. Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga, akizungumza katika mkutano huo.Wanahabri kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa ya uzinduzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya TIGO yafuturisha jijini Dar

ipp

Meneja mkuu wa Rasilimali Watu wa Tigo Tanzania, Catherine Olaka akitoa zawadi kwa watoto wa kituo cha yatima cha Al-Madrasat Nurhuda cha Temeke mara baada ya kupata futari iliyoandaliwa na kampuni ya Tigo makao makuu Jijini Dar Es Salaam.

two

one

Baadhi ya wafanyakzi wa Tigo na watoto wa kituo cha yatima cha Al-Madrasat Nurhuda cha Temeke wakipata futari iliyoandaliwa na kampuni ya Tigo makao makuu.

four

Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Tigo wakiwa kwenye picha ya pamoja na watoto wa kituo cha...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yafikia wafuasi Milioni Moja katika mtandao wa Facebook

Kampuni ya Tigo Tanzania hivi karibunii metangaza kufikisha wafuasi milioni moja katika mtandao wao wa Facebook. Katika ukarasa wake wa Facebook, www.facebook.com/TigoTanzania kampunii lifikisha mfuasi wa milioni moja Jumapili Desemba 27 mwaka huu hapa Tanzania.

Kutokana na ongezeko la matumizi ya mtandao wa kijamii wa Facebook hapa nchini, Facebook imekuwa mstari wa mbele katika matumizi kutokana uzinduzi wa Facebook katika lugha ya Kiswahili uliofanyika mwaka wa 2014 kwa ushirikiano wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Tigo Tanzania yatangaza mwendelezo wa usimamizi

Mr. Diego (1)

Kampuni ya Tigo Tanzania imetangaza kwamba Bw. Diego Gutierrez (pichani) amerejea kama Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania baada ya kumalizika kwa mkataba wa aliyekuwa akikaimu cheo cha Umeneja Mkuu Bi Cecile Tiano.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo, Bi Tiano amekuwa kwenye kampuni ya Tigo kama Kiongozi wa muda tangu mwanzoni mwa mwaka huu. Amefurahia mafanikio makubwa aliyoyapata akiwa na kampuni ikiwa ni pamoja na kuzindua huduma ya Tigo Muziki na mtandao wa 4G, na...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI MPYA YA MTANDAO WA SIMU ZA MIKONINI SMART TELECOM YAZINDULIWA JIJINI DAR

 Viongozi wakuu wa kampuni ya Smart Telecom,Afrika Masharikii wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washindi waliojipatia zawadi kupitia mtandao huo,baada ya kushiriki kwenye kampeni ya GIVE US A NAME iliofanyika hivi karibuni.  Pichani kati ni Balozi wa Kampuni hiyo ya simu iliyozinduliwa leo jijini Dar,Msanii wa maigizo ya vichekesho atambulikae kwa jina la Hemed Maliyaga a.k.a Mkwere Orijini akiwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Smart Telecom,Afrika Mashariki,Abdullatif Bouziani (shoto)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani