Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampuni ya Tigo Tanzania yatangaza mwendelezo wa usimamizi

Mr. Diego (1)

Kampuni ya Tigo Tanzania imetangaza kwamba Bw. Diego Gutierrez (pichani) amerejea kama Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania baada ya kumalizika kwa mkataba wa aliyekuwa akikaimu cheo cha Umeneja Mkuu Bi Cecile Tiano.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo, Bi Tiano amekuwa kwenye kampuni ya Tigo kama Kiongozi wa muda tangu mwanzoni mwa mwaka huu. Amefurahia mafanikio makubwa aliyoyapata akiwa na kampuni ikiwa ni pamoja na kuzindua huduma ya Tigo Muziki na mtandao wa 4G, na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TIGO YATANGAZA USHIRIKIANO NA KAMPUNI YA FACEBOOK

Mkuu wa idara ya data na vifaa vinavyotumia intarnet kutoka Tigo, David Zacharia akielezea wateja watakavyotumia huduma hiyo kwa urahisi. Mkuu wa ukuaji na ushirikiano wa mitandao ya kijamii kutoka Tigo, Naheed Hirji, akielezea upatikanaji wa huduma hiyo.…

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA TIGO YATANGAZA USHIIRIKIANO NA MTANDAO WA KIJAMII WA FACEBOOK JIJINI DAR LEO.

 Mkuu wa idara ya data na vifaa vinavyotumia intarnet kutoka Tigo, David Zacharia akielezea wateja watakavyotumia huduma hiyo kwa urahisi,mbele ya Wanahabari jijini Dar leo.
 Mkuu wa ukuaji na ushirikiano wa mitandao ya kijamii kutoka Tigo, Naheed Hirji, akielezea upatikanaji wa huduma hiyo.Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria hafla hiyo.

KAMPUNI ya mtandao wa Tigo, imetangaza rasmi ushirikiano kati yao na mtandao wa kijamii wa Facebook ambapo itatoa ofa ya Intaneti itakayotumiwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya simu ya Tigo yazindua kampeni ya ‘Chagua Tigo Pesa, Inalipa’

1

Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana katika uzinduzi wa kampeni ya ya Chagua Tigo Pesa, Inalipa. Kulia ni Meneja  Bidhaa wa Tigo, William Mpinga.

2

Meneja  Bidhaa wa Tigo, William Mpinga (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto ni Mkuu wa wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel.

IMG_2230

Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

Na Dotto Mwaibale

KAMPUNI ya simu ya mkononi ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Tigo Tanzania kusambaza simu za smartphones wakati wa maonesho ya Nanenane

John&Moyo

Meneja wa mawasiliano wa Tigo Tanzania, John Wanyancha akiongea na wanahabari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa Tigo kwenye maonesho ya Nane nane kitaifa mwaka huu, kushoto ni mwenyekiti wa TASO, Engelbert Moyo.

Wakulima na wageni mbalimbali watakaoshiriki kwenye maonesho ya nanenane ya mwaka huu wanatarajia kupata punguzo la bei ya simu za smartphones kutoka Tigo katika jitihada za kampuni ya mawasiliano ya simu kuwapatia watanzania wengi iwezekanavyo kupata kufurahia mambo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya simu ya Tigo Tanzania yatoa TSH. Milioni 200 kudhamini Kilimanjaro Marathon 2016!

 Meneja Mawasiliano wa  Kampuni ya Tigo, John Wanyancha akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani), katika hafla ya kuzindua msimu mpya wa mbio za Kilimanjaro Marathon 2016. Tigo wametoa zaidi ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya mbio hizo.  Mkurugenzi Msaidizi wa Michezo Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo, Alex Nkenyenge (wa tatu kulia), pamoja na wadhamini wa Kilimanjaro Marathon 2016, wakifyatua fataki za karatasi ikiwa ni ishara ya kuzindua maandalizi ya mbio hizo Dar...

 

11 years ago

Dewji Blog

Obedi Laiser wa kampuni ya Tigo Tanzania ashinda tuzo ya kimataifa katika sherehe ya wafanyakazi Mjini Miami

 

1B0A2391

  Meneja wa Fedha na Usalama wa Tigo Pesa Bw. Obedi Laiser na viongozi wa Millicom nchini Marekani.

1B0A2436

Tigo leo yamkaribisha  nyumbani Tanzania, Bwana Obedi Laiser, baada ya kushinda tuzo ya mfanyakazi wa kimataifa katika tukio la kifahari wiki iliyopita mjini Miami,USA iliyoandialiwa na Milicom,Kampuni ya mawasiliano na vyombo vya Habari kutiko Uswizi ,inayo imiliki Tigo/Kampuni ambayo inamiliki Tigo.

Bwana Laiser aliteuliwa na Mkurugenzi mkuu wa Tigo Bwana Diego Gutierrez kwa kazi yake...

 

10 years ago

Bongo5

Rich Mavoko asainishwa na kampuni ya usimamizi ya Kenya inayomsimia pia Avril

Rich Mavoko amesaini mkataba na kampuni ya usimamizi ya Kenya iitwayo Kaka Empire iliyoanzishwa na rapper Rabbit. Kampuni hiyo pia inawasimamia wasanii wa Kenya akiwemo Avril, Raj, FemiOne na Owago. Mavoko ameiambia Bongo5 kuwa kampuni hiyo itakuwa ikisimamia kazi zake zote kwa upande wa Kenya peke yake. Amedai kuwa uamuzi wa kuamua kuwa chini ya […]

 

9 years ago

Bongo5

Diamond aingia mkataba na kampuni ya usimamizi na ushauri ya Nigeria, Upfront & Personal

11313607_1734146243483565_1852611113_n

Diamond Platnumz ameiangia mkataba na kampuni ya usimamizi na ushauri (management consultants) ya Nigeria, Upfront & Personal.

11313607_1734146243483565_1852611113_n

Upfront and Personal ni kampuni kubwa iliyojikita katika masuala ya mahusiano ya umma (public relations), media buying, celebrity endorsement na event management.

“DONE DEAL!!! you know how it is when you see Mr @pauloo2104 dollarmoneybagboomgun Cc @sallam_sk @ubifranklintriplemg #Nigeria,” ameandika Diamond kwenye picha aliyoweka Instagram ikimuonesha akisaini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya TIGO yafuturisha jijini Dar

ipp

Meneja mkuu wa Rasilimali Watu wa Tigo Tanzania, Catherine Olaka akitoa zawadi kwa watoto wa kituo cha yatima cha Al-Madrasat Nurhuda cha Temeke mara baada ya kupata futari iliyoandaliwa na kampuni ya Tigo makao makuu Jijini Dar Es Salaam.

two

one

Baadhi ya wafanyakzi wa Tigo na watoto wa kituo cha yatima cha Al-Madrasat Nurhuda cha Temeke wakipata futari iliyoandaliwa na kampuni ya Tigo makao makuu.

four

Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Tigo wakiwa kwenye picha ya pamoja na watoto wa kituo cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani