Kampuni ya Tigo Tanzania yatangaza mwendelezo wa usimamizi
Kampuni ya Tigo Tanzania imetangaza kwamba Bw. Diego Gutierrez (pichani) amerejea kama Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania baada ya kumalizika kwa mkataba wa aliyekuwa akikaimu cheo cha Umeneja Mkuu Bi Cecile Tiano.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo, Bi Tiano amekuwa kwenye kampuni ya Tigo kama Kiongozi wa muda tangu mwanzoni mwa mwaka huu. Amefurahia mafanikio makubwa aliyoyapata akiwa na kampuni ikiwa ni pamoja na kuzindua huduma ya Tigo Muziki na mtandao wa 4G, na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTIGO YATANGAZA USHIRIKIANO NA KAMPUNI YA FACEBOOK
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Au2H2NiRfwM/VFDqskks3lI/AAAAAAACt9o/dGm8G9oLcEo/s72-c/1.jpg)
KAMPUNI YA TIGO YATANGAZA USHIIRIKIANO NA MTANDAO WA KIJAMII WA FACEBOOK JIJINI DAR LEO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Au2H2NiRfwM/VFDqskks3lI/AAAAAAACt9o/dGm8G9oLcEo/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UhEOWpO2f_U/VFDqsgb6QDI/AAAAAAACt9s/9xZNQKgctE8/s1600/2.jpg)
Mkuu wa ukuaji na ushirikiano wa mitandao ya kijamii kutoka Tigo, Naheed Hirji, akielezea upatikanaji wa huduma hiyo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-YdSsWPirvZ0/VFDr06YPgFI/AAAAAAACt98/Bm0l2CQV5j8/s1600/3.jpg)
KAMPUNI ya mtandao wa Tigo, imetangaza rasmi ushirikiano kati yao na mtandao wa kijamii wa Facebook ambapo itatoa ofa ya Intaneti itakayotumiwa...
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Kampuni ya simu ya Tigo yazindua kampeni ya ‘Chagua Tigo Pesa, Inalipa’
Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana katika uzinduzi wa kampeni ya ya Chagua Tigo Pesa, Inalipa. Kulia ni Meneja Bidhaa wa Tigo, William Mpinga.
Meneja Bidhaa wa Tigo, William Mpinga (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto ni Mkuu wa wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya simu ya mkononi ya...
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Kampuni ya Tigo Tanzania kusambaza simu za smartphones wakati wa maonesho ya Nanenane
Meneja wa mawasiliano wa Tigo Tanzania, John Wanyancha akiongea na wanahabari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa Tigo kwenye maonesho ya Nane nane kitaifa mwaka huu, kushoto ni mwenyekiti wa TASO, Engelbert Moyo.
Wakulima na wageni mbalimbali watakaoshiriki kwenye maonesho ya nanenane ya mwaka huu wanatarajia kupata punguzo la bei ya simu za smartphones kutoka Tigo katika jitihada za kampuni ya mawasiliano ya simu kuwapatia watanzania wengi iwezekanavyo kupata kufurahia mambo...
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Kampuni ya simu ya Tigo Tanzania yatoa TSH. Milioni 200 kudhamini Kilimanjaro Marathon 2016!
11 years ago
Dewji Blog16 Jun
Obedi Laiser wa kampuni ya Tigo Tanzania ashinda tuzo ya kimataifa katika sherehe ya wafanyakazi Mjini Miami
Meneja wa Fedha na Usalama wa Tigo Pesa Bw. Obedi Laiser na viongozi wa Millicom nchini Marekani.
Tigo leo yamkaribisha nyumbani Tanzania, Bwana Obedi Laiser, baada ya kushinda tuzo ya mfanyakazi wa kimataifa katika tukio la kifahari wiki iliyopita mjini Miami,USA iliyoandialiwa na Milicom,Kampuni ya mawasiliano na vyombo vya Habari kutiko Uswizi ,inayo imiliki Tigo/Kampuni ambayo inamiliki Tigo.
Bwana Laiser aliteuliwa na Mkurugenzi mkuu wa Tigo Bwana Diego Gutierrez kwa kazi yake...
10 years ago
Bongo505 Mar
Rich Mavoko asainishwa na kampuni ya usimamizi ya Kenya inayomsimia pia Avril
9 years ago
Bongo518 Nov
Diamond aingia mkataba na kampuni ya usimamizi na ushauri ya Nigeria, Upfront & Personal
![11313607_1734146243483565_1852611113_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11313607_1734146243483565_1852611113_n-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ameiangia mkataba na kampuni ya usimamizi na ushauri (management consultants) ya Nigeria, Upfront & Personal.
Upfront and Personal ni kampuni kubwa iliyojikita katika masuala ya mahusiano ya umma (public relations), media buying, celebrity endorsement na event management.
“DONE DEAL!!! you know how it is when you see Mr @pauloo2104 dollarmoneybagboomgun Cc @sallam_sk @ubifranklintriplemg #Nigeria,” ameandika Diamond kwenye picha aliyoweka Instagram ikimuonesha akisaini...
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Kampuni ya TIGO yafuturisha jijini Dar
Meneja mkuu wa Rasilimali Watu wa Tigo Tanzania, Catherine Olaka akitoa zawadi kwa watoto wa kituo cha yatima cha Al-Madrasat Nurhuda cha Temeke mara baada ya kupata futari iliyoandaliwa na kampuni ya Tigo makao makuu Jijini Dar Es Salaam.
Baadhi ya wafanyakzi wa Tigo na watoto wa kituo cha yatima cha Al-Madrasat Nurhuda cha Temeke wakipata futari iliyoandaliwa na kampuni ya Tigo makao makuu.
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Tigo wakiwa kwenye picha ya pamoja na watoto wa kituo cha...