Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rich Mavoko asainishwa na kampuni ya usimamizi ya Kenya inayomsimia pia Avril

Rich Mavoko amesaini mkataba na kampuni ya usimamizi ya Kenya iitwayo Kaka Empire iliyoanzishwa na rapper Rabbit. Kampuni hiyo pia inawasimamia wasanii wa Kenya akiwemo Avril, Raj, FemiOne na Owago. Mavoko ameiambia Bongo5 kuwa kampuni hiyo itakuwa ikisimamia kazi zake zote kwa upande wa Kenya peke yake. Amedai kuwa uamuzi wa kuamua kuwa chini ya […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Rich Mavoko kufanya collabo na rapper Rabbit wa Kenya

Ikiwa haijafikisha hata wiki tatu tangu video yake ya ‘Pacha Wangu’ itoke, Rich Mavoko ameanza kula matunda ya wimbo wake mpya huo. Msanii huyo anatarajia kufanya collabo kuwa na rapper wa Kenya, Rabbit aka Kaka Sungura. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Mavoko ametease kava ya ngoma hiyo. “Rabbit ni msanii mkubwa sana wa hiphop toka […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rich Mavoko aeleza ya moyoni

MSANII wa Bongo fleva, Richard Martin ‘Rich Mavoko’ amewataka wasanii wenzake wawe na moyo wa kuwakumbuka wenzao waliotangulia mbele za haki hata kwa kuwatembelea wazazi au ndugu zao waliopo duniani....

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Music: Rich Mavoko – Naimani

Rich-Mavoko-Naimani

Wimbo mpya wa msanii wa bongo fleva Rich Mavoko unaitwa “Naimani”. Producer Boy David & Aby Dad

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Rich Mavoko — Tururu

Hii ndo ngoma Mpya kutoka kwa Rich Mavoko ngoma inaitwa “Tururu” imefanyika katika Studio za Sharo Baro Records Producer Bab Junior

 

10 years ago

Africanjam.Com

9 years ago

Bongo5

Music: Princet Ft Rich Mavoko — Tonight

Princet Ni kundi la Muziki Kutoka Nchini Nigeria, Walikuja Tanzania Nia na Madhumuni Kufanya Kazi na Studio ya Mazuu Record…Toka wakiwa nchini kwao walivutiwa na Kazi zilizofanyika studio ya mazuu ..Kazi iliyofanya kutamani kurekodi mazuu record ni wimbo Wa “Pacha Wangu” Rich Mavoko waliisikia na Wakaipenda wakati ikichezwa kwenye kituo cha Redio nchini Kwao. Jiunge […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani