Rich Mavoko asainishwa na kampuni ya usimamizi ya Kenya inayomsimia pia Avril
Rich Mavoko amesaini mkataba na kampuni ya usimamizi ya Kenya iitwayo Kaka Empire iliyoanzishwa na rapper Rabbit. Kampuni hiyo pia inawasimamia wasanii wa Kenya akiwemo Avril, Raj, FemiOne na Owago. Mavoko ameiambia Bongo5 kuwa kampuni hiyo itakuwa ikisimamia kazi zake zote kwa upande wa Kenya peke yake. Amedai kuwa uamuzi wa kuamua kuwa chini ya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo509 Oct
Rich Mavoko kufanya collabo na rapper Rabbit wa Kenya
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Rich Mavoko aeleza ya moyoni
MSANII wa Bongo fleva, Richard Martin ‘Rich Mavoko’ amewataka wasanii wenzake wawe na moyo wa kuwakumbuka wenzao waliotangulia mbele za haki hata kwa kuwatembelea wazazi au ndugu zao waliopo duniani....
10 years ago
Michuzi10 years ago
GPL9 years ago
Bongo525 Nov
Music: Rich Mavoko – Naimani
Wimbo mpya wa msanii wa bongo fleva Rich Mavoko unaitwa “Naimani”. Producer Boy David & Aby Dad
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
Bongo515 Jul
New Music: Rich Mavoko — Tururu
10 years ago
Africanjam.Com9 years ago
Bongo517 Sep
Music: Princet Ft Rich Mavoko — Tonight