Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rich Mavoko kufanya collabo na rapper Rabbit wa Kenya

Ikiwa haijafikisha hata wiki tatu tangu video yake ya ‘Pacha Wangu’ itoke, Rich Mavoko ameanza kula matunda ya wimbo wake mpya huo. Msanii huyo anatarajia kufanya collabo kuwa na rapper wa Kenya, Rabbit aka Kaka Sungura. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Mavoko ametease kava ya ngoma hiyo. “Rabbit ni msanii mkubwa sana wa hiphop toka […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Joh Makini ataja ma-rapper wanne wa kimataifa anaotamani kufanya nao collabo

weusi1 (1)

‘Don’t Bother’ imetimiza moja ya ndoto alizokuwa nazo rapa wa Weusi, Joh Makini za kuja kufanya collabo na rapa wa Afrika Kusini Kiernan Jarryd Forbes a.k.a AKA.

weusi1 (1)

Joh Makini amewataja ma-rapper aliokuwa, na ambao bado anatamani kuja kufanya nao collabo pindi fursa hiyo itakapojitokeza, akiwemo AKA ambaye tayari amefanikiwa kufanya naye ‘Don’t Bother’ inayofanya vizuri kwa sasa.

“Unajuaga kunakuwaga na watu wako flani ambao unawaskilizaga pia na unapenda wanachokifanya kwamba siku ikitokea ...

 

10 years ago

Bongo5

Rich Mavoko asainishwa na kampuni ya usimamizi ya Kenya inayomsimia pia Avril

Rich Mavoko amesaini mkataba na kampuni ya usimamizi ya Kenya iitwayo Kaka Empire iliyoanzishwa na rapper Rabbit. Kampuni hiyo pia inawasimamia wasanii wa Kenya akiwemo Avril, Raj, FemiOne na Owago. Mavoko ameiambia Bongo5 kuwa kampuni hiyo itakuwa ikisimamia kazi zake zote kwa upande wa Kenya peke yake. Amedai kuwa uamuzi wa kuamua kuwa chini ya […]

 

9 years ago

Bongo5

Damian Soul aingia studio kufanya collabo na Nameless wa Kenya

Ambwene Yessaya ‘AY’ ambaye alikuwa ‘mentor’ wa Damian Soul kwenye shindano la Maisha Superstar lililofanyika mwaka huu, aliwahi kusema kuwa wasanii wengi wakubwa wa Afrika Mashariki wamekuwa wakiomba kufanya collabo na Damian, baada ya kuona uwezo wake mkubwa aliouonesha kwenye shindano hilo. Damian Soul ambaye ameenda Kenya kufanya media tour, pia ameingia studio kurekodi collabo […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rich Mavoko aeleza ya moyoni

MSANII wa Bongo fleva, Richard Martin ‘Rich Mavoko’ amewataka wasanii wenzake wawe na moyo wa kuwakumbuka wenzao waliotangulia mbele za haki hata kwa kuwatembelea wazazi au ndugu zao waliopo duniani....

 

9 years ago

Bongo5

Music: Rich Mavoko – Naimani

Rich-Mavoko-Naimani

Wimbo mpya wa msanii wa bongo fleva Rich Mavoko unaitwa “Naimani”. Producer Boy David & Aby Dad

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani