WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKABIDHI FEDHA ZA RUZUKU KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO,MJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Bw. Juma Digalu wa Kampuni ya Uchimbaji Mdini ya Mwalazi, hudndi ya Dola za Marekani 50,000 akiwa ni mmoja ni mmoja wa wachimbaji madini wadogowadogo waliopatiwa ruzuku na serikali kupitia Benki ya TIB. Hafla ya kukabidhi hundi hizo ilifnyika kwenye Chuo cha Madini cha Dodoma Aprili 9, 2014. Kushoto ni Waziri wa Nisahati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Wapili kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati na Madini, Stephen Masele na Kulia ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Pinda akabidhi fedha za ruzuku kwa wachimbaji wadogo wadogo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Bw. Juma Digalu wa Kampuni ya Uchimbaji Mdini ya Mwalazi, hudndi ya Dola za Marekani 50,000 akiwa ni mmoja ni mmoja wa wachimbaji madini wadogowadogo waliopatiwa ruzuku na serikali kupitia Benki ya TIB. Hafla ya kukabidhi hundi hizo ilifnyika kwenye Chuo cha Madini cha Dodoma Aprili 9, 2014. Kushoto ni Waziri wa Nisahati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Wapili kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati na Madini, Stephen Masele na Kulia ni...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VC12ikQ_CCM/U0QSVKJR5EI/AAAAAAAFZUQ/yGpjJMfA_4I/s72-c/DSC_1339_tn.jpg)
WAZIRI MKUU KUWA MGENI RASMI, HAFLA YA KUKABIDHI HUNDI ZA RUZUKU KWA WACHIMBAJI WADOGO
![](http://1.bp.blogspot.com/-VC12ikQ_CCM/U0QSVKJR5EI/AAAAAAAFZUQ/yGpjJMfA_4I/s1600/DSC_1339_tn.jpg)
Hafla ya Utoaji wa hundi hizo kwa wachimbaji wadogo itafanyika mjini Dodoma tarehe 9/4/2014 katika Chuo cha Madini ambapo Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akiambatana na Naibu Waziri anayeshughulikia Madini, Stephen...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QzoJp-vawTA/VYW5NZiC6VI/AAAAAAAC7Mk/xxX2Ib6CDYo/s72-c/5.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA ATEMBELEA MGODI WA MGUSU ULIOKABIDHIWA KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-QzoJp-vawTA/VYW5NZiC6VI/AAAAAAAC7Mk/xxX2Ib6CDYo/s640/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndug Kinana leo amehitimisha ziara yake ndani ya mkoa wa Geita kwa kutembea kilometa 1680 kwa Gari,ametembelea Majimbo sita na Wilaya zake sita,huku akiwa amehutubia mikutano 78,mikutano 72 ya hadhara na mikutano 6 ya ndania.Ndugu Kinana ametembelea miradi 53 ya Maendeleo,miradi mitano ya CCM.Kama...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ee4UN2FQfqI/U4zh-ak4jZI/AAAAAAACiuI/7sm-9MOdgkY/s72-c/14.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,KINANA NDANI YA MERERANI,AKUTANA NA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO WA MADINI NA KUSIKILZA CHANGAMOTO ZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ee4UN2FQfqI/U4zh-ak4jZI/AAAAAAACiuI/7sm-9MOdgkY/s1600/14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wB0YfRykrlY/U4zh8Mu5WeI/AAAAAAACiuA/NRC90O9WADA/s1600/15.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cF3RV8e731I/U4ziDniQBdI/AAAAAAACiuY/dxqyoJHfn2c/s1600/17.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0AEqUsFVPPk/U2rqs0siQdI/AAAAAAAA-bE/-F-_grJSfUQ/s72-c/magori.jpg)
NSSF YATOA SEMINA KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO WA WAMADINI-MWANZA
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Apr
Wachimbaji wadogo waomba ruzuku
Na Angela Sebastian, Kyerwa
WACHIMBAJI wadogo wanaojihusisha na uchimbaji wa madini ya bati katika mgodi wa Nyaruzumbula, uliko kijijini Kabingo, wameiomba serikali kuwapatia ruzuku.
Lengo la ruzuku hiyo ni kutaka kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili, ikiwemo bei ndogo ya madini hayo na utoroshwaji unaofanywa na wananchi wasiokuwa wazalendo.
Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Wilaya, Luten Kanali Benedict Kitenga, mbele ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, alipofanya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
BENKI YA DUNIA YAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YIFxXfdeNDM/VTpjNxuBuPI/AAAAAAAHS-M/wK7buTADjik/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AWASILI MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-YIFxXfdeNDM/VTpjNxuBuPI/AAAAAAAHS-M/wK7buTADjik/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AyTCU5OQJzM/VTpjONN4VGI/AAAAAAAHS-I/YSffn4W0gd8/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
10 years ago
Michuzi15 Jun
WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AHUDHURIA IBADA MJINI DODOMA.
![01](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/0115.jpg)
![03](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/039.jpg)
![04](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/045.jpg)