Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Benki yaanza kukopesha sekta ya afya

BENKI ya Africa Tanzania imeanza kutoa mikopo yenye riba nafuu kwa sekta ya afya ili kuwezesha zahanati, vituo vya afya na hospitali kutoa huduma bora kwa wananchi. Meneja mwandamizi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Naibu Waziri wa Afya aipongeza Benki ya CRDB uwezeshaji Sekta ya Afya

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa pili kulia) pamoja na Wakurugenzi wengine wa Benki hiyo, wakimsikiliza Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel wakati wa Kongamano la Uwezeshaji Sekta ya Afya "Afya Forum" lililoandaliwa na Benki ya CRDB. Kongamano hilo lilifanyika kwa njia ya mtandao ambapo zaidi ya watoa huduma za afya 500 walihudhuria.
======    ======     ======


• Mikopo zaidi kutolewa kwa watoa huduma sekta za afyakusaidia ununuzi wa vifaa tiba, dawa...

 

10 years ago

Michuzi

Wadau wa Sekta ya Afya kutoka Tanzania Washiriki Maonyesho ya Sekta ya Afya jijini Istanbul -Uturuki. Dec 2014.

Washiriki Kumi na Wanne (14) kutoka Tanzania wajumuika na wenzao 20 kutoka nchi mbalimbali za Afrika katika Maonyesho ya Pili Sekta ya Afya chini Uturuki. Maonyesho hayo hufanyika kila mwaka na kwa lengo la kuendeleza mahusiano na ushirikiano katika kuboresha Sekta ya Afya kwa nchi husika. Maonyesho ya Mwaka huu yalikuwa na washiriki kutoka nchi 60 duniani kote.  Kwa upande wa Afrika mkutano huu ulioratibiwa na kusimamiwa na kampuni ya kuendeleza mahusiano ya maendeleo na biashara kati ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kampuni D’salaam yaanza kukopesha matrekta wakulima

Kampuni ya Intertechnology Ltd ya Dar es Salaam, imeanza kuuza na kukopesha matrekta yenye gharama nafuu kwa wakulima kwa lengo la kuongeza kasi ya mapinduzi ya kijani katika sekta ya kilimo.

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya akifungua rasmi mkutano wa wadau wa uhamasishaji wa ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi PPP - ("Public and Private Partnership") katika Sekta ya Afya uliofanyika leo katika ukumbi wa Hospitali Kuu ya Mkoa wa Rukwa. Katika hotuba yake ya ufunguzi amesema ili kufikia lengo kuu la millennia ifikapo mwaka 2015 la kupunguza vifo vya watoto, akina mama wajawazito na kuweza kudhibiti magonjwa yanayoambukiza na yasiyoambukiza pamoja na kuboresha...

 

9 years ago

Mwananchi

Benki ya Mwanga kukopesha walalahoi

Benki ya Wananchi Mwanga (MCBL), mkoani Kilimanjaro inakusudia kuongeza fedha za mikopo kwa wajasiriamali wadogo baada ya kupata faida kubwa katika kipindi cha mwaka 2013/14.

 

5 years ago

Michuzi

SEKTA BINAFSI YACHANGIA SERIKALI BILIONI 2.1 KWA AJILI YA KUBORESHA SEKTA YA AFYA


Na. WAMJW-DSM

Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepokea kiasi cha shilingi bilioni 2.1 kwa ajili ya kuboresha huduma za afya kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini kutoka kwa wadau wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF).

Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi ameishukuru TPSF kwa uratibu wao kwa sekta binafsi kuchangia vifaa tiba hivyo ili vituo vya afya kuwa na vifaa muhimu vya kutolea...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge likumbuke sekta ya afya

Muunganiko wa wadau wa afya umeitaka Serikali na wajumbe wa Bunge la Katiba kuweka suala afya kama mojawapo ya haki za msingi za Watanzania.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sekta ya afya kuimarika Dodoma

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kushirikiana na Serikali ya Mkoa wa Dodoma, leo inatarajiwa kuzindua mpango wa kuimarisha sekta ya afya mkoani hapa. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani