Walalamikia CRDB kuchelewa kuwalipa
Baadhi ya vyama vya ushirika vya msingi vya kuuza mazao wilaya za Liwale na Nachingwea, mkoani Lindi, vinavyohudumiwa na Benki ya CRDB wameilalamikia kwa kitendo cha kuchelewesha kutoa fedha kuwalipa wakulima wa korosho msimu wa 2013/14.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB WAKISHIRIKI MICHEZO MBALIMBALI KATIKA SIKU YA FAMILIA YA CRDB
Watoto wakifurahia michezo mbalimbali katika viwanja vya Olasiti Garden
leo katika sherehe za siku ya familia ya CRDB ambazo hufanyika kila mwaka
na kuhudhuriwa na familia za wafnayakazi wa benki pamoja na familia za
wateja.
KWA PICHA...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0q5gNP3GD-s/XkV1wj8XugI/AAAAAAALdSc/w28O9TXai3Qh3H1wzCEgfCYQa4-AawQTQCLcBGAsYHQ/s72-c/4a68ba94-5fa6-4525-9686-d28b8382e7fc.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA CRDB UKIONGOZWA NA MWENYEKITI WA BODI YA CRDB .
![](https://1.bp.blogspot.com/-0q5gNP3GD-s/XkV1wj8XugI/AAAAAAALdSc/w28O9TXai3Qh3H1wzCEgfCYQa4-AawQTQCLcBGAsYHQ/s640/4a68ba94-5fa6-4525-9686-d28b8382e7fc.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1d3ae15b-8ccb-41de-a973-e7572187ffe0.jpg)
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Serikali kuwalipa wafanyakazi wa MPM
10 years ago
Habarileo08 Jun
Serikali yaahidi kuwalipa makandarasi
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema Serikali italipa madeni ya makandarasi na watumishi ambayo yamehakikiwa na pia itapeleka TAMISEMI orodha ya halmashauri ambazo zimetoa madeni hewa ili yalipwe.
10 years ago
BBCSwahili01 May
Simba kuwalipa wachezaji wake wa zamani?
11 years ago
BBCSwahili14 May
Samsung kuwalipa fidia wafanyakazi wake
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Bil. 1/- yatengwa kuwalipa wazee wa mahakama
KATIKA mwaka wa fedha 2014/15 Wizara ya Katiba na Sheria imetenga sh bilioni 1.5 kwa ajili ya malipo ya wazee wa mahakama. Ahadi hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri...
10 years ago
StarTV26 Feb
Serikali yatenga Sh. Bil. 30 kuwalipa wakulima.
Na Mkombe Zanda,
Mbeya.
Serikali imetenga shilingi bilioni 30 kwa ajili ya kuwalipa wakulima waliouza mazao yao kwa Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula NFRA kwenye mikoa mbalimbali nchini.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema fedha hizo zitalipwa kwa Wakulima katika awamu mbili za shilingi bilioni 15 ili kumaliza malalamiko yanayotokana na kuchelewa kwa malipo hayo.
Hayo yalibainishwa na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Pinda, katika siku ya kwanza ya ziara ya wiki moja mkoani Mbeya...