Bil. 1/- yatengwa kuwalipa wazee wa mahakama
KATIKA mwaka wa fedha 2014/15 Wizara ya Katiba na Sheria imetenga sh bilioni 1.5 kwa ajili ya malipo ya wazee wa mahakama. Ahadi hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Wazee wa Mahakama watengewa Bil. 1.5/-
SERIKALI imesema katika mwaka wa fedha 2014/2015, Wizara ya Katiba na Sheria, imetenga sh bilioni 1.5 kwa ajili ya malipo ya madai ya wazee wa mahakama. Ahadi hiyo ilitolewa bungeni...
10 years ago
StarTV26 Feb
Serikali yatenga Sh. Bil. 30 kuwalipa wakulima.
Na Mkombe Zanda,
Mbeya.
Serikali imetenga shilingi bilioni 30 kwa ajili ya kuwalipa wakulima waliouza mazao yao kwa Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula NFRA kwenye mikoa mbalimbali nchini.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema fedha hizo zitalipwa kwa Wakulima katika awamu mbili za shilingi bilioni 15 ili kumaliza malalamiko yanayotokana na kuchelewa kwa malipo hayo.
Hayo yalibainishwa na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Pinda, katika siku ya kwanza ya ziara ya wiki moja mkoani Mbeya...
9 years ago
Habarileo27 Sep
Samia: CCM itahakiki wazee na kuwalipa mafao
ILANI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeweka mikakati ya kufanya uhakiki wa wazee nchi nzima ili kuweza kupata idadi yao kamili na hatimaye, kuwapatia mafao ya kuwawezesha kuishi maisha yao ya uzeeni bila tabu.
9 years ago
StarTV14 Aug
TALGWU waitaka serikali kuwalipa stahiki zao shilingi bil.18
Baadhi ya viongozi wa chama cha wafanyakazi Serikali za Mitaa TALGWU Mkoani Mwanza wameitaka serika kuwalipa stahiki zao haraka kiasi cha shilingi billion 18 ikiwa ni moja ya malimbikizo ya stahiki zao.ahadi ya serikali
Wamesema kuwa licha ya Rais wa jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Mh.Jakaya Mrisho Kikwetwe kutoa tamko la kulipa malimbikizo ya madeni kuwalipa kabla ya juni 30 mwaka huu lakini mpaka sasa hayajafanyiwa kazi jambo ambalo wamesema linawaweka katika mgumu.
Madai hayo yametolewa...
11 years ago
Mwananchi14 Apr
... Dar es salaam yatengwa
11 years ago
Mwananchi17 May
Mamilioni yatengwa kuikabili dengue
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Urusi yatengwa katika kundi la G7
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KkxqEnBJGWCzn*10thJ4XW2Wrz6oM4SIt*hkGiDsXhUYD2ZKkMudwyRG*UIi4-b1YszJMzN3MOOLACEgGQskPPxSyhKb7bIp/Diamond.gif?width=650)
MAMILIONI YATENGWA KUMPORA DIAMOND MTOTO!
10 years ago
Habarileo11 Nov
Mabilioni yatengwa kwa umeme Mbinga
JUMLA ya Sh bilioni 4.59 zinatarajiwa kutumika kupeleka umeme katika baadhi ya vijiji vilivyopo wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.