Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samia: CCM itahakiki wazee na kuwalipa mafao

ILANI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeweka mikakati ya kufanya uhakiki wa wazee nchi nzima ili kuweza kupata idadi yao kamili na hatimaye, kuwapatia mafao ya kuwawezesha kuishi maisha yao ya uzeeni bila tabu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bil. 1/- yatengwa kuwalipa wazee wa mahakama

KATIKA mwaka wa fedha 2014/15 Wizara ya Katiba na Sheria imetenga sh bilioni 1.5 kwa ajili ya malipo ya wazee wa mahakama. Ahadi hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri...

 

10 years ago

Michuzi

Mgombea Mwenza CCM Mama Samia Suluhu Hassan apukutisha Upinzani Lindi, 61 Wajiunga CCM, Wamo Viongozi

.
Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM pamoja na wananchi viwanja vya Mnazi Mmoja.

Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa...

 

10 years ago

Habarileo

Samia: Wanawake ichagueni CCM

MGOMBEA mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan amewataka wanawake kuipigia kampeni na kukichagua Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kirudi madarakani. Samia alitoa mwito huo mjini Dodoma jana na kueleza kuwa wanawake ni nguzo muhimu kwa chama hicho, hivyo wanalo jukumu kubwa kuhakikisha CCM inashinda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Machali awashukia wazee CCM

WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametakiwa kuacha kujifanya wao ndiyo magwiji na walimu wa muungano kuliko wengine. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Mjumbe wa Bunge Maalumu la...

 

10 years ago

Habarileo

Wazee wamaliza msuguano CCM

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete (kushoto) alipoingia ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma jana kuongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM. Waliosimama mbele ni wajumbe waalikwa wa kikao hicho kutoka Baraza la Ushauri la Wazee, Marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa na wengine ni Makamu Wenyeviti wastaafu wa CCM, John Malecela, Pius Msekwa na Amani Abeid Karume. (Picha na Bashir Nkoromo). BARAZA la Ushauri la Chama Cha Mapinduzi (CCM), lenye wajumbe wazee wenye uzoefu, jana lilizima hoja kinzani ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), ambazo zilikuwa zinataka kurejeshwa kwa jina la Edward Lowassa katika kuwania uteuzi wa urais.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti CCM awaangukia wazee

MWENYEKITI wa Kijiji cha Mlamleni Wilaya ya Mkuranga mkoani  Pwani, Hamisi Linyimuka (CCM), amewaomba radhi wazee wa mtaa wa Videte kwa kosa la kumilikisha ardhi. Hatua hiyo ilikuja baada ya Mwenyekiti...

 

10 years ago

Habarileo

Samia: Ilani ya CCM itaboresha ufugaji

MGOMBEA Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema ilani ya uchaguzi ya chama hicho ya mwaka 2015/20 imejizatiti kuendeleza sekta ya mifugo kwa kuongeza uzalishaji wa mitamba na kuweka mazingira wezeshi kwa sekta binafsi na ufugaji wa kisasa.

 

10 years ago

Habarileo

Samia awa mgombea mwenza CCM

Samia SuluhuKWA mara ya kwanza Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemteua mwanachama wake mwanamke kuwa mgombea mwenza wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu waOktoba 25, mwaka huu na kuweka historia.

 

10 years ago

Mwananchi

Samia ajitapa CCM kuumaliza mgogoro

Mgodi wa Kiwira uliokuwa na mgogoro kwa zaidi ya miaka 10 kati ya mwekezaji na Serikali, umepata mwekezaji mwingine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani