Wazee wamaliza msuguano CCM
BARAZA la Ushauri la Chama Cha Mapinduzi (CCM), lenye wajumbe wazee wenye uzoefu, jana lilizima hoja kinzani ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), ambazo zilikuwa zinataka kurejeshwa kwa jina la Edward Lowassa katika kuwania uteuzi wa urais.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Machali awashukia wazee CCM
WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametakiwa kuacha kujifanya wao ndiyo magwiji na walimu wa muungano kuliko wengine. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Mjumbe wa Bunge Maalumu la...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Mwenyekiti CCM awaangukia wazee
MWENYEKITI wa Kijiji cha Mlamleni Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani, Hamisi Linyimuka (CCM), amewaomba radhi wazee wa mtaa wa Videte kwa kosa la kumilikisha ardhi. Hatua hiyo ilikuja baada ya Mwenyekiti...
9 years ago
Habarileo15 Oct
Wazee waitaka CCM kutohangaika na wanaohama
WAZEE mkoani Rukwa wametamka hadharani kuwa CCM ni chama chenye heshima kubwa kwa kuwa na Ilani ya Uchaguzi bora na yenye heshima.
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Wazee wa CCM wadai kupoteza imani na Kificho
11 years ago
Habarileo10 Apr
CCM Marekani serikali 2, wazee Z’bar wamfagilia JK
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), tawi la jijini Washington DC, Marekani wametoa tamko la kuunga mkono muundo wa serikali mbili, wakisema umewaweka Watanzania katika hali ya umoja na mshikamano kwa miaka ipatayo 50 sasa.
11 years ago
Habarileo04 Apr
Wazee CCM: Wabunge teteeni serikali mbili
WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuhakikisha wanatetea muundo wa Muungano wa serikali mbili.
9 years ago
Habarileo27 Sep
Samia: CCM itahakiki wazee na kuwalipa mafao
ILANI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeweka mikakati ya kufanya uhakiki wa wazee nchi nzima ili kuweza kupata idadi yao kamili na hatimaye, kuwapatia mafao ya kuwawezesha kuishi maisha yao ya uzeeni bila tabu.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UI77DwC5MUo/U0WEOFr2_nI/AAAAAAAFZkU/5nKPmffYpTI/s72-c/unnamed.jpg)
Wazee wa CCM Zanzibar Wamtembelea Rais Kikwete ikulu Dar es Salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-UI77DwC5MUo/U0WEOFr2_nI/AAAAAAAFZkU/5nKPmffYpTI/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
VijimamboMATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0
MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-
YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...