CCM Marekani serikali 2, wazee Z’bar wamfagilia JK
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), tawi la jijini Washington DC, Marekani wametoa tamko la kuunga mkono muundo wa serikali mbili, wakisema umewaweka Watanzania katika hali ya umoja na mshikamano kwa miaka ipatayo 50 sasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Apr
Wazee CCM: Wabunge teteeni serikali mbili
WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuhakikisha wanatetea muundo wa Muungano wa serikali mbili.
11 years ago
Habarileo28 Jan
Chadema wamfagilia Mbunge CCM
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), kimepongeza kazi zinazofanywa na Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani katika kutatua kero za wananchi sanjari na utekelezaji wa miradi ya maendeleo.
10 years ago
Habarileo25 Feb
Hatutaunda tena Serikali ya Kitaifa Z’bar, yasema CCM.
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema hakitaunda tena Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kutokana na baadhi ya washiriki wake kuvuruga utaratibu na misingi ya kuanzishwa kwa serikali hiyo.
5 years ago
MichuziWAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE
Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu. Akisoma...
10 years ago
MichuziZANTEL YATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAZEE Z'BAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4XxR2HDlHX4/VRKbrLMtVjI/AAAAAAAHNF8/4R3U2-WW5H8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-25%2Bat%2B2.26.09%2BPM.png)
FM ACADEMIA "WAZEE WA GWASUMA" KUWASHA MTO WILAYANI HAI KATIKA UZINDUZI WA FLOMENA BAR USIKU WA JUMATATU YA PASAKA
Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma wanatarajiwa kuwasha moto ndani ya ukumbi mpya wa kisasa ujulikanao kwa jina la Flomena uliopo wilayani hai mkoani Kilimanjaro usiku wa jumatatu ya pasaka .
Akizungumza na waandishi wa habari muandaaji wa onyesho hilo Swaum kileo alisema kuwa ameamua kuwaleta bendi hiyo katika uzinduzi huo ili kuweza kuwafurahisha wananchi wa mkoa wa kilimanjaro na mikoa jirani katika sikukuu hiii ya pasaka.
![](http://3.bp.blogspot.com/-4XxR2HDlHX4/VRKbrLMtVjI/AAAAAAAHNF8/4R3U2-WW5H8/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-25%2Bat%2B2.26.09%2BPM.png)
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Marekani yasikitishwa na tamko la ZEC kufuta uchaguzi Z’bar
11 years ago
Mwananchi25 May
Serikali yabanwa pensheni ya wazee
10 years ago
Habarileo23 Jan
Wazee wataka mazuri ya Serikali yasemwe
MWENYEKITI mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Pancras Ndejembi ametaka mazuri yaliyofanywa na serikali ambayo ni mengi yatangazwe.