FM ACADEMIA "WAZEE WA GWASUMA" KUWASHA MTO WILAYANI HAI KATIKA UZINDUZI WA FLOMENA BAR USIKU WA JUMATATU YA PASAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4XxR2HDlHX4/VRKbrLMtVjI/AAAAAAAHNF8/4R3U2-WW5H8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-25%2Bat%2B2.26.09%2BPM.png)
Na Woinde Shizza,Arusha
Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma wanatarajiwa kuwasha moto ndani ya ukumbi mpya wa kisasa ujulikanao kwa jina la Flomena uliopo wilayani hai mkoani Kilimanjaro usiku wa jumatatu ya pasaka .
Akizungumza na waandishi wa habari muandaaji wa onyesho hilo Swaum kileo alisema kuwa ameamua kuwaleta bendi hiyo katika uzinduzi huo ili kuweza kuwafurahisha wananchi wa mkoa wa kilimanjaro na mikoa jirani katika sikukuu hiii ya pasaka.Alisema kuwa bendi hii inamda mrefu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-NgeF1AcFBCg/VG8DvDzjMmI/AAAAAAABFqU/9q4IAHcTHG0/s72-c/IMG_2000.jpg)
FM ACADEMIA 'WAZEE WA NGWASUMA' YAMOTO BAND NA BARBANAS KUWASHA MOTO USIKU WA ONYESHO LA 'USIKU MWEUPE' JIJINI DAR
Na Mwandishi Wetu. FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' Yamoto Band na Barbanas, kesho watakuwa na onesho maalum liitwalo 'Usiku Mweupe' litakalofanyika kwenye ukumbi wa Escape One, uliopo mikocheni Dar es Salaam.Mratibu wa onesho hilo Wiliam Malecela, alisema kuwa kila kitu kipo vizuri ambapo onesho hilo litaanza saa 3, usiku.Alisema kuwa dhumuni la kufanya onesho la pamoja kwa bendi hizo na msanii huyo anayefanya vizuri katika muziki wa kizazi kipya ni kutaka kuuinua muziki wa dansi ambao...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_Qxe_24K4F4/VajZd2FhyoI/AAAAAAABSA0/48pjxAiUO0s/s72-c/photo_2015-07-17_13-27-18.jpg)
WATU WANNE WAFARIKI DUNIA BAADA YA HIACE KUGONGANA NA FUSO KATIKA DARAJA LA MTO KIKAVI WILAYANI HAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_Qxe_24K4F4/VajZd2FhyoI/AAAAAAABSA0/48pjxAiUO0s/s640/photo_2015-07-17_13-27-18.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cQWDm2f8_rs/VajZd82oAcI/AAAAAAABSA4/X8V-H92lOrA/s640/photo_2015-07-17_13-27-23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yAa1X-AUcKo/VajZf4WRicI/AAAAAAABSBE/bJFKpqB8nBs/s640/photo_2015-07-17_13-27-56.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Hb3otOLUKN0/VU5s-jOdRDI/AAAAAAAAPMs/TcA6eOCyZTs/s72-c/E86A7037%2B(800x533).jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA HAI ATEMBELEA ENEO LA TAMBARARE WILAYANI HAI KUJIONEA ATHARI ZA MAFURIKO NA KUTOA POLE KWA WAATHIRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hb3otOLUKN0/VU5s-jOdRDI/AAAAAAAAPMs/TcA6eOCyZTs/s640/E86A7037%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-S90b3FxuIqU/VU5s_NBkYFI/AAAAAAAAPM0/7vULVYb-lH8/s640/E86A7048%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-c4_6kMMY72s/VU5tE3qLq5I/AAAAAAAAPNQ/499omJaE47M/s640/E86A7063%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tid0jA3dk14/VU5tIU6X3vI/AAAAAAAAPNk/Gz-8TXi0Sfw/s640/E86A7090%2B(800x533).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-S90b3FxuIqU/VU5s_NBkYFI/AAAAAAAAPM0/7vULVYb-lH8/s72-c/E86A7048%2B(800x533).jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA HAI ATEMBELEA ENEO LA TAMBARALE WILAYANI HAI KUJIONEA ATHARI ZA MAFURIKO NA KUTOA POLE KWA WAATHIRIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-S90b3FxuIqU/VU5s_NBkYFI/AAAAAAAAPM0/7vULVYb-lH8/s640/E86A7048%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hb3otOLUKN0/VU5s-jOdRDI/AAAAAAAAPMs/TcA6eOCyZTs/s640/E86A7037%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CC50Lk00rj4/VU5s_Go8RTI/AAAAAAAAPMw/14cFb3_hGrI/s640/E86A7041%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dizkt-Y5v84/VU5tESLP_wI/AAAAAAAAPNE/aR7Vur4PxmU/s640/E86A7054%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-c4_6kMMY72s/VU5tE3qLq5I/AAAAAAAAPNQ/499omJaE47M/s640/E86A7063%2B(800x533).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LQskPInfO58/VOXWiYbz5xI/AAAAAAAHEjI/l89qF6i8Bww/s72-c/Siku%2BYa%2BWarembo%2BDJ%2BBiggie.png)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_vTJAwBJecM/VdOh0R37RJI/AAAAAAAHyEA/ZC2mv8epeuQ/s72-c/fm%2Bacademia-wazee%2B-official%2Bimage.jpg)
FM Academia ‘Wazee wa Ngasuma’ kusherehekea miaka 18 Ijumaa hii
![](http://2.bp.blogspot.com/-_vTJAwBJecM/VdOh0R37RJI/AAAAAAAHyEA/ZC2mv8epeuQ/s640/fm%2Bacademia-wazee%2B-official%2Bimage.jpg)
BENDI ya muziki wa Dansi, FM Academia ‘Wazee wa Ngasuma’ Ijumaa hii ya Agosti 21 watafanya sherehe ya kuazimisha miaka 18 tangu kuanzishwa kwake itakayofanyika kwenye Ukumbi wa The Arcade House, uliopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa Habari jana Rais wa bendi hiyo, Nyoshi El Sadaat, alisema kuwa maandalizi ya sherehe hizo yanaendelea vizuri.
Alisema kuwa siku hiyo itakuwa maalum kwa wapenzi wao kuanzia wa miaka hiyo mpaka sasa maana wataburudisha...
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Keke kuwasha moto Tamasha la Pasaka
MWIMBAJI wa Injili kutoka Afrika Kusini Kekeletso Phoofolo ‘Keke,’ amewasili jana tayari kwa tamasha la Pasaka linalotarajiwa kutimua vumbi leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Akizungumza mara...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PlxnT23hO8Y/default.jpg)
10 years ago
GPLTWANGA PEPETA WAKIWASHA MOTO KATIKA UZINDUZI WA YAMOTO BAND NDANI YA DAR LIVE USIKU HUU