FM Academia ‘Wazee wa Ngasuma’ kusherehekea miaka 18 Ijumaa hii
![](http://2.bp.blogspot.com/-_vTJAwBJecM/VdOh0R37RJI/AAAAAAAHyEA/ZC2mv8epeuQ/s72-c/fm%2Bacademia-wazee%2B-official%2Bimage.jpg)
Asha Kigundula
BENDI ya muziki wa Dansi, FM Academia ‘Wazee wa Ngasuma’ Ijumaa hii ya Agosti 21 watafanya sherehe ya kuazimisha miaka 18 tangu kuanzishwa kwake itakayofanyika kwenye Ukumbi wa The Arcade House, uliopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa Habari jana Rais wa bendi hiyo, Nyoshi El Sadaat, alisema kuwa maandalizi ya sherehe hizo yanaendelea vizuri.
Alisema kuwa siku hiyo itakuwa maalum kwa wapenzi wao kuanzia wa miaka hiyo mpaka sasa maana wataburudisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IPLltGO0E-0/Vi5gCmSgWWI/AAAAAAAIC34/8L-IJOW2tJE/s72-c/m1.jpg)
MAMIZ GRAND RESORT INAKULETEA MIAKA 18 YA FM ACADEMIA WAZEE WA NGWASUMA NA NGOMA ZAO MPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-IPLltGO0E-0/Vi5gCmSgWWI/AAAAAAAIC34/8L-IJOW2tJE/s640/m1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iEcKEjUVyVI/Vi5gGUfkfAI/AAAAAAAIC4g/34xMZ6Fv3vI/s640/m2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ek7K8BFe5UI/Vi5gIGLNebI/AAAAAAAIC5A/CyB8ziiHGl0/s640/m4.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-c7qW4p7Dr_c/UzAMJArTRFI/AAAAAAACeJE/upicg1yk9sA/s72-c/AfricanNight+(1).png)
SAFARI CLUB IJUMAA HII MAY MOSI NI USIKU MAALUM WA MUZIKI WA WAZEE
![](http://3.bp.blogspot.com/-c7qW4p7Dr_c/UzAMJArTRFI/AAAAAAACeJE/upicg1yk9sA/s1600/AfricanNight+(1).png)
NO COVER CHARGEWazee tuzikumbuke enzi za Banda Beach Kigamboni
Karibuni sana Ijuma May MosiSafari Club
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PlxnT23hO8Y/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pB1_totHtgM/VIjl849P_-I/AAAAAAAAHoQ/o0g55tqUdyc/s72-c/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Mishumaa ya Kale LIVE .Ijumaa hii na kila Ijumaa
![](http://4.bp.blogspot.com/-pB1_totHtgM/VIjl849P_-I/AAAAAAAAHoQ/o0g55tqUdyc/s1600/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4XxR2HDlHX4/VRKbrLMtVjI/AAAAAAAHNF8/4R3U2-WW5H8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-25%2Bat%2B2.26.09%2BPM.png)
FM ACADEMIA "WAZEE WA GWASUMA" KUWASHA MTO WILAYANI HAI KATIKA UZINDUZI WA FLOMENA BAR USIKU WA JUMATATU YA PASAKA
Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma wanatarajiwa kuwasha moto ndani ya ukumbi mpya wa kisasa ujulikanao kwa jina la Flomena uliopo wilayani hai mkoani Kilimanjaro usiku wa jumatatu ya pasaka .
Akizungumza na waandishi wa habari muandaaji wa onyesho hilo Swaum kileo alisema kuwa ameamua kuwaleta bendi hiyo katika uzinduzi huo ili kuweza kuwafurahisha wananchi wa mkoa wa kilimanjaro na mikoa jirani katika sikukuu hiii ya pasaka.
![](http://3.bp.blogspot.com/-4XxR2HDlHX4/VRKbrLMtVjI/AAAAAAAHNF8/4R3U2-WW5H8/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-25%2Bat%2B2.26.09%2BPM.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pB1_totHtgM/VIjl849P_-I/AAAAAAAAHoQ/o0g55tqUdyc/s72-c/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Mishumaa ya Kale...Ijumaa hii na kila Ijumaa
![](http://4.bp.blogspot.com/-pB1_totHtgM/VIjl849P_-I/AAAAAAAAHoQ/o0g55tqUdyc/s1600/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-NgeF1AcFBCg/VG8DvDzjMmI/AAAAAAABFqU/9q4IAHcTHG0/s72-c/IMG_2000.jpg)
FM ACADEMIA 'WAZEE WA NGWASUMA' YAMOTO BAND NA BARBANAS KUWASHA MOTO USIKU WA ONYESHO LA 'USIKU MWEUPE' JIJINI DAR
Na Mwandishi Wetu. FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' Yamoto Band na Barbanas, kesho watakuwa na onesho maalum liitwalo 'Usiku Mweupe' litakalofanyika kwenye ukumbi wa Escape One, uliopo mikocheni Dar es Salaam.Mratibu wa onesho hilo Wiliam Malecela, alisema kuwa kila kitu kipo vizuri ambapo onesho hilo litaanza saa 3, usiku.Alisema kuwa dhumuni la kufanya onesho la pamoja kwa bendi hizo na msanii huyo anayefanya vizuri katika muziki wa kizazi kipya ni kutaka kuuinua muziki wa dansi ambao...
11 years ago
Mwananchi11 Jan
FM Academia; Bendi ya muziki wa dansi wa kizazi kipya iliyokaa kileleni miaka 16
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Ni aibu kusherehekea miaka 52 ya mapinduzi ya zanzibar na mpasuko wa kisiasa