Wazee waitaka CCM kutohangaika na wanaohama
WAZEE mkoani Rukwa wametamka hadharani kuwa CCM ni chama chenye heshima kubwa kwa kuwa na Ilani ya Uchaguzi bora na yenye heshima.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Butiku aunga mkono wanaohama CCM
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MKURUGENZI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amewaunga mkono wanachama na makada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wanaohamia vyama vya upinzani.
Alisema makada hao walichelewa kutoka ndani ya chama hicho na wameondoka wakati tayari chama hicho kimeharibika.
Butiku aliyasema hayo alipotoa mada kwenye mdahalo wa Maadili na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu, Dar es Salaam jana.
Alisema CCM ni sawa na kokoro ambalo limebeba kila aina ya uchafu.
Butiku...
10 years ago
Habarileo04 Aug
Nape: Wanaohama CCM ni sawa na mafuta machafu
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema wanachama waliokihama chama hicho wamejivua nguo mbele za watu na kwamba wapinzani wanaowachukua wanahangaika na mafuta machafu.
10 years ago
StarTV22 Dec
CCM Mwanza waitaka Serikali kusimamia sheria
Na Abdalla Tilata, Mwanza.
Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mwanza imeitaka Serikali kusimamia sheria ili kuhakikisha kila mwananchi anapata uhuru wa kuchagua kiongozi anayemtaka katika chaguzi mbalimbali badala ya kushinikizwa.
Tamko hili la Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mwanza limekuja ikiwa ni siku chache baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na katika baadhi ya vituo wananchi kufanyiwa fujo na baadhi ya wafuasi wa vyama vya...
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Chadema waitaka CCM isikwamishe Katiba Mpya
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DnDGCL7q9gk/VbjOGRhI6eI/AAAAAAAC9EA/tZ86Goq07Xw/s72-c/8.jpg)
CCM MKOA WA DAR ES SALAAM WAITAKA TUME KUONGEZA VIFAA ILI KUFANIKISHA ZOEZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-DnDGCL7q9gk/VbjOGRhI6eI/AAAAAAAC9EA/tZ86Goq07Xw/s640/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mIvPSmztF3U/VbjOGG7UWeI/AAAAAAAC9D8/veC22HhdvL4/s640/6.jpg)
Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Dar es Salaam kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuongeza,vifaa na rasilimali watu...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mjqtNw2FrJc/VbjFQwUSKcI/AAAAAAAAiq0/okZlr5k75qw/s72-c/1.jpg)
CCM MKOA WA DAR ES SALAAM WAITAKA TUME KUONGEZA VIFAA PAMOJA NA RASILIMALI WATU ILI KURAHISISHA ZOEZI LA UANDIKISHAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-mjqtNw2FrJc/VbjFQwUSKcI/AAAAAAAAiq0/okZlr5k75qw/s640/1.jpg)
Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Dar es Salaam kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuongeza,vifaa na rasilimali watu ili wananchi wengi waweze kujiandikisha kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura bila usumbufu.
Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Bw. Juma Simba Gadafi alisema...
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Machali awashukia wazee CCM
WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametakiwa kuacha kujifanya wao ndiyo magwiji na walimu wa muungano kuliko wengine. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Mjumbe wa Bunge Maalumu la...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Mwenyekiti CCM awaangukia wazee
MWENYEKITI wa Kijiji cha Mlamleni Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani, Hamisi Linyimuka (CCM), amewaomba radhi wazee wa mtaa wa Videte kwa kosa la kumilikisha ardhi. Hatua hiyo ilikuja baada ya Mwenyekiti...