Nape: Wanaohama CCM ni sawa na mafuta machafu
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema wanachama waliokihama chama hicho wamejivua nguo mbele za watu na kwamba wapinzani wanaowachukua wanahangaika na mafuta machafu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Hm52IjhXhk0/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Mafuta machafu yaingizwa nchini
MKEMIA Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele, amesema kuna kampuni tatu za mafuta hapa nchini zimeingiza mafuta machafu yaliyotumika pamoja na kukwepa kulipa kodi. Licha ya kueleza jambo hilo, Manyele...
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Butiku aunga mkono wanaohama CCM
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MKURUGENZI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amewaunga mkono wanachama na makada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wanaohamia vyama vya upinzani.
Alisema makada hao walichelewa kutoka ndani ya chama hicho na wameondoka wakati tayari chama hicho kimeharibika.
Butiku aliyasema hayo alipotoa mada kwenye mdahalo wa Maadili na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu, Dar es Salaam jana.
Alisema CCM ni sawa na kokoro ambalo limebeba kila aina ya uchafu.
Butiku...
9 years ago
Habarileo15 Oct
Wazee waitaka CCM kutohangaika na wanaohama
WAZEE mkoani Rukwa wametamka hadharani kuwa CCM ni chama chenye heshima kubwa kwa kuwa na Ilani ya Uchaguzi bora na yenye heshima.
10 years ago
Bongo527 Dec
Mashabiki walumbana kuhusu video ya Alikiba ‘Mwana’, kama ni sawa au si sawa kwa video kutofuata maudhui ya wimbo
10 years ago
Mtanzania23 Mar
Nape: Hatumshambulii mtu CCM
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya CCM, Nape Nnauye, amesema mawaziri na watendaji wa serikali wanaotajwa kushindwa kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) hawashambuliwi kwa majina yao bali dhamana walizokabidhiwa.
Akihutubia maelfu ya wananchi kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini hapa juzi wakati wa kuhitimisha ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alisema wapo baadhi ya watendaji walioanza kupotosha utendaji wa CCM...
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Idadi ya wanaohama ni kubwa Ukrane:UNHCR