Nape: Hatumshambulii mtu CCM
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya CCM, Nape Nnauye, amesema mawaziri na watendaji wa serikali wanaotajwa kushindwa kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) hawashambuliwi kwa majina yao bali dhamana walizokabidhiwa.
Akihutubia maelfu ya wananchi kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini hapa juzi wakati wa kuhitimisha ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alisema wapo baadhi ya watendaji walioanza kupotosha utendaji wa CCM...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen13 Aug
Quit CCM now, supporters tell Nape opponent
11 years ago
TheCitizen18 Feb
Nape declares CCM stand in Assembly
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
CCM Arusha yapingana na kauli ya Nape
Katibu Mwenezi akizungumza na waandishi wa habari jana, katika Makao Makuu ya Chama hicho.
![SAM_1537](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/HzZJ9fwHiE7W-Idj-Wb4m38VBzN7RnhW8QeSjLilcEsOQ7tZrKSiIpMyuZqYc7Aagi3eVrPeov-4F0QiVNc4RVSc_JnxTGYEGF1Cg5xH1-q8igBk=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/sam_15371.jpg)
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mkoa wa Arusha,Isaack Joseph akizungumza na waandishi wa habari jana katika makao makuu ya chama hicho na kudai kushangazwa na kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Nape Nnauye ya kuwa makundi yanayokwenda nyumbani kwa Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowasa, kumshawishi kugombea Urais kuwa na kusema kuwa makundi hayo yanachokifanya ...
10 years ago
VijimamboNAPE ATANGAZA RATIBA YA MIKUTANO YA CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-8h7E_dzyF3Q/VZvUKvoyVvI/AAAAAAABRUI/6UYzpiEHJLw/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Nape: Makosa ya CCM yameinufaisha Ukawa
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Nape hajui anapambana na nani CCM
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Wana CCM wamjia juu Nape
![Nape Nnauye](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Nape-Nnauye-300x201.jpg)
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Nape Nnauye
RODRICK MUSHI NA ELIYA MBONEA, MOSHI
MRATIBU wa marafiki wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa walioko Kanda ya Kaskazini, Noel Nnko, amesema kauli ya Katibu wa Halmshauri Kuu,Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, dhidi ya makundi yanayokwenda nyumbani kwa kiongozi huyo kumshawishi agombee urais ni ya udhalilishaji.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Nnko alisema kitendo cha Nape kusema wanaokwenda kwa...
10 years ago
Habarileo20 Oct
Nape- Wasomi acheni kuisifu CCM
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, wasomi wasikisifu chama hicho, bali wakikosoe ili iwe chachu ya mabadiliko ndani ya chama.