Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nape: Hatumshambulii mtu CCM

kinanaNA ELIYA MBONEA, ARUSHA
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya CCM, Nape Nnauye, amesema mawaziri na watendaji wa serikali wanaotajwa kushindwa kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) hawashambuliwi kwa majina yao bali dhamana walizokabidhiwa.
Akihutubia maelfu ya wananchi kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini hapa juzi wakati wa kuhitimisha ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alisema wapo baadhi ya watendaji walioanza kupotosha utendaji wa CCM...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Quit CCM now, supporters tell Nape opponent

Mr Seleman Matthew, who was recently defeated in the preferential vote in Mtama Cosntituency, has been urged to decamp to the opposition.

 

11 years ago

TheCitizen

Nape declares CCM stand in Assembly

It is now official. Members of the Constituent Assembly (CA) drawn from CCM and those with a leaning towards it will defend the ruling party’s stand on the Union structure.

 

10 years ago

Dewji Blog

CCM Arusha yapingana na kauli ya Nape

unnamed

Katibu Mwenezi akizungumza na waandishi wa habari jana, katika Makao Makuu ya Chama hicho.

SAM_1537

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mkoa wa Arusha,Isaack Joseph  akizungumza na waandishi wa habari jana katika makao makuu ya chama hicho na kudai kushangazwa na kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Nape Nnauye ya kuwa makundi yanayokwenda nyumbani kwa Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowasa, kumshawishi kugombea Urais kuwa  na kusema kuwa makundi hayo yanachokifanya ...

 

10 years ago

Vijimambo

NAPE ATANGAZA RATIBA YA MIKUTANO YA CCM

Katibu wa itikadi na uenezi Nape Nnauye amesema vikao hivyo vilianza leo kwa sekretalieti kukutana na kujadili maandalizi ya kamati kuu (CC), Halmashauri Kuu (NEC) na mkutano mkuu huku kesho julai 8 inakutana kamati ya Usalama na maadili ndani ya Chama ambacho kitakuwa chini ya Mwenyekiti wa chama hicho na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania Jakaya  Kikwete.Nape amesema keshokutwa Julai 9 kutakuwa na uzinduzi wa Ukumbi mpya ambako kutafanyikia Mkutano mkuu wa mwaka huu utakaofanywa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Nape: Makosa ya CCM yameinufaisha Ukawa

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kilifanya makosa katika baadhi ya maeneo ambayo yamekigharimu na kusababisha wananchi kupiga kura za hasira kukiadhibu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

11 years ago

Mwananchi

Nape hajui anapambana na nani CCM

>Mwaka 2010 ulikuwa mgumu mno kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, kwani alikuwa akiwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Ubungo.

 

10 years ago

Mtanzania

Wana CCM wamjia juu Nape

Nape Nnauye

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Nape Nnauye

RODRICK MUSHI NA ELIYA MBONEA, MOSHI

MRATIBU wa marafiki wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa walioko Kanda ya Kaskazini, Noel Nnko, amesema kauli ya Katibu wa Halmshauri Kuu,Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, dhidi ya makundi yanayokwenda nyumbani kwa kiongozi huyo kumshawishi agombee urais ni ya udhalilishaji.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Nnko alisema kitendo cha Nape kusema wanaokwenda kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Nape- Wasomi acheni kuisifu CCM

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, wasomi wasikisifu chama hicho, bali wakikosoe ili iwe chachu ya mabadiliko ndani ya chama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani