Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nape hajui anapambana na nani CCM

>Mwaka 2010 ulikuwa mgumu mno kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, kwani alikuwa akiwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Ubungo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo

Nape Nnauye ni waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo katika Serikali ya Awamu ya Tano, ameteuliwa katika baraza la mwanzo la mawaziri la Rais John Pombe Magufuli. Yeye pia ni mbunge wa jimbo la Mtama lililoko mkoani Lindi.

 

10 years ago

Mwananchi

11 years ago

GPL

NANI NI NANI CCM (2)

WIKI iliyopita tulizungumzia kuhusu namna mambo yanavyokwenda ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) hasa wakati huu nchi inapojiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani hapo mwakani. Hii ni sehemu ya pili na ya mwisho ya makala mafupi juu ya kinachoonekana kuendelea ndani ya chama hicho tawala. Niliongelea kuhusu ukosefu wa nidhamu ndani ya chama, kwamba kila mwenye kupata nafasi ya kusema, anazungumza...

 

10 years ago

Mtanzania

Nape: Hatumshambulii mtu CCM

kinanaNA ELIYA MBONEA, ARUSHA
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya CCM, Nape Nnauye, amesema mawaziri na watendaji wa serikali wanaotajwa kushindwa kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) hawashambuliwi kwa majina yao bali dhamana walizokabidhiwa.
Akihutubia maelfu ya wananchi kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini hapa juzi wakati wa kuhitimisha ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alisema wapo baadhi ya watendaji walioanza kupotosha utendaji wa CCM...

 

10 years ago

GPL

NANI MSAFI TUMCHAGUE CCM?

Waziri mkuu Mizengo Pinda. KELELE kubwa hivi sasa ni juu ya nani atapewa rungu la kuipeperusha bendera ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kuna msururu wa wanaotaka hadhi hiyo ambao hadi makala haya yanaandikwa, makada 32 walishajitokeza. Hata hivyo, CCM ambayo imekuwa ikiongoza serikali kwa miaka yote tangu Uhuru, baada ya muungano wa vyama vya TANU/ASP, imegubikwa na jinamizi la rushwa, ufisadi, ubinafsi wa...

 

11 years ago

TheCitizen

Nape declares CCM stand in Assembly

It is now official. Members of the Constituent Assembly (CA) drawn from CCM and those with a leaning towards it will defend the ruling party’s stand on the Union structure.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani