NANI NI NANI CCM (2)
![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg21gQY5rdKpJEFKcSO3OEJMXi7XIOUv8HzlGiv1aZF8FMm-KrsgUkLikm2GYZGjIBEpnrzLvSfkaWl0SriJhOs*/1UCHAGUZI.jpg?width=650)
WIKI iliyopita tulizungumzia kuhusu namna mambo yanavyokwenda ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) hasa wakati huu nchi inapojiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani hapo mwakani. Hii ni sehemu ya pili na ya mwisho ya makala mafupi juu ya kinachoonekana kuendelea ndani ya chama hicho tawala. Niliongelea kuhusu ukosefu wa nidhamu ndani ya chama, kwamba kila mwenye kupata nafasi ya kusema, anazungumza...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Apr
10 years ago
Mwananchi31 May
NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP
10 years ago
Mwananchi21 May
NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo
10 years ago
Mwananchi06 Jun
NANI NI NANI URAIS: DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema
10 years ago
Mwananchi05 Jun
NANI NI NANI URAIS: Profesa Ibrahim Lipumba: Mwenyekiti wa CUF
9 years ago
Mwananchi20 Dec
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM: Dk Ashatu Kijaji – Naibu Waziri Fedha na Mipango
9 years ago
Mwananchi23 Dec
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Dk Suzan Kolimba – Naibu Waziri Mambo ya Nje
10 years ago
Dewji Blog22 May
Nani na nani kuibuka mshindi wa tuzo za Watu usiku huu leo Mei 22!!
Baada ya wiki kadhaa za mpambano mkali wa kura za tuzo za watu, leo ndio fainali.
Majina matatu yanashindania tuzo kwenye vipengele 13 vya mwaka huu. Majina hayo yameingia baada ya kuvuka michujo miwili migumu. Ni kura za mashabiki peke yake ndio ziliwaingiza kwenye fainali hiyo na mshindi atapatikana kwa kura za wananchi, hakuna kingine.
Washereheshaji kwenye fainali hizo ni Vj Penny na mchekeshaji Dogo Pepe huku muimbaji wa kike anayechipukia kwa kasi Ruby akitarajiwa kutumbuiza.
“Watu...
9 years ago
Mwananchi05 Jan
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM: George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tamisemi