NANI MSAFI TUMCHAGUE CCM?
![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e-cwUg2PGUfYGyIRiTETVxNFhT9Up5ZnBzXRb4KTvHblQbAGGKpXAUF6ciN4ROQMCDaSDJFTYmQqrbVv3Egiayb/PINDA.jpg?width=650)
Waziri mkuu Mizengo Pinda. KELELE kubwa hivi sasa ni juu ya nani atapewa rungu la kuipeperusha bendera ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kuna msururu wa wanaotaka hadhi hiyo ambao hadi makala haya yanaandikwa, makada 32 walishajitokeza. Hata hivyo, CCM ambayo imekuwa ikiongoza serikali kwa miaka yote tangu Uhuru, baada ya muungano wa vyama vya TANU/ASP, imegubikwa na jinamizi la rushwa, ufisadi, ubinafsi wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
CHADEMA: Hakuna kiongozi msafi CCM
CHAMA cha Demorasia na Maendeleo, (CHADEMA), kimesema wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliondoa kipengele cha uadilifu kwenye tunu za taifa kwa sababu walijua watakosa viongozi kwani hakuna aliye msafi....
10 years ago
Mwananchi21 Apr
10 years ago
Dewji Blog20 Jan
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg21gQY5rdKpJEFKcSO3OEJMXi7XIOUv8HzlGiv1aZF8FMm-KrsgUkLikm2GYZGjIBEpnrzLvSfkaWl0SriJhOs*/1UCHAGUZI.jpg?width=650)
NANI NI NANI CCM (2)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT2Xs2Vo5N635vhHXIo4q-qEsr31tzs18KnrJKHjNQJXwDzSoTWL6cuPc2TbfkCH7boaSlB0xCEkWoBC9*LA8BAo/Kikwete2.jpg?width=650)
TUMPIGIE DEBE, TUMCHAGUE KIONGOZI YUPI?
10 years ago
Vijimambo24 Jan
9 years ago
Habarileo21 Sep
Kimbisa: Chagueni Magufuli, ni msafi
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewaomba Watanzania kumchagua Rais asiye na makundi wala makandokando yoyote ambaye ni mgombea wa CCM, Dk John Magufuli. Kimbisa alisema hayo juzi wakati akizindua kampeni za ubunge katika jimbo la Chilonwa Kata ya Itiso.
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Tumchague mchapakazi Magufuli au huyu mwenye utata wa afya?
NIANZE kwa kuwashukuru mamia ya wasomaji wangu ambao nikiwa huku kijijini kwangu wamekuwa wakiend
Johnson Mbwambo
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Aug
Video:JK: Magufuli ni mtu makini na msafi
Rais wa Tanzania Dk Jakaya Kikwete, leo amemnadi mgombe wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Magufuli, kwa kumuelezea kuwa ni mtu makini, msafi na asiyeshindwa
The post Video:JK: Magufuli ni mtu makini na msafi appeared first on Mzalendo.net.