Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NANI MSAFI TUMCHAGUE CCM?

Waziri mkuu Mizengo Pinda. KELELE kubwa hivi sasa ni juu ya nani atapewa rungu la kuipeperusha bendera ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kuna msururu wa wanaotaka hadhi hiyo ambao hadi makala haya yanaandikwa, makada 32 walishajitokeza. Hata hivyo, CCM ambayo imekuwa ikiongoza serikali kwa miaka yote tangu Uhuru, baada ya muungano wa vyama vya TANU/ASP, imegubikwa na jinamizi la rushwa, ufisadi, ubinafsi wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Hakuna kiongozi msafi CCM

CHAMA cha Demorasia na Maendeleo, (CHADEMA), kimesema wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliondoa kipengele cha uadilifu kwenye tunu za taifa kwa sababu walijua watakosa viongozi kwani hakuna aliye msafi....

 

10 years ago

Mwananchi

11 years ago

GPL

NANI NI NANI CCM (2)

WIKI iliyopita tulizungumzia kuhusu namna mambo yanavyokwenda ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) hasa wakati huu nchi inapojiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani hapo mwakani. Hii ni sehemu ya pili na ya mwisho ya makala mafupi juu ya kinachoonekana kuendelea ndani ya chama hicho tawala. Niliongelea kuhusu ukosefu wa nidhamu ndani ya chama, kwamba kila mwenye kupata nafasi ya kusema, anazungumza...

 

10 years ago

GPL

TUMPIGIE DEBE, TUMCHAGUE KIONGOZI YUPI?

Rais Jakaya Mrisho Kikwete. MWAKA umeshakomaa, tofauti na ilivyokuwa wiki chache zilizopita, wakati tulipokuwa tunarukaruka kusherehekea siku ya mwisho ya Mwaka 2014. Leo hii, hakuna tena anayezungumzia upya wa mwaka, isipokuwa, linapokuja suala la siasa, kila mmoja anajadili kuhusu uchaguzi mkuu. Kuna msuguano mkali miongoni mwa wanaotajwa kuwania nafasi hiyo, hasa kutoka chama tawala. Kila mmoja ana wafuasi wake,...

 

9 years ago

Habarileo

Kimbisa: Chagueni Magufuli, ni msafi

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewaomba Watanzania kumchagua Rais asiye na makundi wala makandokando yoyote ambaye ni mgombea wa CCM, Dk John Magufuli. Kimbisa alisema hayo juzi wakati akizindua kampeni za ubunge katika jimbo la Chilonwa Kata ya Itiso.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tumchague mchapakazi Magufuli au huyu mwenye utata wa afya?

NIANZE kwa kuwashukuru mamia ya wasomaji wangu ambao nikiwa huku kijijini kwangu wamekuwa wakiend

Johnson Mbwambo

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Video:JK: Magufuli ni mtu makini na msafi

Rais wa Tanzania Dk Jakaya Kikwete, leo amemnadi mgombe wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Magufuli, kwa kumuelezea kuwa ni mtu makini, msafi na asiyeshindwa

The post Video:JK: Magufuli ni mtu makini na msafi appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani