Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumchague mchapakazi Magufuli au huyu mwenye utata wa afya?

NIANZE kwa kuwashukuru mamia ya wasomaji wangu ambao nikiwa huku kijijini kwangu wamekuwa wakiend

Johnson Mbwambo

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Meya mwenye utata alazwa hospitalini

Meya wa Toronto, anaekumbwa na utata Rob Ford, amelazwa hospitalini baada ya kupataikana na uvimbe tumboni mwake.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtoto mdogo wa Kitanzania mwenye IQ kubwa huyu hapa

10247290_791221147626346_6602541928733584586_n

Na Andrew Chale wa modewji blog

Huenda umesikia mengi juu ya watu wenye uwezo mkubwa wa kiakili na ufahamu hasa wa mambo ama IQ kubwa.

Kwa Tanzania mtoto mwenye IQ kubwa kwa  ni Mtoto Nice Valentino mwenye umri wa miaka 3, (Pichani) ameweza kuonesha uwezo mkubwa wa kukariri mambo.

kwa mujibu wa kituo cha Cloud FM cha Tanzania, kimenukuu maelezo kadhaa ikiwemo ya Baba  wa mtoto huyo, alieleza  kuwa, mtoto huyo alianza kuonesha uwezo tokea akiwa na miezi sita (mtoto mchanga) kwa kufanya vitu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Je ni kwa nini mama huyu alimuoa binti mwenye umri wa mwanawe?

Wakati walipoanza kuchumbiana, hawakujionyesha moja kwa moja kuwa wapenzi wa jinsia moja.

 

10 years ago

Mtanzania

Afya ya Gwajima utata

gwajima2Elias Msuya na Asifiwe George
KUDHOOFU kwa afya ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambaye wiki moja iliyopita alizimia wakati akihojiwa na Polisi, kumezua utata.
Wakati baadhi wakijenga hisia kwamba hatua hiyo huenda ikawa ina mkono wa Mungu, au imetokana na kuvurugika kwa mfumo wa kawaida wa ufahamu, hata hivyo maofisa wa Jeshi la Polisi wa Kituo Kikuu Kanda Maalumu ya Dar es Salaam waliofika kumuhoji Gwajima ambaye aliwasili kituoni hapo akiwa mzima wa afya,...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Afya ya Mugabe yazidi kuwa utata baada ya kutaka kuanguka hadharani India

mugabe-robert9Maafisa wa nchini Zimbabwe wamekanusha tetesi za kuwa afya ya Rais Robert Mugabe imezidi kuwa mgogoro baada ya Jumamosi kukaribia kuanguka hadharani. Mugabe alionekana akipepesuka wakati alipokuwa akipanda jukwaani katika mkutano wa India na Afrika wiki hii. Video zilizosambaa mtandaoni zinamuonesha waziri mkuu wa India Narendra Modi akimsaidia kumshika mkono Mugabe mwenye miaka 91. Msemaji […]

 

9 years ago

Mwananchi

Mawaziri watatu wa Magufuli wazua utata

Hatua ya Rais John Magufuli kuteua na kuwaapisha mawaziri watatu kabla ya kuapishwa kuwa wabunge, imeibua utata huku wanasheria wakihoji jinsi gani watafanya kazi za Kamati za Bunge kabla ya Februari wakati chombo hicho cha kutunga sheria kitakapoanza shughuli zake.

 

10 years ago

GPL

NANI MSAFI TUMCHAGUE CCM?

Waziri mkuu Mizengo Pinda. KELELE kubwa hivi sasa ni juu ya nani atapewa rungu la kuipeperusha bendera ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kuna msururu wa wanaotaka hadhi hiyo ambao hadi makala haya yanaandikwa, makada 32 walishajitokeza. Hata hivyo, CCM ambayo imekuwa ikiongoza serikali kwa miaka yote tangu Uhuru, baada ya muungano wa vyama vya TANU/ASP, imegubikwa na jinamizi la rushwa, ufisadi, ubinafsi wa...

 

10 years ago

GPL

TUMPIGIE DEBE, TUMCHAGUE KIONGOZI YUPI?

Rais Jakaya Mrisho Kikwete. MWAKA umeshakomaa, tofauti na ilivyokuwa wiki chache zilizopita, wakati tulipokuwa tunarukaruka kusherehekea siku ya mwisho ya Mwaka 2014. Leo hii, hakuna tena anayezungumzia upya wa mwaka, isipokuwa, linapokuja suala la siasa, kila mmoja anajadili kuhusu uchaguzi mkuu. Kuna msuguano mkali miongoni mwa wanaotajwa kuwania nafasi hiyo, hasa kutoka chama tawala. Kila mmoja ana wafuasi wake,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani