Mawaziri watatu wa Magufuli wazua utata
Hatua ya Rais John Magufuli kuteua na kuwaapisha mawaziri watatu kabla ya kuapishwa kuwa wabunge, imeibua utata huku wanasheria wakihoji jinsi gani watafanya kazi za Kamati za Bunge kabla ya Februari wakati chombo hicho cha kutunga sheria kitakapoanza shughuli zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK*avof-8Hp4X5pwi7hMSWYUOyxmS5WDOYoJmQewrZGWyGM06oFECueiGpdBd3pmg3FwJFnTNIilMrybRQR9irWu/WOSIA.jpg?width=650)
WOSIA WA GURUMO WAZUA UTATA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQgDTt3zdO-uYvTfJSYKDBhxmg7P*ifxfTc28AbzCdg6dU-GVMkDo0HSEnN6ayvMKwlIgKk3yT6kVfsv8wmSqvby/mandela.jpg?width=650)
WOSIA WA MANDELA WAZUA UTATA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1R1gqINM7bwN8urPHz1WLp7sKnIUCBrk8eag1ToCoq6nxNMpchpmCdJ84WYJTuGdHA7Ag0n50efozmqQu5M*o0hUBXjPYX9W/AUNT.jpg)
MARTIN,AUNT WAZUA UTATA!
10 years ago
Bongo Movies04 Jan
PICHA: Martin,Aunt Wazua Utata
Mwanamitindo maarufu Bongo, Martin Kadinda na mwigizaji Aunt Ezekiel wamenaswa chobingo wakiwa katika pozi tata.Tukio hilo lililoibua maswali mengi yasiyokuwa na majibu lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Klabu ya 71, Tegeta-Kibaoni jijini Dar kulipokuwa na shoo ya kuukaribisha mwaka iliyoandaliwa na Kampuni ya Endless Fame.
“Mh jamani huyu Aunt si ana mume? Halafu si ana kibuzi chake kingine? Huyu Martin naye imekuwaje tena,” alisikika jamaa mmoja ukumbini humo.
Alipoulizwa Aunt...
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Msikiti wazua Utata Afrika Kusini
10 years ago
BBCSwahili28 Feb
Ujenzi wa reli mpya wazua utata Kenya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JLO795OfU1qtyPjYTosNxv*uAzHm*a6eWNe5b126qyKU7WPkI67pKiYIjuHlbftScowfqO-nyKMl-lih1HmJUv*/jack.jpg)
JACK WA CHUZ, NJEMBA WAZUA UTATA HOSPITALI
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Cheni (Mkufu) wa LULU wazua utata. Wengi wasema ni kama wa IDRIS. Wachache wadai eti ni FREEMASONS
Baada ya mwanadada LULU kutupia picha yake mpya kwenye mtandao akiwa amevaa cheni ama mkufu mpya shingoni mwake, maswali kadhaa ya wadau yameanzaje kujitokeza kuhusu cheni hiyo pamoja na maana yake.
Huku kukiwa bado kuna vuguvugu la ushindi wa Tshs. MILLIONI 500 za kijana Idris toka jumba la BIG BROTHER na lulu akiwa ni mmoja wa watu wakubwa sana waliokuwa wanawahimiza wananchi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na mipaka yake kumpigia kura kijana huyu ili ashinde, maswali Kadhaa...
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Utata wazidi kuhusu mawaziri Zanzibar