Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msikiti wazua Utata Afrika Kusini

Uzinduzi wa Msikiti wa umma Afrika kusini wazua hisia kali miongoni mwa waumini wa Kiislamu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Msikiti uliozua utata wafungwa A.Kusini

Msikiti unaosemekana kuunga mkono watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja na ambao wanawake wataruhusiwa kusalisha umefungwa

 

11 years ago

Mwananchi

Utata kesi ya Mtanzania Afrika Kusini

Kesi ya Mtanzania Stephen Ongolo anayeshikiliwa na polisi Afrika Kusini akituhumiwa kutishia kutoa siri za mke wa pili wa Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma, Nompumelelo Ntuli Zuma (MaNtuli), imeibua mabishano ya kisheria ya kuhusu mahali anapotakiwa kushtakiwa.

 

11 years ago

GPL

WOSIA WA MANDELA WAZUA UTATA

Marehemu Nelson Mandela enzi za uhai wake. Mwandishi Wetu na Mitandao WOSIA aliowahi kuuandika hayati Nelson Rolihlahla Mandela ‘Mzee Madiba’ au ‘Tata’ (95) enzi za uhai wake akielezea anavyotaka azikwe, ndiyo tishio kubwa lenye utata kuelekea siku ya mazishi yake, Jumapili ijayo, Ijumaa Wikienda limebaini.
Mtandao mmoja nchini humo umeukumbushia wosia huo huku familia ikianza kuonesha misimamo...

 

10 years ago

GPL

MARTIN,AUNT WAZUA UTATA!

Stori: Imelda Mtema MWANAMITINDO maarufu Bongo, Martin Kadinda na mwigizaji Aunt Ezekiel wamenaswa chobingo wakiwa katika pozi tata.Tukio hilo lililoibua maswali mengi yasiyokuwa na majibu lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Klabu ya 71, Tegeta-Kibaoni jijini Dar kulipokuwa na shoo ya kuukaribisha mwaka iliyoandaliwa na Kampuni ya Endless Fame. Mwanamitindo maarufu Bongo, Martin Kadinda na mwigizaji Aunt Ezekiel wakiwa...

 

11 years ago

GPL

WOSIA WA GURUMO WAZUA UTATA

Stori: Mayasa Mariwata na Andrew Carlos
MKONGWE wa muziki wa dansi nchini, Muhidin Mohamed Mwalimu Gurumo ‘Maalim Gurumo’ amezikwa jana kwenye makaburi ya kijijini kwake, Masaki, Kisarawe mkoani Pwani, lakini wosia aliouacha kuhusu mazishi yake umezua utata, Risasi Mchanganyiko limedokezwa na wengi. Mwili wa marehemu Gurumo ukishushwa kaburini. Kwa mujibu wa chanzo, wakati wa uhai wake Maalim Gurumo ambaye...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Martin,Aunt Wazua Utata

Mwanamitindo maarufu Bongo, Martin Kadinda na mwigizaji Aunt Ezekiel wamenaswa chobingo wakiwa katika pozi tata.Tukio hilo lililoibua maswali mengi yasiyokuwa na majibu lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Klabu ya 71, Tegeta-Kibaoni jijini Dar kulipokuwa na shoo ya kuukaribisha mwaka iliyoandaliwa na Kampuni ya Endless Fame.

“Mh jamani huyu Aunt si ana mume? Halafu si ana kibuzi chake kingine? Huyu Martin naye imekuwaje tena,” alisikika jamaa mmoja ukumbini humo.

Alipoulizwa Aunt...

 

9 years ago

Mwananchi

Mawaziri watatu wa Magufuli wazua utata

Hatua ya Rais John Magufuli kuteua na kuwaapisha mawaziri watatu kabla ya kuapishwa kuwa wabunge, imeibua utata huku wanasheria wakihoji jinsi gani watafanya kazi za Kamati za Bunge kabla ya Februari wakati chombo hicho cha kutunga sheria kitakapoanza shughuli zake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujenzi wa reli mpya wazua utata Kenya

Tume ya ardhi imejitetea kuhusu shutuma za kuwanyanyasa wakaazi kwa malipo ya fidia ya ardhi yao itakayotumika kwa mradi huo.

 

11 years ago

GPL

JACK WA CHUZ, NJEMBA WAZUA UTATA HOSPITALI

Na  Dustan Shekidele
MWIGIZAJI Jacqueline Pentezel ‘Jack wa Chuz’ mwishoni mwa wiki iliyopita alizua utata katika Hospitali ya Aghakani ya mkoani hapa baada ya kunaswa akiuguzwa na kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Rashid Said. MWIGIZAJI Jacqueline Pentezel ‘Jack wa Chuz’ akutwa na njemba aliyejulikana kwa jina la Rashid Said. Baadhi ya watu waliofika kumtembelea Jack aliyekuwa akisumbuliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani