Utata kesi ya Mtanzania Afrika Kusini
Kesi ya Mtanzania Stephen Ongolo anayeshikiliwa na polisi Afrika Kusini akituhumiwa kutishia kutoa siri za mke wa pili wa Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma, Nompumelelo Ntuli Zuma (MaNtuli), imeibua mabishano ya kisheria ya kuhusu mahali anapotakiwa kushtakiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Msikiti wazua Utata Afrika Kusini
Uzinduzi wa Msikiti wa umma Afrika kusini wazua hisia kali miongoni mwa waumini wa Kiislamu
10 years ago
Vijimambo21 Apr
Mtanzania asimulia vurugu Afrika Kusini.
Walengwa wakuu walikuwa Wanigeria, Wasomalia, Wachina, Watanzania 21 wakubali kurejeshwa nchini, wanaishi kambini.
Wakati serikali ikitangaza kuwarejesha Watanzania 21 kati ya 23 walioko kwenye moja ya makambi yanayowahifadhi raia wa kigeni walioathirika na vurugu zilizohusisha mauaji, uporaji na watu kukimbia makazi nchini Afrika Kusini, Mtanzania aliyeko nchini humo, amesimulia jinsi raia wengi wa kigeni walivyoathirika.
Joseph Moses, anayeishi mjini Durban, amesema pamoja na baadhi ya raia...
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Membe-21April2015.jpg)
Joseph Moses, anayeishi mjini Durban, amesema pamoja na baadhi ya raia...
10 years ago
Mwananchi18 Apr
Vurugu Afrika Kusini zadaiwa kuua Mtanzania
Dar es Salaam. Baadhi ya Watanzania wanaoishi Afrika Kusini wamedai kuwa mwenzao mmoja amefariki dunia kutokana na vurugu zinazoendelea nchini humo.
10 years ago
Michuzi17 Sep
TAARIFA YA MSIBA WA MTANZANIA NCHINI AFRIKA KUSINI
Ni matumaini yangu kuwa nyote muwazima na sie hatujambo huku Bondeni Sauzi.Maudhui ya barua hii ni kukufahamisheni kuwa kuna Mtanzania kwa jina Shukuru Goyagoya kafariki tarehe 16th mwezi huu katika Hospitali ya Baragwana Jo'burg.Alikua Kalazwa ICU takriban mwezi mmoja.
Hapa Sauzi alikuwa akiitwa kwa jina la umaarufu Jastice Mliambe Manesi kazaliwa mwaka 1970.
Maelezo niliyoweza kupata, Mama yake mzazi anaitwa Bi Ziada Musa Kitima anaishi Mabibo CCM . Naomba msaada wenu wa kutangaza katika...
Hapa Sauzi alikuwa akiitwa kwa jina la umaarufu Jastice Mliambe Manesi kazaliwa mwaka 1970.
Maelezo niliyoweza kupata, Mama yake mzazi anaitwa Bi Ziada Musa Kitima anaishi Mabibo CCM . Naomba msaada wenu wa kutangaza katika...
10 years ago
GPLMEMBE: HAKUNA MTANZANIA ALIYEUAWA AFRIKA KUSINI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akitoa tamko. …Akisisitiza jambo. Sehemu ya wanahabari na wageni wengine waliofika kwenye hafla hiyo. WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard…
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Mtanzania anayetesa Afrika Kusini kwa kuendesha baiskeli
Kati ya wanamichezo wa Tanzania waliofanikiwa kupitia michezo, hauwezi kuacha kumtaja mwendesha baiskeli, Richard Laizer anayeichezea timu ya Qhubeka Feeder ya nchini Afrika Kusini.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OJskrutNscs/VTTNifAKOfI/AAAAAAAHSFc/063zLPPj2wc/s72-c/_MG_9621.jpg)
HAKUNA MTANZANIA ALIEFARIKI KWA VURUGU ZA AFRIKA KUSINI - MEMBE
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
SERIKALI imesema hakuna mtanzania aliyepoteza maisha kwa vurugu zinazoendelea nchini Afrika Kusini kutokana na wenyeji wa nchi hiyo kuwachukia wageni.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe amesema watanzania waliofariki nchini Afrika Kusini hawatokani na vurugu za wenyeji kuwakataa wageni.
Membe amesema tatizo hilo lilianza 2008 na 2014 hiyo lilichangiwa na Mfalme wa nchini...
SERIKALI imesema hakuna mtanzania aliyepoteza maisha kwa vurugu zinazoendelea nchini Afrika Kusini kutokana na wenyeji wa nchi hiyo kuwachukia wageni.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe amesema watanzania waliofariki nchini Afrika Kusini hawatokani na vurugu za wenyeji kuwakataa wageni.
Membe amesema tatizo hilo lilianza 2008 na 2014 hiyo lilichangiwa na Mfalme wa nchini...
10 years ago
Vijimambo21 Apr
Waziri Membe: Hakuna Mtanzania katika mauaji ya Wageni Afrika Kusini
10 years ago
Mwananchi20 Apr
VURUGU AFRIKA KUSINI: Membe adai hakuna mtanzania aliyeuawa, 21 kurejea nchini
Watanzania 23 waishio Afrika Kusini wamewekwa kwenye kambi maalumu ya Isipingo nchini humo ili kupewa ulinzi wa maisha yao yaliyo hatarini kufuatia mashambulizi yanayofanywa na wazawa dhidi ya wageni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania