Afya ya Gwajima utata
Elias Msuya na Asifiwe George
KUDHOOFU kwa afya ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambaye wiki moja iliyopita alizimia wakati akihojiwa na Polisi, kumezua utata.
Wakati baadhi wakijenga hisia kwamba hatua hiyo huenda ikawa ina mkono wa Mungu, au imetokana na kuvurugika kwa mfumo wa kawaida wa ufahamu, hata hivyo maofisa wa Jeshi la Polisi wa Kituo Kikuu Kanda Maalumu ya Dar es Salaam waliofika kumuhoji Gwajima ambaye aliwasili kituoni hapo akiwa mzima wa afya,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-C8PxcyWrriI/VRlpwGWtNbI/AAAAAAAARyE/G5bgK0fFxOI/s72-c/IMG_8564.jpg)
Bastola ya Gwajima utata.
![](http://2.bp.blogspot.com/-C8PxcyWrriI/VRlpwGWtNbI/AAAAAAAARyE/G5bgK0fFxOI/s640/IMG_8564.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, akimjulia hali Askofu Josephat Gwajima, wa Kanisa la Ufufuo na Uzima aliyelazwa kwenye hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam kwa matibabu. PICHA: Tryphone Mweji
![](http://1.bp.blogspot.com/-TFHoCQ-8kiE/VRlpxumDEKI/AAAAAAAARyM/gv8Sxu9NX0c/s1600/Gwajima_Lipumba.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rXYNE7n4hZo/Xu3CzYNOV0I/AAAAAAALutY/yhOfxIQpN4wD_9KsneY3PAoZ67BxerHNQCLcBGAsYHQ/s72-c/NK.-1-Kitabu-cha-WagonjwaAAAAAAAAAAAA-768x513.jpg)
WATAALAMU WA AFYA ENDELEZENI USIMAMIZI SHIRIKISHI WA AFYA MAZINGIRA SHULENI NA KWENYE JAMII-DKT.GWAJIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rXYNE7n4hZo/Xu3CzYNOV0I/AAAAAAALutY/yhOfxIQpN4wD_9KsneY3PAoZ67BxerHNQCLcBGAsYHQ/s640/NK.-1-Kitabu-cha-WagonjwaAAAAAAAAAAAA-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/NK.2-Naibu-katibu-Mutuka-2AAAAAAAAAAAAAAAA-1024x684.jpg)
Naibu Katibu Mkuu akizungumza na uongozi pamoja na wananchi mara baada yakukagua kituo hicho cha Afya kilicho pokea kiasi cha Mil.200 kwaajili ya ujenzi huo (Picha zote na OR-TAMISEMI)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/NK.2-ChakulaAAAAAAAAAAAAA-1024x684.jpg)
Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI, anayeshughulikia Afya, Dkt. Dorothy Gwajima akipata chakula na kuhakiki ubora wa chakula...
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Tumchague mchapakazi Magufuli au huyu mwenye utata wa afya?
NIANZE kwa kuwashukuru mamia ya wasomaji wangu ambao nikiwa huku kijijini kwangu wamekuwa wakiend
Johnson Mbwambo
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xCmyljW5kNA/VR-OnZK6anI/AAAAAAAArRk/7yQoDjCdJ6k/s72-c/gwajima%2Bkwenye%2Bkiti%2Bcha%2Bwagonjwa.jpg)
GWAJIMA ATOA VIDEO YENYE MANENO YENYE UTATA, ANGALIA VIDEO HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xCmyljW5kNA/VR-OnZK6anI/AAAAAAAArRk/7yQoDjCdJ6k/s640/gwajima%2Bkwenye%2Bkiti%2Bcha%2Bwagonjwa.jpg)
Gwajima Akiwa kwenye Kitu cha Wagonjwa Anaonekana Kwenye Video Akitoa Maneno yenye utata kumsema mtu kwa Mafumbo ..embu angalia hapa chini kwenye Video:
9 years ago
Bongo502 Nov
Video: Afya ya Mugabe yazidi kuwa utata baada ya kutaka kuanguka hadharani India
![mugabe-robert9](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mugabe-robert9-94x94.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s72-c/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Gwajima Wajibu Mapigo Waiandikia Barua Polisi Kuhusu Uhalali wa Kumtaka Gwajima Awasilishe Nyaraka 10 za Mali Zake
![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s1600/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi hilo kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka 10, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.
Gwajima...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MmsfcglWscM/VCaN0ItavPI/AAAAAAAGmIM/oMIhp_CQbVw/s72-c/UM1a.jpg)
Vijana wahamasishwa kutembelea vituo vya afya kujua afya zao
![](http://3.bp.blogspot.com/-MmsfcglWscM/VCaN0ItavPI/AAAAAAAGmIM/oMIhp_CQbVw/s1600/UM1a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-arv2NlHLATk/VCaN0PaKCjI/AAAAAAAGmIU/BXUBvF92IiE/s1600/UM1b.jpg)
11 years ago
MichuziWaziri wa Afya atembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya jijini Dar
5 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAPOKEA MSAADA KUTOKA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO)
Akipokea msaada huo, huko Wizara ya Afya Mnazimmoja Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Dkt Jamala Adam Taib amelishukuru shirika hilo kwa kutoa msaada ambao utawasaidia wafanyakazi kutekeleza kazi zao kwa ufanisi pamoja na kujikinga na maambukizi ya...