Bastola ya Gwajima utata.

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, akimjulia hali Askofu Josephat Gwajima, wa Kanisa la Ufufuo na Uzima aliyelazwa kwenye hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam kwa matibabu. PICHA: Tryphone MwejiMwenyekiti wa taifa wa CUF, Profesa Ibrahim Haruna Lipumba, akimjulia hali Askofu Gwajima leo Jumatatu Machi 30, 2015
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akimjulia hali Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima aliyelazwa Hospitali ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Gwajima: Niliagiza bastola hospitali kujilinda
10 years ago
Mtanzania04 Apr
Afya ya Gwajima utata
Elias Msuya na Asifiwe George
KUDHOOFU kwa afya ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambaye wiki moja iliyopita alizimia wakati akihojiwa na Polisi, kumezua utata.
Wakati baadhi wakijenga hisia kwamba hatua hiyo huenda ikawa ina mkono wa Mungu, au imetokana na kuvurugika kwa mfumo wa kawaida wa ufahamu, hata hivyo maofisa wa Jeshi la Polisi wa Kituo Kikuu Kanda Maalumu ya Dar es Salaam waliofika kumuhoji Gwajima ambaye aliwasili kituoni hapo akiwa mzima wa afya,...
10 years ago
Mwananchi05 Apr
Bastola kanisani: Mtu mmoja anaswa akiwa na bastola yenye risasi nane
10 years ago
Vijimambo
GWAJIMA ATOA VIDEO YENYE MANENO YENYE UTATA, ANGALIA VIDEO HAPA

Gwajima Akiwa kwenye Kitu cha Wagonjwa Anaonekana Kwenye Video Akitoa Maneno yenye utata kumsema mtu kwa Mafumbo ..embu angalia hapa chini kwenye Video:
10 years ago
Vijimambo
Mawakili wa Gwajima Wajibu Mapigo Waiandikia Barua Polisi Kuhusu Uhalali wa Kumtaka Gwajima Awasilishe Nyaraka 10 za Mali Zake

Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi hilo kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka 10, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.
Gwajima...
10 years ago
GPL
BASTOLA TISHIO DAR!
10 years ago
Mwananchi08 Apr
Aliyekutwa na bastola kanisani aachiwa
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Arusha yaongoza kumiliki bastola
10 years ago
GPL
BASTOLA YA RAY YAZUA HOFU UKUMBINI