Arusha yaongoza kumiliki bastola
Mkoa wa Arusha umetajwa kati ya mikoa ya pembezoni nchini ambayo inaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watu wanaomiliki silaha za moto, hasa bastola.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania12 May
Wema: Kumiliki au kutomiliki bastola ni siri yangu
NA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI wa Bongo Movie, Wema Sepetu, amedai kwamba itabaki kuwa siri yake kama ni kweli anamiliki bastola ama la kwa kuwa si sifa kutangaza umiliki wa silaha.
“Hii ni siri yangu kama namiliki bastola au la, lakini mimi sioni ajabu kumiliki bastola, mtu kama mimi mwenye maadui wengi inasaidia katika ulinzi wa maisha yangu,” alieleza Wema.
Wema aliendelea kuwataka wanaojiuliza kama anamiliki bastola ama la waendelee na mambo yao mengine kwa kuwa hawatajua jambo hilo ambalo ni...
10 years ago
Mwananchi05 Apr
Bastola kanisani: Mtu mmoja anaswa akiwa na bastola yenye risasi nane
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nDCjxdQUMRc/VI7vNXlpfZI/AAAAAAAG3WY/dXomjwhpP8k/s72-c/IMG_5789.jpg)
CCM YAONGOZA UWENYEKITI WA MTAA MKOA WA ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-nDCjxdQUMRc/VI7vNXlpfZI/AAAAAAAG3WY/dXomjwhpP8k/s1600/IMG_5789.jpg)
Chama cha mapinduzi kimeibuka kidedea katika uchaguzi wa uwenyekiti wa mitaa katika mitaa yote iliopo ndani ya mkoa wa Arusha baada ya kuvishinda vyama vingine vya upinzani .
Akitangaza matokeo ya uwenyeviti wa mitaa Mkurugenzi wa jiji la Arusha Iddi Juma alisema kuwa mpaka sasa uchaguzi wa uwenyekiti umekamilika katika mitaa yote na vituo vyote isipokuwa kituo kimoja ambacho uchaguzi wake utarudiwa siku ya kesho.
Alisema kuwa katika uchaguzi huu jumla ya wananchi ...
9 years ago
MichuziARUSHA YAONGOZA MICHUANO YA WAZI TENISI KWA VIJANA.
Mashindano hayo yalidhaminiwa na Jubilee tyres ikiwa ni mwaka wa tatu sasa, yalishirikisha jumla ya wachezaji 90 ambao 28 kati yao ni wasichana kutoka Dar es salaam gymkhana klabu,Kijitonyama tenisi klabu kutoka Dar es...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxWpMBGkV6cK8bQN7rKVLUbGKValAvOqN5n3VR8A-4JA6Mxek0*mliNHLTMKZuxWTJc3AhoKxr3bIkiuk5-8tDKb/BACKUWAZI5.jpg)
BASTOLA TISHIO DAR!
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-C8PxcyWrriI/VRlpwGWtNbI/AAAAAAAARyE/G5bgK0fFxOI/s72-c/IMG_8564.jpg)
Bastola ya Gwajima utata.
![](http://2.bp.blogspot.com/-C8PxcyWrriI/VRlpwGWtNbI/AAAAAAAARyE/G5bgK0fFxOI/s640/IMG_8564.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, akimjulia hali Askofu Josephat Gwajima, wa Kanisa la Ufufuo na Uzima aliyelazwa kwenye hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam kwa matibabu. PICHA: Tryphone Mweji
![](http://1.bp.blogspot.com/-TFHoCQ-8kiE/VRlpxumDEKI/AAAAAAAARyM/gv8Sxu9NX0c/s1600/Gwajima_Lipumba.jpg)
10 years ago
Mwananchi08 Apr
Aliyekutwa na bastola kanisani aachiwa
11 years ago
Habarileo14 Dec
Polisi wanasa bastola nyumba ya wageni
JESHI la Polisi wilayani Igunga mkoani Tabora limefanikiwa kukamata bastola katika nyumba ya kulala wageni ambayo inadhaniwa imesahaulika na majambazi.
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Polisi wachunguza bastola ya msafara wa Chenge