Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wema: Kumiliki au kutomiliki bastola ni siri yangu

WEMA-1NA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI wa Bongo Movie, Wema Sepetu, amedai kwamba itabaki kuwa siri yake kama ni kweli anamiliki bastola ama la kwa kuwa si sifa kutangaza umiliki wa silaha.
“Hii ni siri yangu kama namiliki bastola au la, lakini mimi sioni ajabu kumiliki bastola, mtu kama mimi mwenye maadui wengi inasaidia katika ulinzi wa maisha yangu,” alieleza Wema.
Wema aliendelea kuwataka wanaojiuliza kama anamiliki bastola ama la waendelee na mambo yao mengine kwa kuwa hawatajua jambo hilo ambalo ni...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Arusha yaongoza kumiliki bastola

Mkoa wa Arusha umetajwa kati ya mikoa ya pembezoni nchini ambayo inaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya watu wanaomiliki silaha za moto, hasa bastola.

 

10 years ago

Mwananchi

Bastola kanisani: Mtu mmoja anaswa akiwa na bastola yenye risasi nane

Hofu imewakumba waumini wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Stephano, Kisarawe mkoani Pwani katika ibada ya Ijumaa Kuu baada mtu mmoja kukamatwa katikati ya ibada ya Ijumaa Kuu akiwa na bastola yenye risasi nane.

 

11 years ago

Mwananchi

Hii ndiyo siri yangu-Mzee Yusuph

Mwanamuziki wa miondoko ya taarabu Mzee Yusuph ametaja siri ya mafanikio yake kuwa ni pamoja na kusoma alama za nyakati huku akifuata na wanachotaka mashabiki wake.

 

9 years ago

Mtanzania

Lulu: Nampenda Wema kama dada yangu

lulu_instagramNA THERESIA GASPER

KAMA unafikiri kuna ugonvi kati ya waigizaji maarufu nchini, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ na Wema Sepetu, utakuwa umekosea, kwani hakuna ugomvi kati yao.

Lulu alieleza kwamba wamekuwa wakishirikiana na Wema Sepetu katika mambo mbalimbali, ikiwemo sherehe, misiba na mijumuiko mbalimbali.

“Nampenda Wema kama dada yangu na yeye ananipenda vile vile, nimekuwa nikihudhuria kwenye shughuli mbali mbali ambazo zinamhusu, nilishiriki vema katika msiba wa baba yake na sherehe zake...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Safari Yangu ya Siasa Ndiyo Kwanza Inaanza

Nilivyo amua kugombea viti maalum, nilijua kuna kupata na kukosa. Awamu hii nimekosa, ila dunia bado inazunguka. Nawapongeza walioshinda. Nawashukuru mlioniunga mkono, Mungu aendelee kuwabariki kwa mapenzi yenu juu yangu, yananipa moyo.

Nawashukuru pia wote mlionipinga maana mmeniongezea ujasiri na nina nguvu mpya ya kuthubutu upya. 2015 ni mwaka wa kipekee kwenye muamko wa vijana Tanzania. Bigger things loading.. Most of all Nilizaliwa nikiwa katika Chama Cha Mapinduzi na nitakufa nikiwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Mama Yangu Amepoteza Uwezo wa Kuona Kwa 75%!

Staa wa Bongo movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa mama yake mzazi, Miriam Sepetu anasumbuliwa na macho ambapo madaktari wamegundua kwamba amepoteza uwezo wa kuona kwa asilimia sabini na tano (75%).

Kwa mujibu wa Wema, aliamua kumpeleka mzazi wake huyo hospitalini (hakuitaja) ndipo alipohakikishiwa tatizo hilo ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda mrefu.

“Kumnusuru mama yangu asipate upofu wa moja kwa moja inabidi afanyiwe operesheni ya macho,” alisema Wema kwa huzuni kwa kuwa...

 

9 years ago

GPL

WEMA:NINGNINGEENDA UKAWA, KABURI LA BABA YANGU LINGETITIA

 Staa wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’. Ohoo! Habari ikufikie kwamba, staa wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa kama angetoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuhamia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), siku hiyo kaburi la baba yake, marehemu Isaac Abraham Sepetu lingetitia. Akizungumza na gazeti namba moja la mastaa Bongo, Ijumaa Wikienda, Wema alitiririka kwamba kama...

 

10 years ago

Bongo Movies

WEMA: Sitaki Mniingilie, Maisha Yangu Naamua Mwenyewe

Mwingizaji wa filamu, Wema Sepetu aliyasema hayo baada ya baadhi ya watu wanao m-follow mitandaoni kuanza kumtukana na kukosoa kila kitu anachokiweka  eti kwasababu tu hawampendi.

Baada ya mamba haya kuendelea kwa mda kidogo, hasa baada ya yeye kuachana na aliekuwa mpenzi wake, Diamond Platnumz, hatimaye Wema  aliwatolea uvivu na kuaonge meneno makali kuwa wote wasio mpenda wa ache kum-follow kwani  hakuna wakumwambia nini akiweke au asikiweke mtandaoni na hayo ni maisha yake hakuna...

 

11 years ago

GPL

JOKATE AFICHUA SIRI YA KUPATANA NA WEMA

Jokate Mwegelo. Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
THE big boss wa Kidoti, Jokate Mwegelo ambaye pia ni staa wa sinema na Bongo Fleva, amefichua siri ya kupatana na Wema Isaac Sepetu akisema kuwa sababu ya yeye kuonekana kwenye jukwaa moja na aliyekuwa hasimu wake huyo ni kutafuta amani ya moyo aliyokuwa ameikosa si kweli kwamba alisukumwa na nguvu ya pombe.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani