WEMA:NINGNINGEENDA UKAWA, KABURI LA BABA YANGU LINGETITIA
 Staa wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’. Ohoo! Habari ikufikie kwamba, staa wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa kama angetoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuhamia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), siku hiyo kaburi la baba yake, marehemu Isaac Abraham Sepetu lingetitia. Akizungumza na gazeti namba moja la mastaa Bongo, Ijumaa Wikienda, Wema alitiririka kwamba kama...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
![12292738_1516860355279681_1179389451_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292738_1516860355279681_1179389451_n-300x194.jpg)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MCNfowaHS6c/VfFr8J-nGSI/AAAAAAAAm5w/-07dTLuwQx0/s72-c/1.jpg)
MAGUFULI AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA BUTIAMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-MCNfowaHS6c/VfFr8J-nGSI/AAAAAAAAm5w/-07dTLuwQx0/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-84CDiS6vjGk/VfFrg6XDgGI/AAAAAAAAm5M/XaWhh9pO0o4/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6ET2zRkc6uw/VfFrigs5uaI/AAAAAAAAm5U/wkiHiXw9GaY/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yaAbEyFP9G4/VfFroIRr0rI/AAAAAAAAm5k/19623ATDhUQ/s640/6.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-o0foux9_A4g/Vg6w8I_TlNI/AAAAAAAAz2w/jX-MjAeHDJc/s72-c/DSC_0861.jpg)
MAMA SAMIA AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE
![](http://1.bp.blogspot.com/-o0foux9_A4g/Vg6w8I_TlNI/AAAAAAAAz2w/jX-MjAeHDJc/s640/DSC_0861.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mpqqL6TWrKs/Vg6w9Lo5qII/AAAAAAAAz28/iFz0P5hR6E8/s640/DSC_0865.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M7sQ68oNzqI/VXcpsH8nooI/AAAAAAAHdco/B7WJ2u2ZAeM/s72-c/1.jpg)
LOWASSA ATIKISA MUSOMA, BUNDA NA TARIME, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-M7sQ68oNzqI/VXcpsH8nooI/AAAAAAAHdco/B7WJ2u2ZAeM/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mvsuzppph0M/VXcptgMglGI/AAAAAAAHdc4/lVkYQX9VH3s/s640/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TQ_MfQE9xWc/VXcpsKqIAUI/AAAAAAAHdck/o3OQnzCG9Vw/s640/11.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*54juLYOTrM4ZBhH1C8eR5k4bZs8jWetXgqs44klbDpbvyBid3AHlVVVq5hlfoaP3h*VsolTKwHau3tKri5bNSQFsEFssG-v/wemasepetu.jpg?width=650)
ILI AZAE, WEMA ALALE JUU YA KABURI
10 years ago
Bongo Movies12 Feb
Lulu: Baba Yangu ni Handsome!!
Leo ikiwa ni siku ya kutupa nyuma,Throwback ambapo watu hubandika picha zao za zamani kwenye mitandao ya kijamii ususani INSTAGRAM, mrembo na mwigizaji wa filamu anaewavutia wengi kwa uzuri na kipaji chake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amebandika picha akiwa amebebwa na Baba yake ‘Mzee Michael’ kipindi akiwa mtoto na kuiandikia maneno kuwa yupo na baba yake mtanashati ambae amezaa chema na kujinasibu kuwa wanafanana.
"Enjoy na Throwback, Sina cha maana wala Jipya la ku post..! My handsome daddy...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqwQhbJ-0FPVvKtIsslbeozqJz-v0dTsIjLniVin6fEyaUXVGhGuYDYdE4Jm3aZv0gUJ*43apA*FHfe1qSNpOvvO/babadiamond.jpg?width=650)
BABA: DIAMOND SIYO RIZIKI YANGU
10 years ago
Bongo Movies07 Jan
Kicheko cha Wema na Aunt Ezekiel Kwenye Kaburi la Ngwea Chawashangaza Wengi!
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, waigizaji Wema Sepetu na rafiki yake Aunt Ezekiel wameonekana wa kiangua kicheko na kutuma mesegi kwa simu wakiwa juu ya kaburi la aliekuwa msanii wa Bongo Fleva, marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’.
Kwa mujibu wa GPL, Tukio hilo litokea Januari Mosi, mwaka huu ambapo Wema akiwa na team yake nzima ya Endless Fame walitembea kaburini hapo eneo la makaburi ya Kihonda mjini Morogoro wakiwa wakitokea Dodoma kuja Dar.
Inaelezwa kwamba awali inadaiwa kuwa, ...
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Kigoda: Sigombei ubunge kumrithi baba yangu