MAMA SAMIA AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE
![](http://1.bp.blogspot.com/-o0foux9_A4g/Vg6w8I_TlNI/AAAAAAAAz2w/jX-MjAeHDJc/s72-c/DSC_0861.jpg)
Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan ukiwasili nyumbani kwa familia ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ambako alika kusalimia familia hiyo na kuzuru kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, leo, katika Kijiji cha Mwitongo, Butiama, akiwa kaika ziara ya kufanya mikutano ya kampeni katika mkoa wa Mara.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimsalimia mtoto wa sita wa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere, Madaraka Nyerere,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MCNfowaHS6c/VfFr8J-nGSI/AAAAAAAAm5w/-07dTLuwQx0/s72-c/1.jpg)
MAGUFULI AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA BUTIAMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-MCNfowaHS6c/VfFr8J-nGSI/AAAAAAAAm5w/-07dTLuwQx0/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-84CDiS6vjGk/VfFrg6XDgGI/AAAAAAAAm5M/XaWhh9pO0o4/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6ET2zRkc6uw/VfFrigs5uaI/AAAAAAAAm5U/wkiHiXw9GaY/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yaAbEyFP9G4/VfFroIRr0rI/AAAAAAAAm5k/19623ATDhUQ/s640/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M7sQ68oNzqI/VXcpsH8nooI/AAAAAAAHdco/B7WJ2u2ZAeM/s72-c/1.jpg)
LOWASSA ATIKISA MUSOMA, BUNDA NA TARIME, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-M7sQ68oNzqI/VXcpsH8nooI/AAAAAAAHdco/B7WJ2u2ZAeM/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mvsuzppph0M/VXcptgMglGI/AAAAAAAHdc4/lVkYQX9VH3s/s640/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TQ_MfQE9xWc/VXcpsKqIAUI/AAAAAAAHdck/o3OQnzCG9Vw/s640/11.jpg)
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s640/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s72-c/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA HAYATI MZEE JOMO KENYATTA
9 years ago
GPLDK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AZURU KABURI LA ALIYEKUWA MWALIMU WAKE WA DARASA LA KWANZA BIHARAMULO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y9aj6R8m9pA/VfxOF9ekfOI/AAAAAAAH56c/OCMZkTVfsI8/s72-c/_MG_7646.jpg)
MAGUFULI AZURU KABURI LA ALIYEKUWA MWALIMU WAKE WA DARASA LA KWANZA BIHARAMULO
![](http://3.bp.blogspot.com/-y9aj6R8m9pA/VfxOF9ekfOI/AAAAAAAH56c/OCMZkTVfsI8/s640/_MG_7646.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0AapJrvSN-c/VfxOGZ4DVHI/AAAAAAAH56k/Mi8UIEdIuOA/s640/_MG_7686.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ja8BGyZkink/VfxOGnUJwGI/AAAAAAAH56g/TvMgcekyf_0/s640/_MG_7691.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Taasisi ya Mwalimu Nyerere yaandaa maonyesho na mdahalo wa kukumbuka miaka 15 ya kifo cha Baba wa Taifa
Na Anna Nkinda – Maelezo
Taasisi ya Mwalimu Nyerere kwa kushirikiana na Makumbusho ya Taifa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wameandaa maonyesho na mdahalo wa kukumbuka na kuenzi mchango wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika kujenga, kutetea, kulinda na kudumisha amani Duniani.
Maonyesho hayo ya siku tano ambayo yatafunguliwa tarehe 13 na kumalizika terehe 17 mwezi huu yatafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa yaliyopo jijini Dar es Salaam.
Kwa...