MAGUFULI AZURU KABURI LA ALIYEKUWA MWALIMU WAKE WA DARASA LA KWANZA BIHARAMULO
![](http://3.bp.blogspot.com/-y9aj6R8m9pA/VfxOF9ekfOI/AAAAAAAH56c/OCMZkTVfsI8/s72-c/_MG_7646.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia na ndugu wa Marehemu Cornel Pastory,alipowasili kwenye kijiji cha Nyakantutu,wilayani Biharamulo.Dkt Magufuli amemaliza mikutano yake ya kampeni mkoani Kigoma na kuelekea nyumbani kwake wilayani Chato kwa mapumziko ya siku mbili,ambapo siku ya jumapili atawahutubia Wananchi mjini humo na kisha kuanza ziara yake mkoani Kagera.
Marehemu Cornel Pastory enzi za uhai wake
Dk Magufuli...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AZURU KABURI LA ALIYEKUWA MWALIMU WAKE WA DARASA LA KWANZA BIHARAMULO
9 years ago
MichuziDK MAGUFULI ATINGA KIJIJINI KWAKE CHATO , AZURU KABURI LA ALIYEKUWA MWALIMU WAKE WA DARASA LA KWANZA BIHARAMULO
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-o0foux9_A4g/Vg6w8I_TlNI/AAAAAAAAz2w/jX-MjAeHDJc/s72-c/DSC_0861.jpg)
MAMA SAMIA AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE
![](http://1.bp.blogspot.com/-o0foux9_A4g/Vg6w8I_TlNI/AAAAAAAAz2w/jX-MjAeHDJc/s640/DSC_0861.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mpqqL6TWrKs/Vg6w9Lo5qII/AAAAAAAAz28/iFz0P5hR6E8/s640/DSC_0865.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/magufuli-1-001.jpg?width=650)
MAGUFULI AZURU KABURI LA SOKOINE
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MCNfowaHS6c/VfFr8J-nGSI/AAAAAAAAm5w/-07dTLuwQx0/s72-c/1.jpg)
MAGUFULI AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA BUTIAMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-MCNfowaHS6c/VfFr8J-nGSI/AAAAAAAAm5w/-07dTLuwQx0/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-84CDiS6vjGk/VfFrg6XDgGI/AAAAAAAAm5M/XaWhh9pO0o4/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6ET2zRkc6uw/VfFrigs5uaI/AAAAAAAAm5U/wkiHiXw9GaY/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yaAbEyFP9G4/VfFroIRr0rI/AAAAAAAAm5k/19623ATDhUQ/s640/6.jpg)
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T0eBH1hwljM/XtqCZzCR3kI/AAAAAAALsxM/pD-DqTN-ziIyRQfs80-JmMR2fs_fAad5wCLcBGAsYHQ/s72-c/HUKUMU.jpg)
Mwalimu mkuu ahukumiwa kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi mwanafunzi wake wa darasa la saba
![](https://1.bp.blogspot.com/-T0eBH1hwljM/XtqCZzCR3kI/AAAAAAALsxM/pD-DqTN-ziIyRQfs80-JmMR2fs_fAad5wCLcBGAsYHQ/s320/HUKUMU.jpg)
Mahakama ya wilaya ya Makete mkoani Njombe imemhukumu mwalimu mkuu wa shule ya Msingi Iwale Mwl.Steven Mahenge kulipa faini ya shilingi Laki 5 au kwenda jela miezi minne kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi mwanafunzi wake anayesoma darasa la 7 mwenye umri wa miaka 13 ambaye jina linahifadhiwa
Pia Mahakama hiyo imetoa amri ya mshtakiwa kulipa fidia ya shilingi Laki 1 kwa mlalamikaji kutokana na kosa alilomtendea lililopelekea kudhurika mwili wake
Hakimu mkazi wa...
9 years ago
GPLDK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-aCZcohJADIo/VMqYAiML8nI/AAAAAAAAWaY/oAdnOLFeqiE/s72-c/21.jpg)
KINANA AZURU KABURI LA DK.OMAR ALI JUMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-aCZcohJADIo/VMqYAiML8nI/AAAAAAAAWaY/oAdnOLFeqiE/s1600/21.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d4t8d2MUXYo/VMqYCbxPkoI/AAAAAAAAWak/MRaPnpO4710/s1600/22.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GW7brR6WpIw/VMqYCNTjGuI/AAAAAAAAWag/fLoueHkoeI4/s1600/23.jpg)