ARUSHA YAONGOZA MICHUANO YA WAZI TENISI KWA VIJANA.
Na Woinde Shizza,ArushaJiji la Arusha limeendelea kuwa kinara katika mchezo wa tenisi baada ya wachezaji wake kuibuka kidedea kwa kutwaa ushindi katika umri tofauti tofauti ,mashindano yaliyomalizika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Arusha Tenisi gymkhana klabu.
Mashindano hayo yalidhaminiwa na Jubilee tyres ikiwa ni mwaka wa tatu sasa, yalishirikisha jumla ya wachezaji 90 ambao 28 kati yao ni wasichana kutoka Dar es salaam gymkhana klabu,Kijitonyama tenisi klabu kutoka Dar es...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Michuano ya tenisi kuanza Agosti 31
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Wakenya wawafunika watanzania michuano ya tenisi Dar open
Mmoja wa wadhamini kutoka kampuni ya mawikili ya IMMA ya Dar es Salaam, Alexander Sarac, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa michuano ya tenisi ya walemavu ya kimataifa kutoka Tanzania kwa udhamini mkuu wa kampuni ya magari ya CFAO Motors kupitia brandi ya magari ya Mercedes Benz. (Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi wetu
WACHEZA tenisi kutoka nchini Kenya wamewafunika watanzania katika michuano ya kimataifa ya kwanza ya tenisi kwa walemavu (Dar Open ).
Michuano hiyo...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/DSC_0453.jpg?width=650)
WAKENYA WAWAFUNIKA WATANZANIA MICHUANO YA TENISI DAR OPEN
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Arusha yaongoza kumiliki bastola
11 years ago
MichuziTANZANIA YAONGOZA MJADALA WA WAZI (OPEN SESSION) WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA KUHUSU WATOTO NA VITA BARANI AFRIKA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nDCjxdQUMRc/VI7vNXlpfZI/AAAAAAAG3WY/dXomjwhpP8k/s72-c/IMG_5789.jpg)
CCM YAONGOZA UWENYEKITI WA MTAA MKOA WA ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-nDCjxdQUMRc/VI7vNXlpfZI/AAAAAAAG3WY/dXomjwhpP8k/s1600/IMG_5789.jpg)
Chama cha mapinduzi kimeibuka kidedea katika uchaguzi wa uwenyekiti wa mitaa katika mitaa yote iliopo ndani ya mkoa wa Arusha baada ya kuvishinda vyama vingine vya upinzani .
Akitangaza matokeo ya uwenyeviti wa mitaa Mkurugenzi wa jiji la Arusha Iddi Juma alisema kuwa mpaka sasa uchaguzi wa uwenyekiti umekamilika katika mitaa yote na vituo vyote isipokuwa kituo kimoja ambacho uchaguzi wake utarudiwa siku ya kesho.
Alisema kuwa katika uchaguzi huu jumla ya wananchi ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Tiyt1Izo91k/U2uzPcb-GlI/AAAAAAAFgVo/7H-xETYCFFY/s72-c/unnamed.jpg)
TANZANIA YAONGOZA MJADALA WA WAZI (OPEN SESSION) WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA KUHUSU WATOTO NA VITA BARANI AFRIKA (CHILDREN AND ARMED CONFLICTS IN AFRICA) JIJINI ADDIS ABABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Tiyt1Izo91k/U2uzPcb-GlI/AAAAAAAFgVo/7H-xETYCFFY/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
GPLMAKOCHA WACHAGUA VIJANA KUSHIRIKI MICHUANO YA TAIFA U-12
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2pJZ0JZMXAA/Vd85_bxeqxI/AAAAAAAAPcw/RSKCJI-Fu0s/s72-c/DSC00223.jpg)
MICHUANO YA WAVU YAANZA KURINDIMA ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2pJZ0JZMXAA/Vd85_bxeqxI/AAAAAAAAPcw/RSKCJI-Fu0s/s640/DSC00223.jpg)
Iliovaa bluu ikiwa inachezana wachezaji wa timu ya tanga katika
MICHUANO yamchezo wa wavu
klabu bingwa taifa inaendelea kutimua vumbi jijini hapa ambapo timu ya
mchezo wa wavu ya tanga iliibuka kidedea kwa kuifunga timu ya
pentagoni seti 3-1
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bb9o2xM3w6k/Vd86U3vzmoI/AAAAAAAAPc4/_sWmaX3XTIs/s640/DSC00231.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sREeXqLxno0/Vd86yDVn_SI/AAAAAAAAPdI/w-ymlRgfxFs/s640/DSC00230.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BygalsDppvA/Vd87ZOXH4NI/AAAAAAAAPdg/pmYsfdYRpHg/s640/DSC00218.jpg)
MICHUANO yamchezo wa wavuklabu bingwa taifa inaendelea kutimua vumbi jijini Arusha hukuikizishuhudia timu...