MICHUANO YA WAVU YAANZA KURINDIMA ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2pJZ0JZMXAA/Vd85_bxeqxI/AAAAAAAAPcw/RSKCJI-Fu0s/s72-c/DSC00223.jpg)
picha ikionyesha wachezaji wa timu ya pentagone ya jijini arusha
Iliovaa bluu ikiwa inachezana wachezaji wa timu ya tanga katika
MICHUANO yamchezo wa wavu
klabu bingwa taifa inaendelea kutimua vumbi jijini hapa ambapo timu ya
mchezo wa wavu ya tanga iliibuka kidedea kwa kuifunga timu ya
pentagoni seti 3-1 wachezaji wa pentagoni wakiwa wanamsikiliza mwalimu
picha zote na woinde shizza, Arusha
MICHUANO yamchezo wa wavuklabu bingwa taifa inaendelea kutimua vumbi jijini Arusha hukuikizishuhudia timu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 May
Michuano ya wavu Afrika Ijumaa- Mombasa
11 years ago
Michuzimichuano ya Airtel Rising Stars Yaendelea kurindima uwanja wa karume jijini dar
11 years ago
Dewji Blog15 May
Tamasha la “Mtu kwao” laanza kurindima jijini Arusha
![tamasha](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/tamasha.jpg)
10 years ago
BBCSwahili20 May
Michuano ya COSAFA yaanza Africa Kusini
9 years ago
MichuziARUSHA YAONGOZA MICHUANO YA WAZI TENISI KWA VIJANA.
Mashindano hayo yalidhaminiwa na Jubilee tyres ikiwa ni mwaka wa tatu sasa, yalishirikisha jumla ya wachezaji 90 ambao 28 kati yao ni wasichana kutoka Dar es salaam gymkhana klabu,Kijitonyama tenisi klabu kutoka Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jheR_MZlnSk/VcnBYI4DMeI/AAAAAAAHwB8/Rw16w5gf3iU/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
Michuano ya Airtel Rising Stars Mkoani Arusha Yazinduliwa Rasmi
Hafla ya ufunguzi ilihudhuliwa na viongozi wa shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF) mkoa wa Arusha, mdhamini wa mashindano Airtel Tanzania na wadau wengine wa soka. Ufunguzi huo uliufanyika katika...
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Ziara ya Lukuvi mkoani Arusha yaanza
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akiingia jengo la Utawala la Mkoa wa Arusha ili kukutana na Uongozi wa Mkoa huo kupata taarifa ya Mkoa inayohusu migogoro ya ardhi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akipokelewa na Uongozi wa Mkoa wa Arusha alipowasili kufanya ziara ya kusikiliza na kutatua kero za ardhi zilizoko katika Halmashauri mbalimbali za Mkoa huo.
Baadhi ya watendaji na viongozi mbalimbali wa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mapanga yaanza uchaguzi mdogo Arusha
UCHAGUZI mdogo wa udiwani Kata ya Sombetini umeanza kwa vurugu baada ya wanachama watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kujeruhiwa na kundi la vijana walinzi wa Chama Cha...
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Kesi ya Mwale yaanza kunguruma Arusha