Michuano ya COSAFA yaanza Africa Kusini
Michuano ya kumi na tano ya Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu kusini mwa Afrika,COSAFA imezikutanisha timu za ukanda huo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 May
MAONI: Kila la kheri Stars michuano ya Cosafa
>Leo, kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kinaingia kwenye Uwanja wa Olympia Park, Rustenburg Afrika Kusini kupambana na Swaziland katika mashindano ya kuwania ubingwa wa Kombe la Cosafa ambayo yalifunguliwa jana.
10 years ago
BBCSwahili14 May
Taifa Stars yaanza kujifua kwa COSAFA
Taifa Stars inaendelea na mazoezi mepesi mjini Rustenburg, Afrika Kusini tayari kwa michuano ya Kombe la COSAFA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDBzkGYYWT8XVVp*r-VsZqIH4yA7hlFbeUoQ6XGyvJsactJE8GjiyuaxH1zP3GtgKUtvsTIaw8CevxYm7zjbIYo6/B15ERMN0768.jpg?width=600)
TAIFA STARS YAANZA VIBAYA COSAFA, YAFUNGWA NA SWAZILAND BAO 1-0
Beki wa timu ya taifa, Taifa Stars, Shomari Kapombe (kulia) akichuana na mchezaji wa Swaziland kwenye mchezo wao wa jana uliopigwa kwenye Uwanja wa Royal Bafokeng Sports Palace katika michuano ya Cosafa inayoendelea huko Afrika Kusini. Stars ilifungwa bao 1-0. Straika wa Stars, John Bocco akiruka hewani kuwania mpira na mchezaji wa Swaziland.… ...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2pJZ0JZMXAA/Vd85_bxeqxI/AAAAAAAAPcw/RSKCJI-Fu0s/s72-c/DSC00223.jpg)
MICHUANO YA WAVU YAANZA KURINDIMA ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2pJZ0JZMXAA/Vd85_bxeqxI/AAAAAAAAPcw/RSKCJI-Fu0s/s640/DSC00223.jpg)
Iliovaa bluu ikiwa inachezana wachezaji wa timu ya tanga katika
MICHUANO yamchezo wa wavu
klabu bingwa taifa inaendelea kutimua vumbi jijini hapa ambapo timu ya
mchezo wa wavu ya tanga iliibuka kidedea kwa kuifunga timu ya
pentagoni seti 3-1
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bb9o2xM3w6k/Vd86U3vzmoI/AAAAAAAAPc4/_sWmaX3XTIs/s640/DSC00231.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sREeXqLxno0/Vd86yDVn_SI/AAAAAAAAPdI/w-ymlRgfxFs/s640/DSC00230.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BygalsDppvA/Vd87ZOXH4NI/AAAAAAAAPdg/pmYsfdYRpHg/s640/DSC00218.jpg)
MICHUANO yamchezo wa wavuklabu bingwa taifa inaendelea kutimua vumbi jijini Arusha hukuikizishuhudia timu...
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini yaanza
Harakati za kupata suluhisho la kudumu la mgogoro wa Sudan Kusini zimeanza mjini Arusha.
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Sudan Kusini:Mazungumzo ya amani yaanza
Mazungumzo mapya yanayolenga kumaliza mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe wa miezi 19 Sudan Kusini yameanza katika mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa.
11 years ago
BBCSwahili05 May
Mapigano makali yaanza tena Sudan Kusini
Mapigano makali yamekuwa yakiendelea katika mji wa Bentiu nchini Sudan Kusini ambapo vikosi vya serikali vinajaribu kuurejesha mji huo.
11 years ago
BBCSwahili07 May
Shughuli ya kupiga kura yaanza Afrika Kusini
Shughuli ya kupiga Nchini Afrika Kusini ilianza vyema mapema leo asubuhi huku idadi kubwa ya wapigaji kura ikijitokeza.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania