Mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini yaanza
Harakati za kupata suluhisho la kudumu la mgogoro wa Sudan Kusini zimeanza mjini Arusha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Sudan Kusini:Mazungumzo ya amani yaanza
Mazungumzo mapya yanayolenga kumaliza mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe wa miezi 19 Sudan Kusini yameanza katika mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa.
10 years ago
Habarileo25 Dec
Mazungumzo ya amani Sudan Kusini yamalizika
MAZUNGUMZO ya vikundi vinavyopingana ndani ya chama cha SPLM cha Sudan Kusini, chini ya usuluhishi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) yamemaliza awamu ya pili ya mazungumzo hayo.
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Mazungumzo ya amani kuhusu Libya yaanza
Mazungumzo kuhusu Libya yalioidhinishwa na Umoja wa mataifa yameanza huko Geneva leo yanayonuiwa kufikia makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.
11 years ago
BBCSwahili04 Jan
Mazungumzo ya Sudan Kusini yakwama
Matumaini ya kupatikana kwa amani Sudan Kusini yameingia mashakani baada ya mazungumzo ya uso kwa uso ya pande zinazopingana yaliyokuwa yakitarajiwa kufanyika nchini Ethiopia kuchelewa.
11 years ago
BBCSwahili31 Dec
Sudan Kusini wakubali mazungumzo
Waasi nchini Sudan Kusini wamekubali kuingia katika mazungumzo ya amani baada ya kuuteka tena mji wa Bor
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Mazungumzo Sudan Kusini yagonga mwamba
Mazungumzo ya kutatua mzozo unaokumba Sudan Kusini yamegonga mwamba, saa kadhaa kabla ya UN kuwawekea makataa wanaohusika.
11 years ago
BBCSwahili05 May
Mapigano makali yaanza tena Sudan Kusini
Mapigano makali yamekuwa yakiendelea katika mji wa Bentiu nchini Sudan Kusini ambapo vikosi vya serikali vinajaribu kuurejesha mji huo.
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Kizungumkuti cha amani Sudan Kusini
Mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Sudan Kusini na waasi yanatarajiwa kuanza tena leo mjini Addis Ababa Ethiopia.Je yatafaulu?
11 years ago
BBCSwahili11 May
Mkataba wa amani waafikiwa Sudan kusini
Mkataba wa usitishaji uhasama kati ya serikali na waasi nchini Sudan kusini waanza kutekelezwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania