Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini yaanza

Harakati za kupata suluhisho la kudumu la mgogoro wa Sudan Kusini zimeanza mjini Arusha.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini:Mazungumzo ya amani yaanza

Mazungumzo mapya yanayolenga kumaliza mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe wa miezi 19 Sudan Kusini yameanza katika mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa.

 

10 years ago

Habarileo

Mazungumzo ya amani Sudan Kusini yamalizika

Salva KiirMAZUNGUMZO ya vikundi vinavyopingana ndani ya chama cha SPLM cha Sudan Kusini, chini ya usuluhishi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) yamemaliza awamu ya pili ya mazungumzo hayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya amani kuhusu Libya yaanza

Mazungumzo kuhusu Libya yalioidhinishwa na Umoja wa mataifa yameanza huko Geneva leo yanayonuiwa kufikia makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya Sudan Kusini yakwama

Matumaini ya kupatikana kwa amani Sudan Kusini yameingia mashakani baada ya mazungumzo ya uso kwa uso ya pande zinazopingana yaliyokuwa yakitarajiwa kufanyika nchini Ethiopia kuchelewa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini wakubali mazungumzo

Waasi nchini Sudan Kusini wamekubali kuingia katika mazungumzo ya amani baada ya kuuteka tena mji wa Bor

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo Sudan Kusini yagonga mwamba

Mazungumzo ya kutatua mzozo unaokumba Sudan Kusini yamegonga mwamba, saa kadhaa kabla ya UN kuwawekea makataa wanaohusika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano makali yaanza tena Sudan Kusini

Mapigano makali yamekuwa yakiendelea katika mji wa Bentiu nchini Sudan Kusini ambapo vikosi vya serikali vinajaribu kuurejesha mji huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kizungumkuti cha amani Sudan Kusini

Mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Sudan Kusini na waasi yanatarajiwa kuanza tena leo mjini Addis Ababa Ethiopia.Je yatafaulu?

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkataba wa amani waafikiwa Sudan kusini

Mkataba wa usitishaji uhasama kati ya serikali na waasi nchini Sudan kusini waanza kutekelezwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani