Mazungumzo ya amani kuhusu Libya yaanza
Mazungumzo kuhusu Libya yalioidhinishwa na Umoja wa mataifa yameanza huko Geneva leo yanayonuiwa kufikia makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini yaanza
Harakati za kupata suluhisho la kudumu la mgogoro wa Sudan Kusini zimeanza mjini Arusha.
10 years ago
BBCSwahili06 Aug
Sudan Kusini:Mazungumzo ya amani yaanza
Mazungumzo mapya yanayolenga kumaliza mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe wa miezi 19 Sudan Kusini yameanza katika mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--H9mFN8spuM/XkUVfvvRcxI/AAAAAAAAu0I/NWcIWT2loTg5t-XN-LVsURrABChCPVb2QCLcBGAsYHQ/s72-c/46840670_303.jpg)
BARAZA LA USALAMA LAIDHINISHA MUONGOZO KUHUSU AMANI LIBYA
![](https://1.bp.blogspot.com/--H9mFN8spuM/XkUVfvvRcxI/AAAAAAAAu0I/NWcIWT2loTg5t-XN-LVsURrABChCPVb2QCLcBGAsYHQ/s640/46840670_303.jpg)
Azimio lililoidhinishwa na baraza la Usalama pia limetoa wito wa kuwapo na usitishaji wa kudumu wa mapigano nchini Libya, ambako makubaliano tete ya kusitisha mapigano yamekuwapo tangu Januari mwaka huu.
Azimio hilo lililotayarishwa na Uingereza ,...
10 years ago
BBCSwahili14 Mar
Man United yaanza mazungumzo na Ronaldo
Kilabu ya Manchester United imeanzisha mazungumzo na ajenti wa Christiano Ronaldo kwa lengo la kumrudisha Old Trafford.
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Mazungumzo ya amani yakwama
Mazungumzo ya kusaka amani kati ya pande mbili hasimu huko Sudan Kusini yamekwama huku mapigano makali kati ya jeshi la Serikali na waasi wanaoongozwa na makamu wa zamani wa Rais wa nchi hiyo Riek Machar yakiendelea.
10 years ago
BBCSwahili13 May
Mazungumzo ya kutafuta amani Burundi
Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini Burundi.
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Kizingiti mazungumzo ya amani Burundi
Mazungumzo kuhusu mzozo wa kisiasa Burundi yamefanyika nchini Uganda, ingawa washiriki wamekosa kuelewana kuhusu siku ya kuanza kwa mazungumzo kamili.
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Waasi wasusia mazungumzo ya amani
Waasi wa Sudan Kusini wasema hawatashiriki katika awamu ya pili ya mazungumzo ya amani hadi wafungwa wote wa kisiasa watakapoachiliwa huru
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Mazungumzo ya amani Mashariki ya kati
Muda wa mwisho uliowekwa na Marekani wa mpango wa mashariki ya kati umemalizika
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania