Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazungumzo ya amani kuhusu Libya yaanza

Mazungumzo kuhusu Libya yalioidhinishwa na Umoja wa mataifa yameanza huko Geneva leo yanayonuiwa kufikia makubaliano ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini yaanza

Harakati za kupata suluhisho la kudumu la mgogoro wa Sudan Kusini zimeanza mjini Arusha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini:Mazungumzo ya amani yaanza

Mazungumzo mapya yanayolenga kumaliza mgogoro wa wenyewe kwa wenyewe wa miezi 19 Sudan Kusini yameanza katika mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa.

 

5 years ago

CCM Blog

BARAZA LA USALAMA LAIDHINISHA MUONGOZO KUHUSU AMANI LIBYA

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeidhinisha vifungu 55 vya muongozo utakaomaliza vita nchini Libya na kushutumu  ongezeko  la matumizi ya nguvu katika nchi hiyo yenye utajiri wa mafuta ya Afrika ya kaskazini.

Azimio lililoidhinishwa na baraza  la  Usalama pia  limetoa wito  wa  kuwapo  na usitishaji  wa  kudumu  wa  mapigano nchini  Libya, ambako makubaliano tete ya  kusitisha  mapigano yamekuwapo  tangu  Januari mwaka  huu.

Azimio hilo  lililotayarishwa  na  Uingereza ,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man United yaanza mazungumzo na Ronaldo

Kilabu ya Manchester United imeanzisha mazungumzo na ajenti wa Christiano Ronaldo kwa lengo la kumrudisha Old Trafford.

 

11 years ago

Mwananchi

Mazungumzo ya amani yakwama

Mazungumzo ya kusaka amani kati ya pande mbili hasimu huko Sudan Kusini yamekwama huku mapigano makali kati ya jeshi la Serikali na waasi wanaoongozwa na makamu wa zamani wa Rais wa nchi hiyo Riek Machar yakiendelea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya kutafuta amani Burundi

Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini Burundi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kizingiti mazungumzo ya amani Burundi

Mazungumzo kuhusu mzozo wa kisiasa Burundi yamefanyika nchini Uganda, ingawa washiriki wamekosa kuelewana kuhusu siku ya kuanza kwa mazungumzo kamili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wasusia mazungumzo ya amani

Waasi wa Sudan Kusini wasema hawatashiriki katika awamu ya pili ya mazungumzo ya amani hadi wafungwa wote wa kisiasa watakapoachiliwa huru

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya amani Mashariki ya kati

Muda wa mwisho uliowekwa na Marekani wa mpango wa mashariki ya kati umemalizika

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani