Ziara ya Lukuvi mkoani Arusha yaanza
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akiingia jengo la Utawala la Mkoa wa Arusha ili kukutana na Uongozi wa Mkoa huo kupata taarifa ya Mkoa inayohusu migogoro ya ardhi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Vangimembe Lukuvi akipokelewa na Uongozi wa Mkoa wa Arusha alipowasili kufanya ziara ya kusikiliza na kutatua kero za ardhi zilizoko katika Halmashauri mbalimbali za Mkoa huo.
Baadhi ya watendaji na viongozi mbalimbali wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-fBjXsjODywM/VQrHrnN8gQI/AAAAAAADRKE/4pIG2gRMBgQ/s72-c/unnamed.png)
WAZIRI WA ARDHI ,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI WILLIAM LUKUVI AANZA ZIARA MKOANI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-fBjXsjODywM/VQrHrnN8gQI/AAAAAAADRKE/4pIG2gRMBgQ/s1600/unnamed.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FknvlfwMauc/VQrHrUjbg5I/AAAAAAADRKA/mPJoyIY4-5w/s1600/U.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zfcAPa9OGtE/VQrHpK9RRDI/AAAAAAADRJo/8ouPyOvzWLI/s1600/P9.png)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/115.png?width=650)
MH. LUKUVI AANZA ZIARA MKOANI RUKWA
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
William Lukuvi aanza ziara mkoani Rukwa
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Injinia Stella Manyanya alipowasili uwanja wa ndege wa Sumbawanga kuanza ziara ya kutatua migogoro ya ardhi Mkoani humo.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akimpokea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi alipowasili eneo la Jangwani mjini Sumbawanga kuweka jiwe la msingi katika nyumba za makazi zinazojengwa na NHC kwa...
10 years ago
MichuziWAZIRI LUKUVI AFANYA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TABORA
10 years ago
Michuzi21 Mar
ZIARA YA WAZIRI WA ARDHI MH. WILLIAM LUKUVI BABATI MKOANI MANYARA
![1a](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/1a.jpg)
![2a](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/2a.jpg)
10 years ago
GPLWAZIRI LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-82.png)
WAZIRI LUKUVI AANZA ZIARA MKOANI MTWARA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
9 years ago
MichuziWAZIRI MAHIGA MKOANI KUFANYA ZIARA MKOANI ARUSHA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga atafanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Arusha kuanzia leo Jumamosi tarehe 19 Desemba 2015.Atakapokuwa mkoani Arusha, Balozi Mahiga atafanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dkt. Richard Sezibera. Mazungumzo yao yatahusu namna ya kutatua mgogoro wa kisiasa nchini Burundi.Aidha, Mhe. Waziri atatembelea eneo la Lakilaki ambalo limetengwa na...
10 years ago
MichuziWAZIRI wa Ardhi William LUKUVI AFANYA ZIARA mkoani IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDH