Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKENYA WAWAFUNIKA WATANZANIA MICHUANO YA TENISI DAR OPEN‏

Mmoja wa wadhamini kutoka kampuni ya mawikili ya IMMA ya Dar es Salaam, Alexander Sarac, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa michuano ya tenisi ya walemavu ya kimataifa kutoka Tanzania kwa udhamini mkuu wa kampuni ya magari ya CFAO Motors kupitia brandi ya magari ya Mercedes Benz. Mshiriki wa michuano ya tenisi ya walemavu ya kimataifa kutoka Tanzania, Rehema Selemani akirusha mpira wakati akichuana na mshiriki kutoka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wakenya wawafunika watanzania michuano ya tenisi Dar open

DSC_0453

Mmoja wa wadhamini kutoka kampuni ya mawikili ya IMMA ya Dar es Salaam, Alexander Sarac, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa michuano ya tenisi ya walemavu ya kimataifa kutoka Tanzania kwa udhamini mkuu wa kampuni ya magari ya CFAO Motors kupitia brandi ya magari ya Mercedes Benz. (Picha na Zainul Mzige wa MOblog).

Na Mwandishi wetu

WACHEZA tenisi  kutoka nchini Kenya  wamewafunika watanzania katika michuano ya kimataifa ya kwanza ya tenisi kwa walemavu (Dar Open ).

Michuano hiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania wang’ara katika tenisi Dar

Tanzania jana ilifanya kweli katika mashindano ya Afrika Mashariki na Kati ya tenisi baada ya kuibuka na ushindi katika michezo ya vijana wenye miaka 14 na 16 kwenye viwanja Dar es Salaam Gymkhana.

 

5 years ago

BBCSwahili

Michuano ya tenisi kuanza Agosti 31

Kwenye Tenisi Serena williams asema ajiandaa kucheza bila mashabiki na kutajia kuweka ushindi

 

9 years ago

Michuzi

ARUSHA YAONGOZA MICHUANO YA WAZI TENISI KWA VIJANA.

 Na Woinde Shizza,ArushaJiji la Arusha limeendelea kuwa kinara katika mchezo wa tenisi baada ya wachezaji wake kuibuka kidedea kwa kutwaa ushindi katika umri tofauti tofauti ,mashindano yaliyomalizika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Arusha Tenisi gymkhana klabu.
Mashindano hayo yalidhaminiwa na Jubilee tyres ikiwa ni mwaka wa tatu sasa, yalishirikisha jumla ya wachezaji 90 ambao 28 kati yao ni wasichana kutoka Dar es salaam gymkhana klabu,Kijitonyama tenisi klabu kutoka Dar es...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nadal atolewa nje ya Michuano ya US Open

Bingwa namba nane kwa ubora duniani katika mchezo wa tenis Rafael Nadal ametolewa nje ya mashindano ya tenis ya US Open huko Marekani baada ya kukubali kipigo kutoka kwa mpinzani wake Fabio Fognini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nusu fainali za michuano ya French Open

Wachezaji watatu maarufu wa tenis duniani wamefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michauno ya French Open

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani