Nadal atolewa nje ya Michuano ya US Open
Bingwa namba nane kwa ubora duniani katika mchezo wa tenis Rafael Nadal ametolewa nje ya mashindano ya tenis ya US Open huko Marekani baada ya kukubali kipigo kutoka kwa mpinzani wake Fabio Fognini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen31 Aug
Federer, Nadal at US Open crossroads
10 years ago
BBCSwahili19 Aug
Rafael Nadal ajiondoa US Open
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Cheka atolewa jela, apewa kifungo cha nje
NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO
BONDIA nguli nchini, Francis Cheka, jana alitolewa rumande na kupewa kifungo cha nje, huku akitakiwa kuripoti katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mjini kila siku kwa ajili ya shughuli za kijamii.
Februari 2, mwaka huu, Mahakama ya Hakimu Mkazi ya mkoani hapa ilimhukumu Cheka kifungo cha miaka mitatu kwenda jela na faini ya Sh milioni moja, baada ya kumshambulia na kumdhuru meneja wa baa yake, Bahati Kabanda, kosa alilofanya Julai 2, mwaka jana.
Hatua...
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Nusu fainali za michuano ya French Open
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Wakenya wawafunika watanzania michuano ya tenisi Dar open
Mmoja wa wadhamini kutoka kampuni ya mawikili ya IMMA ya Dar es Salaam, Alexander Sarac, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa michuano ya tenisi ya walemavu ya kimataifa kutoka Tanzania kwa udhamini mkuu wa kampuni ya magari ya CFAO Motors kupitia brandi ya magari ya Mercedes Benz. (Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi wetu
WACHEZA tenisi kutoka nchini Kenya wamewafunika watanzania katika michuano ya kimataifa ya kwanza ya tenisi kwa walemavu (Dar Open ).
Michuano hiyo...
10 years ago
GPLWAKENYA WAWAFUNIKA WATANZANIA MICHUANO YA TENISI DAR OPEN