Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nadal atolewa nje ya Michuano ya US Open

Bingwa namba nane kwa ubora duniani katika mchezo wa tenis Rafael Nadal ametolewa nje ya mashindano ya tenis ya US Open huko Marekani baada ya kukubali kipigo kutoka kwa mpinzani wake Fabio Fognini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Federer, Nadal at US Open crossroads

Roger Federer and Rafael Nadal, with 31 major titles between them, head for the US Open with their Grand Slam careers at crossroads.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rafael Nadal ajiondoa US Open

Mashabiki wa Tennis watamkosa mchezaji wao mashuhuri Rafael Nadal US Open

 

10 years ago

Mtanzania

Cheka atolewa jela, apewa kifungo cha nje

FRANCISI-CHEKANA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO

BONDIA nguli nchini, Francis Cheka, jana alitolewa rumande na kupewa kifungo cha nje, huku akitakiwa kuripoti katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mjini kila siku kwa ajili ya shughuli za kijamii.

Februari 2, mwaka huu, Mahakama ya Hakimu Mkazi ya mkoani hapa ilimhukumu Cheka kifungo cha miaka mitatu kwenda jela na faini ya Sh milioni moja, baada ya kumshambulia na kumdhuru meneja wa baa yake, Bahati Kabanda, kosa alilofanya Julai 2, mwaka jana.

Hatua...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nusu fainali za michuano ya French Open

Wachezaji watatu maarufu wa tenis duniani wamefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michauno ya French Open

 

10 years ago

Dewji Blog

Wakenya wawafunika watanzania michuano ya tenisi Dar open

DSC_0453

Mmoja wa wadhamini kutoka kampuni ya mawikili ya IMMA ya Dar es Salaam, Alexander Sarac, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa michuano ya tenisi ya walemavu ya kimataifa kutoka Tanzania kwa udhamini mkuu wa kampuni ya magari ya CFAO Motors kupitia brandi ya magari ya Mercedes Benz. (Picha na Zainul Mzige wa MOblog).

Na Mwandishi wetu

WACHEZA tenisi  kutoka nchini Kenya  wamewafunika watanzania katika michuano ya kimataifa ya kwanza ya tenisi kwa walemavu (Dar Open ).

Michuano hiyo...

 

10 years ago

GPL

WAKENYA WAWAFUNIKA WATANZANIA MICHUANO YA TENISI DAR OPEN‏

Mmoja wa wadhamini kutoka kampuni ya mawikili ya IMMA ya Dar es Salaam, Alexander Sarac, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa michuano ya tenisi ya walemavu ya kimataifa kutoka Tanzania kwa udhamini mkuu wa kampuni ya magari ya CFAO Motors kupitia brandi ya magari ya Mercedes Benz. Mshiriki wa michuano ya tenisi ya walemavu ya kimataifa kutoka Tanzania, Rehema Selemani akirusha mpira wakati akichuana na mshiriki kutoka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani