Cheka atolewa jela, apewa kifungo cha nje
NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO
BONDIA nguli nchini, Francis Cheka, jana alitolewa rumande na kupewa kifungo cha nje, huku akitakiwa kuripoti katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mjini kila siku kwa ajili ya shughuli za kijamii.
Februari 2, mwaka huu, Mahakama ya Hakimu Mkazi ya mkoani hapa ilimhukumu Cheka kifungo cha miaka mitatu kwenda jela na faini ya Sh milioni moja, baada ya kumshambulia na kumdhuru meneja wa baa yake, Bahati Kabanda, kosa alilofanya Julai 2, mwaka jana.
Hatua...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Mar
BONDIA FRANCIS CHEKA ATOKA JELA SASA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE
![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2013/05/Francis-Cheka.jpg)
Mahakama Mkoani Morogoro imembadilishia kifungo bondia Francis Cheka cha miaka mitatu ndani na sasa bondia huyo atatumikia kifungo cha nje.
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZ........BONDIA FRANCIS CHEKA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 3 JELA
Cheka alifikishwa kizimbani leo na kusomewa mashtaka ya kushambulia na kuzuru mwili,akidaiwa mnamo julai 02 mwaka 2014, bila uhalali na akijua kufanya hivyo ni kosa kisheria, alimpiga kwa ngumi maeneo ya kichwani na tumboni, Bahati Kabanda maarufu kama Masika,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5Ac2*1b9-paTs8uRRQm1Pxja8KH1lgDfFeDC3uiR7*2Zu2CmbmTZ95rElaCp4b4fEZppG1yJSKDBQG7OAUHv-DJX/breakingnews.gif)
BONDIA FRANCIS CHEKA AACHIWA, KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Tf7mG9MBqjk/VQg5M5X6KvI/AAAAAAAHLAc/C9MIWW7ut5I/s72-c/11111.jpg)
BONDIA FRANCIS CHEKA SASA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE
Cheka alikuwa akikabiliwa na kosa la kumpiga na kumjeruhi Bahati Kibanda, ambaye alikuwa ni meneja wa baa yake iitwayo Vijana Social Hall iliopo mjini Morogoro.
Cheka anatumikia kifungo chake cha nje kwa kufanya kazi za serikali kwa muda wa masaa manne...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLSkYgbw9L*EL-C9wzjn13*jTt4YPqDYQt3uIRRPLrES8kUwiYOCJ25O5APbiry3EUhPNFenQ7v7dsbUl1mCkWDq/SimoneGbagbo.jpg?width=650)
MKE WA GBAGBO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 20 JELA
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Chid Benz ahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EGPrh5sA-5A/XpS_3BGG0LI/AAAAAAALm3Q/wQ3hET5BN8kBoJsLOKgzv1aQVdnWnQmYgCLcBGAsYHQ/s72-c/o.jpg)
IYANNA FLOYD KUHUKUMIWA KIFUNGO CHA HADI MIAKA 99 JELA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rrMSSgYbxcc/VZrCHWy4S_I/AAAAAAABRQg/gbOOQIitxLA/s72-c/IMG-20150706-WA0017.jpg)
MAHAKAMA YAWAHUKUMU MRAMBA NA YONA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JELA
![](http://2.bp.blogspot.com/-rrMSSgYbxcc/VZrCHWy4S_I/AAAAAAABRQg/gbOOQIitxLA/s640/IMG-20150706-WA0017.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mBX0L__SGJo/VZrCHQ3_MYI/AAAAAAABRQk/xvrNsKfs7vM/s640/IMG-20150706-WA0021.jpg)
Hukumu hiyo imetolewa na Jaji John Utamwa, Jaji Sam Rumwenyi pamoja na Hakimu Saul Kinemela ambapo mtuhumiwa wa tatu wa kesi hiyo, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja amekutwa hana hatia.
Washitakiwa hao walikuwa...
11 years ago
Habarileo15 Jul
Wizara yasisitiza programu ya kifungo cha nje
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Idara ya Huduma kwa Jamii imesema ili urekebishaji wa wahalifu chini ya programu ya kifungo cha nje ufanikiwe, Serikali ichukue hatua za makusudi kueneza utekelezaji wa sheria ya huduma kwa jamii kwa nchi nzima.