Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BONDIA FRANCIS CHEKA AACHIWA, KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE

BONDIA Francis Cheka aliyehukumiwa kifungo cha miaka mitatu kwenda jela kwa kosa la kumpiga ngumi meneja wa baa yake, amebadilishiwa adhabu ya kifungo. Cheka amechiwa na kutoka gerezani na sasa anatakiwa kutumikia kifungo cha nje.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BONDIA FRANCIS CHEKA SASA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE

Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Mororogoro leo imetengua adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela kwa Bondia maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka na badala yake atatumikia kifungo cha nje na kulipa fidia ya Shilingi milioni moja.
Cheka alikuwa akikabiliwa na kosa la kumpiga na kumjeruhi Bahati Kibanda, ambaye alikuwa ni meneja wa baa yake iitwayo Vijana Social Hall iliopo mjini Morogoro.
Cheka anatumikia kifungo chake cha nje kwa kufanya kazi za serikali kwa muda wa masaa manne...

 

10 years ago

Vijimambo

BONDIA FRANCIS CHEKA ATOKA JELA SASA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE

Bondia Frncis Cheka (pichani) amebadilishiwa kifungo sasa kumikia kifungo chake nje. Bondia Cheka alihukumia kwenda jela miaka mitatu baada ya kupatikanika na kosa la kumpiga meneja wa baa yake.
Mahakama Mkoani Morogoro imembadilishia kifungo bondia Francis Cheka cha miaka mitatu ndani na sasa bondia huyo atatumikia kifungo cha nje.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZ........BONDIA FRANCIS CHEKA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 3 JELA

Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii hivi punde,inaenleza kuwa Bondia maarufu hapa nchini,Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha Miaka mitatu (3) jela kwa kukutwa na hatia ya kumpiga na kumjeruhi Meneja wa  Bar yake iliopo mjini Morogoro.
Cheka alifikishwa kizimbani leo na kusomewa mashtaka ya kushambulia na kuzuru mwili,akidaiwa mnamo julai 02 mwaka 2014, bila uhalali na akijua kufanya hivyo ni kosa kisheria, alimpiga kwa ngumi maeneo ya kichwani na tumboni, Bahati Kabanda maarufu kama Masika,...

 

10 years ago

Mtanzania

Cheka atolewa jela, apewa kifungo cha nje

FRANCISI-CHEKANA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO

BONDIA nguli nchini, Francis Cheka, jana alitolewa rumande na kupewa kifungo cha nje, huku akitakiwa kuripoti katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mjini kila siku kwa ajili ya shughuli za kijamii.

Februari 2, mwaka huu, Mahakama ya Hakimu Mkazi ya mkoani hapa ilimhukumu Cheka kifungo cha miaka mitatu kwenda jela na faini ya Sh milioni moja, baada ya kumshambulia na kumdhuru meneja wa baa yake, Bahati Kabanda, kosa alilofanya Julai 2, mwaka jana.

Hatua...

 

10 years ago

Vijimambo

BONDIA FRANCIS CHEKA ALIVYO MSAMBALATISHA MTHAILAND KWA T.K.O YA RAUNDI YA NANE

Bondia Francis Cheka kulia akipambana na Kiatchai Singwancha wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Cheka alishinda kwa T.K.O ya raundi ya nane Bondia Francis Cheka kulia akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Kiatchai Singwancha wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba Cheka alishinda kwa T.K.O ya raundi ya nane Bondia Shabani Kaoneka kulia akimtupia konde la nguvu Zumba kukwe wakati wa mpambano wao...

 

10 years ago

Vijimambo

21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza


BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...

 

11 years ago

Habarileo

Wizara yasisitiza programu ya kifungo cha nje

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Idara ya Huduma kwa Jamii imesema ili urekebishaji wa wahalifu chini ya programu ya kifungo cha nje ufanikiwe, Serikali ichukue hatua za makusudi kueneza utekelezaji wa sheria ya huduma kwa jamii kwa nchi nzima.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kanye West apokea kifungo cha nje

Kanye West,alifikishwa mahakamani kwa kosa la kumshambulia mpiga picha katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Los Angeles.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE: KIFUNGO CHA NJE SULUHISHO MSONGAMANO MAGEREZANI NCHINI

  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Taifa ya Huduma kwa Jamii kabla ya kuzindua Kamati hiyo, jijini Dodoma, leo, ambayo itasimamia Utekelezaji wa Sheria ya Huduma kwa Jamii inayotoa fursa kwa wafungwa wa vifungo vidogo kutumikia adhabu hizo kwenye jamii. Pia Waziri huyo ameitaka Kamati hiyo, iweke mikakati zaidi ya kusimamia adhabu mbadala ya kifungo cha nje ili kuondoa msongamano magerezani. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani