BONDIA FRANCIS CHEKA ATOKA JELA SASA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE
Bondia Frncis Cheka (pichani) amebadilishiwa kifungo sasa kumikia kifungo chake nje. Bondia Cheka alihukumia kwenda jela miaka mitatu baada ya kupatikanika na kosa la kumpiga meneja wa baa yake.
Mahakama Mkoani Morogoro imembadilishia kifungo bondia Francis Cheka cha miaka mitatu ndani na sasa bondia huyo atatumikia kifungo cha nje.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Tf7mG9MBqjk/VQg5M5X6KvI/AAAAAAAHLAc/C9MIWW7ut5I/s72-c/11111.jpg)
BONDIA FRANCIS CHEKA SASA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE
Cheka alikuwa akikabiliwa na kosa la kumpiga na kumjeruhi Bahati Kibanda, ambaye alikuwa ni meneja wa baa yake iitwayo Vijana Social Hall iliopo mjini Morogoro.
Cheka anatumikia kifungo chake cha nje kwa kufanya kazi za serikali kwa muda wa masaa manne...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5Ac2*1b9-paTs8uRRQm1Pxja8KH1lgDfFeDC3uiR7*2Zu2CmbmTZ95rElaCp4b4fEZppG1yJSKDBQG7OAUHv-DJX/breakingnews.gif)
BONDIA FRANCIS CHEKA AACHIWA, KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZ........BONDIA FRANCIS CHEKA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 3 JELA
Cheka alifikishwa kizimbani leo na kusomewa mashtaka ya kushambulia na kuzuru mwili,akidaiwa mnamo julai 02 mwaka 2014, bila uhalali na akijua kufanya hivyo ni kosa kisheria, alimpiga kwa ngumi maeneo ya kichwani na tumboni, Bahati Kabanda maarufu kama Masika,...
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Cheka atolewa jela, apewa kifungo cha nje
NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO
BONDIA nguli nchini, Francis Cheka, jana alitolewa rumande na kupewa kifungo cha nje, huku akitakiwa kuripoti katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mjini kila siku kwa ajili ya shughuli za kijamii.
Februari 2, mwaka huu, Mahakama ya Hakimu Mkazi ya mkoani hapa ilimhukumu Cheka kifungo cha miaka mitatu kwenda jela na faini ya Sh milioni moja, baada ya kumshambulia na kumdhuru meneja wa baa yake, Bahati Kabanda, kosa alilofanya Julai 2, mwaka jana.
Hatua...
10 years ago
VijimamboBONDIA FRANCIS CHEKA ALIVYO MSAMBALATISHA MTHAILAND KWA T.K.O YA RAUNDI YA NANE
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Francis Cheka : miaka mitatu jela
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pyiOZtnbV-8blFLxHgxg0kMatjPu6-LViDVLqFP5hQmw4qga2ttTZAJmXNNr8*HXCSYw-L*oxmsZUdwHHTkMR3G7/breakingnews.gif)
FRANCIS CHEKA JELA MIAKA MITATU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BONDIA CHEKA ATUPWA JELA MIAKA MITATU
10 years ago
Vijimambo29 May
Kwa mara ya kwanza tangu atoke jela, Francis Cheka apima uzito kuzichapa na Mthailand kesho!
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/cheka-3.jpg)
BONDIA Francis Cheka wa Tanzania na Kiatchai Singwancha kutoka Thailand wamepima uzito leo kwenye ukumbi wa Green Grill uliopo maeneo ya Victoria jijini Dar es Salaam tayari kwa pambano lao linalosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Masumbwi.Pambano hilo litapigwa kesho usiku kwenye ukumbi wa PTA Manispaa ya Temeke.
Cheka na Singwancha watazichapa kwenye pambano hilo la raundi 10 lisilo na ubingwa wowote, lakini ni mabondia hao wawili wanatafuta kulinda heshima.
Singwancha alitua Dar jana...