Aliyekutwa na bastola kanisani aachiwa
>Mkazi wa Kijitonyama, Dar es Salaam, Joseph Mumbi ambaye alikamatwa na polisi Kisarawe akishukiwa kutaka kufanya uhalifu wa kutumia bastola siku ya Ibada ya Ijumaa Kuu ilipokuwa ikiendelea katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Stephano, ameachiwa jana kwa dhamana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Apr
Bastola kanisani: Mtu mmoja anaswa akiwa na bastola yenye risasi nane
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Askari aliyekutwa na noti bandia afukuzwa kazi
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam
JESHI la Magereza nchini, limemfukuza kazi askari wake wa Gereza la Bariadi, mkoani Shinyanga kwa kosa la kupatikana na fedha za bandia kinyume cha sheria.
Taarifa iliyotolewa jana na Mkaguzi wa Magereza, Lucas Mboje na kusainiwa na Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, John Minja, ilimtaja askari huyo kuwa ni Namba B. 6499 Wdr. Edmund Masaga.
Alisema askari huyo amefukuzwa kazi kwa fedheha kuanzia Machi 28 mwaka huu kwa kosa la kulidhalilisha jeshi hilo...
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Daktari aliyekutwa amelewa Geita avuliwa cheo
10 years ago
VijimamboHABARI KAMILI YA MWALIMU WA KIKE ALIYEKUTWA NA KINYESI CHUMBANI KWAKE
HII ni simulizi ya aibu! Tukio la mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Kibasila jijini Dar, Gaudensia Albert, mkazi wa Kisiwani Kata ya Sandali wilayani Temeke kuishi na vinyesi, mikojo na matapishi chumbani kwake, limeibua mshtuko na aibu ndani yake.
Kwa mujibu wa...
9 years ago
StarTV01 Sep
Taarifa juu ya Kijana aliyekutwa amefariki hotelini Jijini Arusha.
Mtu mmoja mfanyabiashara wa mabegi jijini Arusha amekutwa amefariki dunia katika chumba cha hoteli huku akiwa amekatwa baadhi ya viungo vya mwili wake.
Kijana huyo aliyetambulika kwa jina moja la Mandela anaekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka kumi na tisa na thelathini anayesadikika kuwa ni mfanyabiashara wa mabegi jijini Arusha amekutwa katika chumba cha hoteli ya Asquare Belmont huku baadhi ya viungo vyake vya mwili vikiwa vimekatwa,ikiwemo viganja vya mikono, sehemu za siri na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-C8PxcyWrriI/VRlpwGWtNbI/AAAAAAAARyE/G5bgK0fFxOI/s72-c/IMG_8564.jpg)
Bastola ya Gwajima utata.
![](http://2.bp.blogspot.com/-C8PxcyWrriI/VRlpwGWtNbI/AAAAAAAARyE/G5bgK0fFxOI/s640/IMG_8564.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, akimjulia hali Askofu Josephat Gwajima, wa Kanisa la Ufufuo na Uzima aliyelazwa kwenye hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam kwa matibabu. PICHA: Tryphone Mweji
![](http://1.bp.blogspot.com/-TFHoCQ-8kiE/VRlpxumDEKI/AAAAAAAARyM/gv8Sxu9NX0c/s1600/Gwajima_Lipumba.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxWpMBGkV6cK8bQN7rKVLUbGKValAvOqN5n3VR8A-4JA6Mxek0*mliNHLTMKZuxWTJc3AhoKxr3bIkiuk5-8tDKb/BACKUWAZI5.jpg)
BASTOLA TISHIO DAR!
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Arusha yaongoza kumiliki bastola
11 years ago
Habarileo14 Dec
Polisi wanasa bastola nyumba ya wageni
JESHI la Polisi wilayani Igunga mkoani Tabora limefanikiwa kukamata bastola katika nyumba ya kulala wageni ambayo inadhaniwa imesahaulika na majambazi.