Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daktari aliyekutwa amelewa Geita avuliwa cheo

>Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Magreth Nakainga amemvua madaraka Mganga Mkuu wa Zahanati ya Nyakabale, Josephat Msafiri kwa kukiuka miiko ya kazi yake na kulewa wakati wa kazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Aliyekutwa na bastola kanisani aachiwa

>Mkazi wa Kijitonyama, Dar es Salaam, Joseph Mumbi ambaye alikamatwa na polisi Kisarawe akishukiwa kutaka kufanya uhalifu wa kutumia bastola siku ya Ibada ya Ijumaa Kuu ilipokuwa ikiendelea katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Stephano, ameachiwa jana kwa dhamana.

 

10 years ago

Mtanzania

Askari aliyekutwa na noti bandia afukuzwa kazi

Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam
JESHI la Magereza nchini, limemfukuza kazi askari wake wa Gereza la Bariadi, mkoani Shinyanga kwa kosa la kupatikana na fedha za bandia kinyume cha sheria.
Taarifa iliyotolewa jana na Mkaguzi wa Magereza, Lucas Mboje na kusainiwa na Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, John Minja, ilimtaja askari huyo kuwa ni Namba B. 6499 Wdr. Edmund Masaga.
Alisema askari huyo amefukuzwa kazi kwa fedheha kuanzia Machi 28 mwaka huu kwa kosa la kulidhalilisha jeshi hilo...

 

10 years ago

Vijimambo

ASKARI WA JKT AKUTWA AMELEWA CHAKALI HAWEZI HATA KUTEMBEA


Katika hali isiyotegemewa askari mmoja wa jeshi la kujenga Taifa (JKT) anayesadikika kuwa na wa kambi ya Mafinga wilaya ya Mufindi mkoani Iringa usiku wa leo amenusurika kuvuliwa nguo za jeshi hadharani baada ya kukutwa amelewa chakari na kulala katika mfereji wa maji machafu eneo la nje ya stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani mjini Iringa

Tukio hilo lilitokea muda wa saa 2 usiku baada ya wasamaria wema kumshusha askari huyo kutoka katika basi la Mgumba ambalo alikuwa amepanda kutoka Mafinga...

 

9 years ago

StarTV

Taarifa juu ya Kijana aliyekutwa amefariki hotelini Jijini Arusha.

Mtu mmoja  mfanyabiashara wa mabegi jijini Arusha amekutwa amefariki dunia katika chumba cha hoteli  huku akiwa amekatwa  baadhi ya viungo vya mwili wake.

Kijana huyo aliyetambulika  kwa jina moja la Mandela anaekadiriwa kuwa na umri kati ya  miaka kumi na tisa na thelathini anayesadikika kuwa  ni mfanyabiashara wa mabegi jijini Arusha amekutwa katika chumba cha hoteli ya Asquare Belmont huku  baadhi ya viungo vyake vya mwili vikiwa vimekatwa,ikiwemo viganja vya mikono, sehemu za siri na...

 

10 years ago

Vijimambo

HABARI KAMILI YA MWALIMU WA KIKE ALIYEKUTWA NA KINYESI CHUMBANI KWAKE

Shehena ya kinyesi iliyokuwa chumbani kwa mwalimu huyo.Pichani juu ni  Wafanyakazi wa usafi wa Manispaa ya Temeke wakibeba kinyesi kwenda kukimwaga baada ya kuvunja nyumba aliyokuwa akiishi Mwalimu Gaudencia Albert.Mwandishi Wetu
HII ni simulizi ya aibu! Tukio la mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Kibasila jijini Dar, Gaudensia Albert, mkazi wa Kisiwani Kata ya Sandali wilayani Temeke kuishi na vinyesi, mikojo na matapishi chumbani kwake, limeibua mshtuko na aibu ndani yake.

Kwa mujibu wa...

 

5 years ago

Michuzi

GEITA GOLD MINING LTD YATOA MILIONI 100/- KUSAIDIA UJENZI CHUO KIKUU HURIA-GEITA

KATIKA kukuza sekta ya elimu ya juu nchini, Kampuni ya Geita Gold Mining Ltd. (GGML) kupitia sera yake ya uwajibikaji kwa jamii imetoa kiasi cha Sh milioni 100 kusaidia ujenzi wa Kituo cha Chuo Kikuu Huria(Open University) cha mkoani wa Geita.

Awamu ya kwanza ya mradi huo inajumuisha ujenzi wa jengo la utawala linalojumuisha chumba mikutano cha viongozi, maktaba, chumba cha maabara ya kompyuta na ofisi nyingine tano.

Pia kiasi hicho cha pesa kilichotolewa na GGML ni kwa ajili ya ununuzi wa...

 

5 years ago

Michuzi

KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.




Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita. 
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%. 
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI NCHINI WATHIBITISHA MBOWE ALIKUWA AMELEWA CHAKALI KIASI CHA KUSHINDWA KUTAMKA MANENO SIKU ANAYODAI KUSHAMBULIWA

*Ni baada ya kuzunguka katika maeneo yanayoza vileo saa saba ya usiku
*Pia alikwenda kwa mzazi mwenzie Mbunge wa Viti Maalum Joyce Nkya


Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
USHAHIDI wa awali wa Jeshi la Polisi nchini kuhusu madai ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe umeonesh kuwa siku hiyo ya tukio Mbowe alikuwa amelewa chakali na alizunguka kwenye kumbi mbalimbali za starehe zinazouza vileo ikiwemo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani